Kwa Wanandoa: Bila tendo la ndoa hakuna ndoa(?)

Kwa Wanandoa: Bila tendo la ndoa hakuna ndoa(?)

Jamani hakuna ubishi kuwa tendo la ndoa ndilo linaloshikilia ndoa bila hivyo hakuna maana ya ndoa. Hata kama kuna mataizo mwanandoa hastahili kumnyima unyumba mwenzie, cha kufanya ni kutafuta suluhu ya tatizo huku huduma ya msingi ya ndoa ikiendelea kama kawaida.

Kilichotokea kwa mumewe Flora Mbasha mpaka kabaka shemejiye ni matokeo ya kunyimwa unyumba kwa muda mrefu na aibu hii ni kwa wote wawili. Katika hili sio kwamba nampongeza huyu jamaa kubaka ila najaribu kusisitiza wajibu wa mwanamke au mwanandoa kwa mwenzie.

Tafakari, chukua hatua.

Haki ya tendo la ndoa...
View attachment 161546

Nakuuliza wewe mleta thread! Hivi wewe ukimfumania mke wako na mwanaume mwingine waweza kuendelea kumpa haki yake ya ndoa wakati mnaendelea kutafuta suluhisho?
 
Jamani hakuna ubishi kuwa tendo la ndoa ndilo linaloshikilia ndoa bila hivyo hakuna maana ya ndoa. Hata kama kuna mataizo mwanandoa hastahili kumnyima unyumba mwenzie, cha kufanya ni kutafuta suluhu ya tatizo huku huduma ya msingi ya ndoa ikiendelea kama kawaida.

Kilichotokea kwa mumewe Flora Mbasha mpaka kabaka shemejiye ni matokeo ya kunyimwa unyumba kwa muda mrefu na aibu hii ni kwa wote wawili. Katika hili sio kwamba nampongeza huyu jamaa kubaka ila najaribu kusisitiza wajibu wa mwanamke au mwanandoa kwa mwenzie.

Tafakari, chukua hatua.

Haki ya tendo la ndoa...
View attachment 161546

Kwanza fahamu kuwa tendo la ndoa ni sehemu tu ya ndoa lakini siyo kwamba ndilo linaloshikilia ndoa,upo ushahidi wa ndoa nyingi zilizovunjika kwasababu nyingine tu wala si kunyimana.
Pili naomba nikuulize,mahakama ilitoa hukumu lini?Je huyo bwana alikutwa na hatia pasi na shaka yoyote juu ya tuhuma hiyo ya ubakaji?Kama ndivyo,ni sahihi kwako kumtumia kama case study,kinyume chake ni kosa na wewe huwezi kuwa na moral authority ya kumpigia yeye mfano ile hali ukijua kuwa hizo ni tuhuma tu.
Elewa kuwa Bwana asipoulinda mji yeye aulindaye akesha bure..
 
vitabu vya dini vinasema 'bila ndoa hakuna tendo la ndoa' wewe unasema 'bila tendo la ndoa hakuna ndoa' kwani wewe ni mpinga dini?
 
nasema na nasema tena ukishampa mwanamke nafasi akamiliki pesa kuliko mwanaume umekwisha.

Ndiyo sababu tunasema tafuteni hela kwa bidii ninyi wanaume! Kumiliki fedha na mali ni sifa ya Mtawala yeyote! Na ninyi Mungu aliwapa zawadi ya UTAWALA! Amkeni!
Ila mnapozembea nafasi zenu lazima mnaowatawala watawapiku!
 
^^
Wawe watumishi wa Mungu, wawe watu maarufu wa fani zote, Wawe wachangiaji bora wa miaka yote JF au popote pale...
Ukweli utasimama, hawaishi maisha ya mapenzi yaliyotofauti na dunia hii. Si ajabu kwao kwani yakifunguliwa yaliyofichwa katika nyumba zetu, kuna siri zinazonuka
^^

Thank you! Kula 5! Mapenzi au ndoa haina cha maarufu au asiye maarufu, masikini au tajiri mwenye akili sana au zuzu, watumishi wa Mungu au wa shetani! Wala hayana mjanja wala kungwi! Kwanza makungwi wengi ndiyo walishindwaga na ndoa ama hawazipati kabisa!
 
Huo sasa ni mfumo dume.Ina maana mwanamke hapaswi kuwa na fedha kuliko mwanaume? suala la pesa sio issue, bali wao wenyewe wanajua.Kumbuka kuwa hawa wanandoa walioana wakiwa bado vijana sana.Na ninadhani hata umri huenda wanalingana ni shida.Heri mmoja akuzidi hata miaka minne au mitano lakini wote mkiwa level moja ni hatari kwa maisha ya sasa.Cha muhimu ni kuwaombea wote .Kuwaombea wenye ndoa.kwani kuna shetani naye yupo anapambana na mwanadamu hasa kwa wale walioko upande wa Mungu.

Hakika 1 Tim 6:10 Ukipenda sana pesa ndiyo chanzo cha maovu yote.
 
Tendo la ngono kwa mwanamke linakwenda sambamba na utulivu wa akili.sio ukute mume ni mwingi wa kuiba route halafu mke anajua kisha ukasimamia msimamo huu wa kuendelea na unyumba huku sululu ikitafutwa sahau hilo.

