Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,772
- 22,598
Habarini,
Tujikumbushe wanawake, maana ubize wa kazi nao unatufanya tuwanyime wwanaume mchezo uleee...
Naona hili suala bado wanawake halijawakaa sawa, Kumekua na malalamiko huku ndani mengi kuhusiana na wanawake kuwanyima tendo la ndoa waume zao au kuwapa kwa kubeep.
Sikia wewe mwanamke ulieolewa, Ndoa haiwezi kukamilika bila huo mchezo, na wanaume wanatoka nje za ndoa zao kwakua wanawake wao wanawapangia siku za kufanya mapenzi.
Mwanamke hakikisha unampa mumeo mchezo wakati wowote akitaka na pia usisubiri akuombe muandalie mazingira ya kucheza kamchezo hako, mpe mama ale ili asitoroke.
Mwanamke unajifunika muda wote mkiwa ndani acha mwili wako kimtego zaidi. Hatakama umechoka tafuta njia ya kumfanya mumeo aridhike kwa kachezo hako.
Najua makungwi wapo huku, Karibuni tujikumbushe atoto evelyne salt miss chagga
Tujikumbushe wanawake, maana ubize wa kazi nao unatufanya tuwanyime wwanaume mchezo uleee...
Naona hili suala bado wanawake halijawakaa sawa, Kumekua na malalamiko huku ndani mengi kuhusiana na wanawake kuwanyima tendo la ndoa waume zao au kuwapa kwa kubeep.
Sikia wewe mwanamke ulieolewa, Ndoa haiwezi kukamilika bila huo mchezo, na wanaume wanatoka nje za ndoa zao kwakua wanawake wao wanawapangia siku za kufanya mapenzi.
Mwanamke hakikisha unampa mumeo mchezo wakati wowote akitaka na pia usisubiri akuombe muandalie mazingira ya kucheza kamchezo hako, mpe mama ale ili asitoroke.
Mwanamke unajifunika muda wote mkiwa ndani acha mwili wako kimtego zaidi. Hatakama umechoka tafuta njia ya kumfanya mumeo aridhike kwa kachezo hako.
Najua makungwi wapo huku, Karibuni tujikumbushe atoto evelyne salt miss chagga
Last edited by a moderator: