PeeWee
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 410
- 1,118
Unamaanisha nini kurusha taulo?Ujumbe umejitosheleza umerusha tauloš
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamaanisha nini kurusha taulo?Ujumbe umejitosheleza umerusha tauloš
Kwahiyo kitu kama hakionekani upaswi kukiamini, una pumzi una roho na unaviamini na nasfi unaamini kama unayo ushawai kuona hivyo vitu? lakini unaamini unavyo wewe uko timamu kweli, au unasema hivyo uliufanye vitu vyako pendwa bila kufata utaratibuWasioamini uwepo wa Mungu sio wajinga, mjinga ni yule ambae anaamini kwa kitu ambacho hakionekani. Wasioamini ndio wanasayansi wakubwa hapa duniani, hawana mda wa kupoteza katika kusali. Angalia dunia ya tatu makanisa na misikiti inajengwa kwa wingi, walioendelea wanajenga viwanda kwa wingi na kuendeleza teknologia. Waafrika wanaendeleza elimu ya dini.
Mimi sijui na fact za uwepo wa mungu zipo kede wa kede kuanzia maisha yetu kufa na mpaka mazingira yetu tunayoishi ila kinacho sumbua wasio amini mungu ni kiburi na uzima walio nao hakika hofu yao ni kubwa kuzidi hata tunaomini juu ya munguUnamaanisha nini kurusha taulo?
Uzima walio nao??š¤ Kwani Kuna kiumbe kisochoumwa au kufaMimi sijui na fact za uwepo wa mungu zipo kede wa kede kuanzia maisha yetu kufa na mpaka mazingira yetu tunayoishi ila kinacho sumbua wasio amini mungu ni kiburi na uzima walio nao hakika hofu yao ni kubwa kuzidi hata tunaomini juu ya mungu
Sijaona Jibu wala Hoja Uliyoweka Mezani zaidi ya Maneno ya Masimango na KashfaKwa wanaoamini hakuna mungu, ukiwachunguza kwa makini hawa watu ndiyo ujifanya wao ni majiniazi, kumbe ni wapumbavu wa mwisho katika hii dunia, na hoja yao kubwa ni kwamba kila kitu ni nature hoja hii haina mashiko hata kidogo na ni hoja ya kipuuzi ambayo utolewa na watu ambao kwa kawaida wameshindwa kuamini katika imani zao kwa uthabiti maybe wamechunguza kuwa katika imani zao ambazo wamekuwa na kulelewa umo aziko sawa sawa na azijawapa majibu yakutosha kiasi cha wao kuamini
Kuna wengine majeuri tu na kwakweli katika hii dunia watu hao awawezi kukosekana wanajua na kuona lakini nyoyo zao zimekufa na wauwaji ni wenyewe na matendo yao.
Na rudi katika hii hoja ya kusema kila kitu kipo sababu ni nature, huyu huyu anaesema hivi anaamini kwamba simu anatengeneza mzungu internet mzungu,
ila jinsi mungu alivyoumba kila kitu kwa ustadi wa hali ya juu wanasema ni nature, ushuuzi!
Mama kizimkazi na kifua kipana nadhani wao walisha'prove hiliHuyo Mungu kama yupo, yuko wapi?
Ni zaidi ya wagonjwa wa akili.Hao wote ni wagonjwa wa akili, wamedata bado kuokota makopo tu.
Kumbe Bahari Ni Mungu???Sasa mimi na nani upeo wake mdogo ndomaana nasema ukweli msio amini mungu amna akili timamu eti simu unaamini kwa kuwa unaiyona kwani mbingu uiyoni bahari uzioni eboo!
Mumgu yuko.Ndani yakoMungu ni mungu mimi ni mimi, ingekuwa mungu ndani yangu nisinge kubali kufaa
Hatuongelei "uwepo" wa simu. Bali tunaongelea "mtengenezaji" wa hiyo simu na ukilinganisha simu ni man-made.Sasa mimi na nani upeo wake mdogo ndomaana nasema ukweli msio amini mungu amna akili timamu eti simu unaamini kwa kuwa unaiyona kwani mbingu uiyoni bahari uzioni eboo!
