mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,771
- 4,649
ukiona manyoya, ujue kashaliwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha.. Kama yamekukuta una kazi.. But kawaida mke ana silaha moja ambayo inapofika wakati anapoona au anadharauliwa au hasikilizwi au hatimiziwi yale ya kwake basi huamua kuitumia.. Na hiyo ndio hiyo ya kukunyima unyumba.. Na mara nyingi ni silaha ambayo imewasaidia japo kwa udogo kuwarudisha kwenye mistari wale waume waliokutana na kadhia hiyo..
Najua hapa watakuambia chepuka nje kama wife anakubania unyumba kama silaha lakini amini ninakuambia raha ya kula mchepuko ni pale nyumbani kunapokuwa na amani.. Usijiloge hata siku moja ati kwa vile mke amezuia tunda kuliwa ati uwe unakula nje tu.. Kwani kunyimwa tendo la ndoa kunaambata na karaha na kero nyingine ambazo zitahitaji kutatuliwa kwa ustawi wa ndoa yenu..
Habari,
Je mke anapokukatalia tendo la ndoa wakati haumwi wala hana tatizo lolote anamaanisha nini?
A. Hana hisia na wewe.
B.Humridhishi.
C.Amekuruhusu ukachepuke.
D.Anachepuka.
E.None of the above.
anamaanisha hataki uchukue uume wako na kuuingiza kwenye papuch yake
Da umenikumbusha multiple choice inavyochanganya, na hilo jibu la E wanalipenda sana yani nilikua nikishindwa nafumba macho au napiga anaanado, sasa hapo jibu ni (E)
Mmh
Hili ni tatizo