Nimeuliza swali hapa yupo mwanaume atakayemfumania mke wake halafu aendelee kutoa huduma ya tendo la ndoa mpaka suluhisho la mgogoro lipatikane?
 
Mbona wewe km vile umeshathibitisha kwamba Florah ndo alikua na matatizo?? hata kama Florah ndo alikua na matatizo kwa kumnyima mumewe but does that makes it okey kwenda kubaka?? siangetafuta jinsi nyingine ya kujiridhisha. Mbona kuna watu wananunua wanawake wa kufanya nw tendo la ndoa na wengine wanatafuta watu ambao wako tayari.

Hivi km ni kweli huyo mume alikua anacheat we ulitaka Florah ndo aendelee kumvuta tuu, mbona tunasahau kuwa hata Florah ni binadamu na anahisia pia? Mbona kuna wanaume wanapatiwa kila kitu and still wanacheat??? Hata wanawake pia wapo wanaopata kila kitu and they still cheat.

So kwangu mie kila mtu awe responsible kwa makosa yake na sio kutaka kumsingizia mwingine ndo amesababisha. Kila mmoja wao ana mchango wa kuifikisha ndoa yao hapo ilipo no matter who started.

Umesema vema mkuu.
 
Mimi pia naamini hivyo, kubwaka gani siku mbili mfululizo..I'm sure hadi mauno alikuwa anakata huyu binti, basi tu terms and conditions hazijazingatiwa.


Sent from my iPhone using JamiiForums app
Kwa Sheria ya kujamiiana kama kweli ana miaka 17 alikuwa anabaka. Swali langu je mbona (Bofya) hakuchukuliwa hatua CC Miss Chagga
 
Nimeuliza swali hapa yupo mwanaume atakayemfumania mke wake halafu aendelee kutoa huduma ya tendo la ndoa mpaka suluhisho la mgogoro lipatikane?
Wapo wengi hasa Mamario. Kama household economic power ipo kwa sie. Issue kubwa hapa ni nani anamiliki uchumi wa kaya. Au kwa maneno mengine ni yupi akimwacha yupi atateseka kiuchumi au kijamii
 
huo ndio ukweli
No consumation no marriage.

Lakini hiyo haihalalishi mtu kwenda kubaka hata kama angekuwa mkewe.

Hiyo statement ina maanisha kuwa hapo ndoa hiko matatani na uhalali wake unapotea kwakuwa hakuna tendo la ndoA.

Hivyo alichotakiwa kufanya huyo jamaa si kubaka na wala kunyimwa tendo wala hakuna uhusiano na kubaka hii ni tabia yake huyo mhusika.

Alaf kibaya zaidi ukute walikubaliana na huyo mtoto lakini kinacho leta tafsiri ya kubaka ni kuwa huyo msichana yuko chini ya miaka 18:

Pia jamaa kitendo chake cha kubaka ni ushahidi usio tia shaka
kuwa ametoka nje ya ndoa.

Hivyo basi pengine huyu jamaa ange tafuta wanawake wengine lakini si shemeji yake, hii ni aibu kabisa.


No conssumation no marriage statement haihalalishi kubaka bali kurekebisha ndoa yako.
 
Nakuuliza wewe mleta thread! Hivi wewe ukimfumania mke wako na mwanaume mwingine waweza kuendelea kumpa haki yake ya ndoa wakati mnaendelea kutafuta suluhisho?
watu wengine bhana.hivi mnajua tendo la ndoz ni hisia.au mnajua ni kuchomeka na kutoa tu
 
watu wengine bhana.hivi mnajua tendo la ndoz ni hisia.au mnajua ni kuchomeka na kutoa tu

Thank you! Sasa swali hili lielekeze kwa mleta thread! Yeye ndiye anawaza namna hiyo! kuchomeka na kutoa!
 
Wapo wengi hasa Mamario. Kama household economic power ipo kwa sie. Issue kubwa hapa ni nani anamiliki uchumi wa kaya. Au kwa maneno mengine ni yupi akimwacha yupi atateseka kiuchumi au kijamii

Huyo naye ni mume au ni sex tool? mi nasema mume kama mume mwenye akili na utashi, aliye na uchungu na mkewe na anaye mpenda kwa dhati! Siyo hao walioko kiajira zaidi!
Atavumilia kwavile ni kibarua na si mapenzi ya dhati!
The same applies to us women! Kama mume ndiye mshika hatamu utaishia kulia kubembelezwa na kusamehe kirahisi!
Kama ndiyo wewe unamlisha na kumtake care mara nyngi ni kumfurusha na mabegi yake asikanyage tena nyumbani kwako
 
Unajua sababu ya kumnyima?ushamfumania mara kadhaa,kwa nini nsikunyime labda mi sikutoshi ndo maana. flora si chizi amnyime maradhi mengi jamani,tutauana.Kingine mwanaume hana akili milupo wote hawa ndo umfate shemeji???genye hizo genye gani hasa mpya chini ya jua!

Kama alimfumania basi alikuwa na uwezo wa kuachana nae (dini inaruhusu) na sio kumyima unyumba.
 
Back
Top Bottom