Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh teh...We ni miongoni mwa wavivu..Kitandani unakuwa kama maiti lol
Haha!!!...Ndo mana haudumu kwenye ndoa ww lolHahahaaaaa! Sasa cha kunitoa jasho ni nini wakati bahiriiiiii!! Teh teh teh nategesha tu kwa raha zangu, ikibidi na gazeti nasoma au naingia jf kabisa😀
jamani nasubiria jibu bcoz mi ni mhanga wa kubaniwa na me natoboa hata mwezi bila mchezo
Haha!!!...Ndo mana haudumu kwenye ndoa ww lol
Hapo sasa sawa. Ngoja nimwambie Mrs atembelee huu uzi fasta kabla serengeti boys hawajauharibu.
mi hata unipe kila siku nitachepuka tu.siwezi kula maharage kila siku
Mweeeh ukisikia imeanzishwa mada ya kwamba sheria imeanzishwa kuwa ni lazima wanaume kuwapa hela wapenzi wao niite fastaaaa, hizi zingine mie mgeni kwakweli, labda Evelyn Salt ukuje mama kungwi leo kaja kivingine.
Nilivosoma tu maneno ya kungwi nkaenda kumpa, ngoja nikampe tena ntarudi..... Yani ni mwendo wa jogoo na mtetea ni kumpa
jamani nasubiria jibu bcoz mi ni mhanga wa kubaniwa na me natoboa hata mwezi bila mchezo
Ah ha ha ha hahahhahahahhahahhaaa hamli
Nilivosoma tu maneno ya kungwi nkaenda kumpa, ngoja nikampe tena ntarudi..... Yani ni mwendo wa jogoo na mtetea ni kumpa
Yani ni kama mtetea anadonoa pumba kidogo anadandiwa, nimekula kibagia tu hapa nampa tena