Nafunga mjadala Kwa kusema mtoa mada mlete uyo kiumbe unaemuongelea ili wasiomwamini yupo wamwone Kwa macho Yao waamini la sivyo hawatakuelewa , Angekuwepo uyo kiumbe hata huu mjadala usingekuwepo
Nafunga mjadala Kwa kusema mtoa mada mlete uyo kiumbe unaemuongelea ili wasiomwamini yupo wamwone Kwa macho Yao waamini la sivyo hawatakuelewa , Angekuwepo uyo kiumbe hata huu mjadala usingekuwa
Wewe si daktari wewe, mtu akiumwa ugojwa wowote si lazima utafuta visababishi, na ndivyo ilivyo uwepo wa mambo kadha si alinacha na matokeo ya utendaji flaniKumbe Bahari Ni Mungu???
Kwahyo Wanaposema Mungu bahari wako sawa??
Sasa umetuita hapa kufanya nini? Nikajua umeleta ushahidi wa uwepo wake(Mungu) matokeo yake umeleta yaleyale ya wafia dini.Kwa wanaoamini hakuna mungu, ukiwachunguza kwa makini hawa watu ndiyo ujifanya wao ni majiniazi, kumbe ni wapumbavu wa mwisho katika hii dunia, na hoja yao kubwa ni kwamba kila kitu ni nature hoja hii haina mashiko hata kidogo na ni hoja ya kipuuzi ambayo utolewa na watu ambao kwa kawaida wameshindwa kuamini katika imani zao kwa uthabiti maybe wamechunguza kuwa katika imani zao ambazo wamekuwa na kulelewa umo aziko sawa sawa na azijawapa majibu yakutosha kiasi cha wao kuamini
Kuna wengine majeuri tu na kwakweli katika hii dunia watu hao awawezi kukosekana wanajua na kuona lakini nyoyo zao zimekufa na wauwaji ni wenyewe na matendo yao.
Na rudi katika hii hoja ya kusema kila kitu kipo sababu ni nature, huyu huyu anaesema hivi anaamini kwamba simu anatengeneza mzungu internet mzungu,
ila jinsi mungu alivyoumba kila kitu kwa ustadi wa hali ya juu wanasema ni nature, ushuuzi!
Uko serious Hujui Sukari Inafikaje kwenye Nanasi na Unajiita Daktari??Unasema hakuna mungu, Sasa sukari kwenye nanasi ameweka bab bako!?
Mshaanza sayansi za ajabu ajabuKitu kikiwa na jina ni ishara ya kwanza KIPO
Bahari ni kitu natural, mbona haikuwekwa morogoro? huu ni utaratibu wa utendaji si alinachaHatuongelei "uwepo" wa simu. Bali tunaongelea "mtengenezaji" wa hiyo simu na ukilinganisha simu ni man-made.
Bahari ndio inaonekana, je unajuaje kama ilitengenezwa? Uwepo wa kitu natural kama bahari hauthibitishi uwepo wa "mtengenezaji"
Thibitisha Mungu yupo.Kwa wanaoamini hakuna mungu, ukiwachunguza kwa makini hawa watu ndiyo ujifanya wao ni majiniazi, kumbe ni wapumbavu wa mwisho katika hii dunia, na hoja yao kubwa ni kwamba kila kitu ni nature hoja hii haina mashiko hata kidogo na ni hoja ya kipuuzi ambayo utolewa na watu ambao kwa kawaida wameshindwa kuamini katika imani zao kwa uthabiti maybe wamechunguza kuwa katika imani zao ambazo wamekuwa na kulelewa umo aziko sawa sawa na azijawapa majibu yakutosha kiasi cha wao kuamini
Kuna wengine majeuri tu na kwakweli katika hii dunia watu hao awawezi kukosekana wanajua na kuona lakini nyoyo zao zimekufa na wauwaji ni wenyewe na matendo yao.
Na rudi katika hii hoja ya kusema kila kitu kipo sababu ni nature, huyu huyu anaesema hivi anaamini kwamba simu anatengeneza mzungu internet mzungu,
ila jinsi mungu alivyoumba kila kitu kwa ustadi wa hali ya juu wanasema ni nature, ushuuzi!