Albosignathus
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 4,886
- 1,038
Mungu atusaidie wanna ndoa
Eeh kumbe na wewe una ndoa???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu atusaidie wanna ndoa
Cjui nimepitwa celewi kabisa huyu shetani kwann anazidi kutawala watu hii caibu kwa walioamini
Watu wanamtumia YESU kwa kutapeli watu tu,mioyo iko mbali.
Huo sasa ni mfumo dume.Ina maana mwanamke hapaswi kuwa na fedha kuliko mwanaume? suala la pesa sio issue, bali wao wenyewe wanajua.Kumbuka kuwa hawa wanandoa walioana wakiwa bado vijana sana.Na ninadhani hata umri huenda wanalingana ni shida.Heri mmoja akuzidi hata miaka minne au mitano lakini wote mkiwa level moja ni hatari kwa maisha ya sasa.Cha muhimu ni kuwaombea wote .Kuwaombea wenye ndoa.kwani kuna shetani naye yupo anapambana na mwanadamu hasa kwa wale walioko upande wa Mungu.nasema na nasema tena ukishampa mwanamke nafasi akamiliki pesa kuliko mwanaume umekwisha.
najaribu kutafakari utamu wa tendo la ndoa kwa upande wa wanaume huwa sielewi kwa sabau huwa nawaona wanachoka sana .... sasa kinachokufanya ukimbilie kuchoka ni nini? kakunyima si uvumilie tu jamani
nasema na nasema tena ukishampa mwanamke nafasi akamiliki pesa kuliko mwanaume umekwisha.
najaribu kutafakari utamu wa tendo la ndoa kwa upande wa wanaume huwa sielewi kwa sabau huwa nawaona wanachoka sana .... sasa kinachokufanya ukimbilie kuchoka ni nini? kakunyima si uvumilie tu jamani
Hata mimi sivumilii ukininyima nakula wadogo zako.
utamu kwa mwanaume umepitiliza, ila hata ninyi si huwa uvumilivu unawashinda?
ila mnachoka mbona sasa mnapenda kuchoka? au kuchoka nako ni utamu?
Lakini case kama hizo zinawatokea sana walokole.Ulokole hauhusiki kwenye hilo
Eeh kumbe na wewe una ndoa???
sio kuchoka kule, unakuta saiyo umeshusha mzigo mzito. Ndio maana ukishapumzika na kuoga, unajisikia mwepesií
Uvumilivu wa kunyimwa! Haya ni majaribu ni bora kuvumilia katika ugonjwa si katika kunyimwa.najaribu kutafakari utamu wa tendo la ndoa kwa upande wa wanaume huwa sielewi kwa sabau huwa nawaona wanachoka sana .... sasa kinachokufanya ukimbilie kuchoka ni nini? kakunyima si uvumilie tu jamani
mzito vipi wakati hata kipapuchi hakijai?
hicho hakiwezi jaa, hiyo ni njia tu kunakojaa ni kwingine