Kwa wanandoa: nani ana jukumu la kufua nguo zenu za ndani?

Kwenye ndoa.. Hasa kwa wanaojua maana ya ndoa mambo mengi hayana formula.. Ama formula Ku u ni upendo
Ni vuzuri kufua mwenyewe si za ndani tu hata zinginezo. Haujui ni lini mwenza wako utatengwa naye. Basi ujitayarishe kufua nguo zsko mwenyewe mara kwa mara. Hutajutia hili sawa na kuwa unapika chakula hasa wanaume, jifunzd kupika km chai, ugali, wali na kutengeneza kachumbari mwenyewe.
 
Huko kwenu mnafanyaje? na kwanini?

(A) Kila mmoja anafua underwear yake
(B) Hakuna formula maalum
(C) Mume anafua ya kwake na ya mke
(D) Mke anafua ya kwake na ya mume
(E) Dada/kaka wa kazi
Hapo E pekee ndo halipo kwenye ndoa
 
Shikamoo bibi. Bibi mimi ili kufanya mambo yasiwe mengi, endapo nikiwa sijachoka sana, ninapokwenda kuoga nahakikisha nafua na boksa niliyovaa siku hiyo.
 
Nimeipenda hii wewe ni baba kwakweli, yaani kuna wanaume wengine hata mke aumwe vipi nguo atakuja kufua akipona hiyo ni haki kweli?
Maisha ni kusaidiana kuanzia nje mpaka ndani .. Kuanzia mchana mpaka usiku chumbani kitandani
 
Maisha no kusaidiana kuanzia nje mpaka ndani .. Kuanzia mchana mpaka usiku chumbani kitandani
Na walalamishi wakutaka kufanyiwa kila kitu kitandani huwa ni shida hapo huwa wanajihami wasionekane wanadharailiwa, mtu hata kama mke kapitiwa kuweka kijiko hawezi chukua duu 😳 jamani, kuna ndoa nyingine ni mitihani juu ya mtihani
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Huyo anajitambua, mitano tena kwake
 
Inategemea umeoa Mke wa aina gani.

Ila kiuhalisia ni kazi ya Mke.
Lakini siyo kufua na kusafisha mwiko pia baada ya kusonga ugali (tafsida)
Kweli shez type kabisa yule mke eti anasema pep anawaza mpira tuu...wakati mpira huo ndio ulimfanya aishi vizuri apande private jets na kuenjoy life
Bwana Bwana!!!!
 
Huko kwenu mnafanyaje? na kwanini?

(A) Kila mmoja anafua underwear yake
(B) Hakuna formula maalum
(C) Mume anafua ya kwake na ya mke
(D) Mke anafua ya kwake na ya mume
(E) Dada/kaka wa kazi
Mwanangu ndoa ina siri zake. Nani anafanya nini naona kama haituhusu wala si jambo la kujihangaisha kuweka viwango au fomula.
 
Ikiwa mnadiscuss vitu kama kufua,basi mtadiscuss kupika,kuosha viombo,kuondoa viombo baada ya kula,kufagia nk yaani hiyo nyumba vikao vitakuwa vyingi.
 
😳😳
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…