Kwa Wanandoa: Bila tendo la ndoa hakuna ndoa(?)

Kwa Wanandoa: Bila tendo la ndoa hakuna ndoa(?)

najaribu kutafakari utamu wa tendo la ndoa kwa upande wa wanaume huwa sielewi kwa sabau huwa nawaona wanachoka sana .... sasa kinachokufanya ukimbilie kuchoka ni nini? kakunyima si uvumilie tu jamani

Unatuona tunachoka?? dah....miss chagga! Naanza kuamini wanavyosema wachaga hawajitumi
 
Mimi pia naamini hivyo, kubwaka gani siku mbili mfululizo..I'm sure hadi mauno alikuwa anakata huyu binti, basi tu terms and conditions hazijazingatiwa.


Sent from my iPhone using JamiiForums app
Hata mi nilijiuliza hivyo mkuu. Inawezekana siku ya pili hakumpa alichomuahidi ndo maana akatangaza kabakwa.
 
Kwa Sheria ya kujamiiana kama kweli ana miaka 17 alikuwa anabaka. Swali langu je mbona (Bofya) hakuchukuliwa hatua CC Miss Chagga
Hizi sheria waziangalie upya aisee, kwa totoz za siku hizi, 15 years mwenyewe anameza "ndoano" kubwa bila "shida", tena ndio kwanza 6 inches wanaita vibamia...


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Hizi sheria waziangalie upya aisee, kwa totoz za siku hizi, 15 years mwenyewe anameza "ndoano" kubwa bila "shida", tena ndio kwanza 6 inches wanaita vibamia...


Sent from my iPhone using JamiiForums app
kweli kabisa huyu bibie ajabakwa kabisa
 
ndo shida ya kua public figure issue ndogo tu itasambaa kila kona naona hili litasaidia kupoza vuguvugu la ndo ile iliyo paaa
 
Bila kugegedana kwa kila mda ambao mwenzio anahitaji bhaas unaweka ndoa yako rehani
kama ni wanandoa gegeda kila unapojiskia
 
Mke wangu akininyima unyumba naenda tu Mliman City napata sister duh wa ukweli!Haiwezekani uende Coco utoke bila demu bana!Jamaa huyu HANA excuse yyt ile na afungwe
 
pia huyu mume wa flora kajiendekeza unabaka mara tatu?hapa kunakitu hakikowazi.flora kumnyima unyumba ni sawa kama yuko rafu?au michepuko?kwanini nife?
 
pia huyu mume wa flora kajiendekeza unabaka mara tatu?hapa kunakitu hakikowazi.flora kumnyima unyumba ni sawa kama yuko rafu?au michepuko?kwanini nife?
Vipi kuhusu mchungaji GWAJIMA kumpangia chumba hotelini FLORA ambaye ni mke wa mtu, je hiyo ni halali? Huoni pana kitu kimejificha hapo?
 
Unajua sababu ya kumnyima?ushamfumania mara kadhaa,kwa nini nsikunyime labda mi sikutoshi ndo maana. flora si chizi amnyime maradhi mengi jamani,tutauana.Kingine mwanaume hana akili milupo wote hawa ndo umfate shemeji???genye hizo genye gani hasa mpya chini ya jua!
Mi mara nyingi nawatetea wanawake kwa sababu ya tabia zetu wanaume ambazo nyingi zinaudhi. Kwa mfano mwanaume hujiwezi kwenye sita kwa sita, mkeo anapojaribu kukushauri ukapate matibabu hutaki, akifundisha njia nyingine za kumrisha unakuwa mbogo eti nani kakufundisha. Amini nawaambia, mke asiporidhishwa mara zote huchukia tendo la ndoa. Kinachomfanya mwanamke akudai mgegedo ni kutokana na jinsi ulivyomridhisha last time. Vinginevyo atakunyima tu. Tujirekebishe wananume
 
pia huyu mume wa flora kajiendekeza unabaka mara tatu?hapa kunakitu hakikowazi.flora kumnyima unyumba ni sawa kama yuko rafu?au michepuko?kwanini nife?
Lakini pia katika hili niwe muwazi kuwa kuna maelezo nadhani yana ukweli, lakini mengine hayana ukweli. Shemeji anabakwa mara tatu, tena mara ya mwisho ndani ya gari, ilikuwaje huyo shemeji akakubali kuingia ndani ya gari wakati akijua jamaa huwa anambaka? Tena ni kwa nini alipobakwa mara ya kwanza hakusema mpaka imefika mara ya tatu. Napata hisia hapa kuna makubaliano fulani yalifanywa kumkomoa mtu. Sijui
 
ndugu mihuwa sijaelewa huwa anachunga nini.infact ata mi sijaelewa kwakawaida mwanaume ndie huandaa faragha sasa sielew hapa
 
Bila kugegedana kwa kila mda ambao mwenzio anahitaji bhaas unaweka ndoa yako rehani
kama ni wanandoa gegeda kila unapojiskia
Hata huyo mgegedaji huwa anachoka kugegeda. Mi kuna wakati huwa nachoka nataka kupumzika. Duh
 
Mke wangu akininyima unyumba naenda tu Mliman City napata sister duh wa ukweli!Haiwezekani uende Coco utoke bila demu bana!Jamaa huyu HANA excuse yyt ile na afungwe
Mmmmmh!!! Mbombo ngafu malafyale
 
Back
Top Bottom