Kwa Wanandoa: Bila tendo la ndoa hakuna ndoa(?)

Kwa Wanandoa: Bila tendo la ndoa hakuna ndoa(?)

Habarini,

Tujikumbushe wanawake, maana ubize wa kazi nao unatufanya tuwanyime wwanaume mchezo uleee...

Naona hili suala bado wanawake halijawakaa sawa, Kumekua na malalamiko huku ndani mengi kuhusiana na wanawake kuwanyima tendo la ndoa waume zao au kuwapa kwa kubeep.

Sikia wewe mwanamke ulieolewa, Ndoa haiwezi kukamilika bila huo mchezo, na wanaume wanatoka nje za ndoa zao kwakua wanawake wao wanawapangia siku za kufanya mapenzi.

Mwanamke hakikisha unampa mumeo mchezo wakati wowote akitaka na pia usisubiri akuombe muandalie mazingira ya kucheza kamchezo hako, mpe mama ale ili asitoroke.

Mwanamke unajifunika muda wote mkiwa ndani acha mwili wako kimtego zaidi. Hatakama umechoka tafuta njia ya kumfanya mumeo aridhike kwa kachezo hako.

Najua makungwi wapo huku, Karibuni tujikumbushe atoto evelyne salt miss chagga
 
Last edited by a moderator:
Hapo sasa sawa. Ngoja nimwambie Mrs atembelee huu uzi fasta kabla serengeti boys hawajauharibu.
 
Last edited by a moderator:
Hongera kwa kuwachana live bila chenga wanawake
wa mujini wanaojifanya wanabania papuchi kama almasi.
 
Habarini,


Tujikumbushe wanawake, maana ubize wa kazi nao unatufanya tuwanyime wwanaume mchezo uleee...

Naona hili suala bado wanawake halijawakaa sawa, Kumekua na malalamiko huku ndani mengi kuhusiana na wanawake kuwanyima tendo la ndoa waume zao au kuwapa kwa kubeep.

Sikia wewe mwanamke ulieolewa, Ndoa haiwezi kukamilika bila huo mchezo, na wanaume wanatoka nje za ndoa zao kwakua wanawake wao wanawapangia siku za kufanya mapenzi.

Mwanamke hakikisha unampa mumeo mchezo wakati wowote akitaka na pia usisubiri akuombe muandalie mazingira ya kucheza kamchezo hako, mpe mama ale ili asitoroke.

Mwanamke unajifunika muda wote mkiwa ndani acha mwili wako kimtego zaidi. Hatakama umechoka tafuta njia ya kumfanya mumeo aridhike kwa kachezo hako.

Najua makungwi wapo huku, Karibuni tujikumbushe atoto evelynesalt misschaga

mistari ya kigumu hii , nadhani itawaingia hadi kunako
wahusika .
 
Mmmh jamaniii mda wote.. Na wakati kweli unarudi umechoka atoto njoo unifundishe
 
Last edited by a moderator:
Donatila Wambie ubunifu pia muhimu..na uvivu waache..Mtu akiambiwa kaa hivi,ohhh siwezi...

Unamwambia fanya hivi anakwambia mchungaji kasema...Kidogo mara nimechoka..Yani tafrani..

Mtu Style anayoijua yy ni moja tu popo kanyea mbingu..deile hiyo hiyo wala hataki kujiongeza...Ukipata mume mwaminifu kama mm ndo anaweza kuvumilia..Wengine watachepuka tu
 
Last edited by a moderator:
Kuna wanaume wanapewa tendo la ndoa muda wote wanaoutaka na style zote wazitakazo still wanachepuka Labda wale wachache wenye kujiheshimu ila Elewa hawa watu hawasomeki ndo maana hua wanajigamba kua ndo walivyoumbwa kutamani kuonja onja.binafsi siwezi kujilazimisha kumfurahisha mtu kumpa muda wote hata kama sijisikii kwa kuhofia ataenda nje yeye atangulie tu.
 
Mmmh jamaniii mda wote.. Na wakati kweli unarudi umechoka atoto njoo unifundishe

Mweeeh ukisikia imeanzishwa mada ya kwamba sheria imeanzishwa kuwa ni lazima wanaume kuwapa hela wapenzi wao niite fastaaaa, hizi zingine mie mgeni kwakweli, labda Evelyn Salt ukuje mama kungwi leo kaja kivingine.
 
Last edited by a moderator:
Donatila Wambie ubunifu pia muhimu..na uvivu waache..Mtu akiambiwa kaa hivi,ohhh siwezi...

Unamwambia fanya hivi anakwambia mchungaji kasema...Kidogo mara nimechoka..Yani tafrani..

Mtu Style anayoijua yy ni moja tu popo kanyea mbingu..deile hiyo hiyo wala hataki kujiongeza...Ukipata mume mwaminifu kama mm ndo anaweza kuvumilia..Wengine watachepuka tu

Hela zenyewe bahiriiiii why ajishughulishe!!
 
Last edited by a moderator:
Mweeeh ukisikia imeanzishwa mada ya kwamba sheria imeanzishwa kuwa ni lazima wanaume kuwapa hela wapenzi wao niite fastaaaa, hizi zingine mie mgeni kwakweli, labda Evelyn Salt ukuje mama kungwi leo kaja kivingine.

Hivi huyu mleta mada ni me au ke??
Hapa in short anasema mwanamke ni chombo cha starehe mda wowote mme akitaka apewe hata kama sijiskii au nimechoka ebo..!!??
 
Last edited by a moderator:
Hivi huyu mleta mada ni me au ke??
Hapa in short anasema mwanamke ni chombo cha starehe mda wowote mme akitaka apewe hata kama sijiskii au nimechoka ebo..!!??

Huyu ni kungwi mama, ngoja tuangalie hizi series zake zitaishia season ya ngapi.
 
Back
Top Bottom