Mimi pia nimebishana nao sana bt kwa sasa siwezi poteza muda.Mimi mwanzo nilikuwa nabishana nao, nikagundua ni ujinga kubishana wa wakufunzi wa kozi ya ujinga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi pia nimebishana nao sana bt kwa sasa siwezi poteza muda.Mimi mwanzo nilikuwa nabishana nao, nikagundua ni ujinga kubishana wa wakufunzi wa kozi ya ujinga.
baadhi ya vitu uwepo wake umefanywa na mwanadamu lakini mwana yeye kajireta mwenyewe duniani na kajitengeneza mwenyewe na hivyo vitu uwepo wake vilikuwepo kwa kajitengeneza wenyeweUwepo wa Bahari au Baadhi ya Maziwa mengine hayakuumbwa kama unavyohisi Mkuu..
Kwa mfano zamani Afrika ilikuwa Imeungana na Asia upande wa Mashariki ya Kati ila walijenga Mfereji Kuipata Suezi kanali ambayo itafanya mto mkubwa au Bahari au mfereji mkubwa ambao utatenganisha hayo mabara mawili na haikujengwa zamani ni karne ya 20 tu..
So kuna Baadhi ya Vitu uwepo wake umefanywa na Mwanadamu..
Sahihi mkuu, ni kupoteza muda tu maana hao jamaa hawapo sawa kiakiliMimi pia nimebishana nao sana bt kwa sasa siwezi poteza muda.
Mfano mimi nilikuwa nasali nipate kitu fulani na nikakipata what is your thoughts on this?Au mtu kaombewa shida husika ikaondokaThibitisha Mungu yupo.
Ngoja kwanza hapo nimeona umetaja roho na nafsi. NaulizaKwahiyo kitu kama hakionekani upaswi kukiamini, una pumzi una roho na unaviamini na nasfi unaamini kama unayo ushawai kuona hivyo vitu? lakini unaamini unavyo wewe uko timamu kweli, au unasema hivyo uliufanye vitu vyako pendwa bila kufata utaratibu
OK.Kama ukweli gani au ishara gani ambayo ingebadilisha mtizamo wako?
Kwa kawaida kwa akili ya binadamu kila kitu kikiwepo sehemu ni juhudi za watu barabara zikichongwa watu wamepambana internet simu roboti nk Lakini hili la sisi kuwepo duniani amuamini kwa kuna juhudi ama mambo yamefanyika na hii dunia kuwepo hivi unavutia kiasi uoni hata kasoro si juhudi ama kweli natwanga maji kwenye kinu😭Athibitishe tu kwamba Mungu yupo.
Twende pamoja point kwa point kwenye uthibitisho.
Mfano Mimi sisali na Sina shida, hii tunaitaje mkuu?Mfano mimi nilikuwa nasali nipate kitu fulani na nikakipata what is your thoughts on this?Au mtu kaombewa shida husika ikaondoka
kweli haina mashiko, hata sisi hatuielewi😂hoja yao kubwa ni kwamba kila kitu ni nature hoja hii haina mashiko hata kidogo
Mkuu Umewahi Kupata Bahati ya Kusoma Hata Strings Theory hapo hata kupata Maelezo yake machache ya Uwepo wa Ulimwengu na Vitu vyote??baadhi ya vitu uwepo wake umefanywa na mwanadamu lakini mwana yeye kajireta mwenyewe duniani na kajitengeneza mwenyewe na hivyo vitu uwepo wake vilikuwepo kwa kajitengeneza wenyewe
Mkuu,Mfano mimi nilikuwa nasali nipate kitu fulani na nikakipata what is your thoughts on this?Au mtu kaombewa shida husika ikaondoka
Alafu wao wanajiona smart.Sahihi mkuu, ni kupoteza muda tu maana hao jamaa hawapo sawa kiakili
Kuna mmoja nilimwambia siku akifa ndyo atajua nini maana ya MUNGU, saiv acha wakaze mafuvu kwani pumzi wanayo.Alafu wao wanajiona smart.
Wanapinga uwepo wa deities, akati imani za kiroho zimekuwepo tangu kale dunia nzima, wakati jamii hazijafahamiana wala kuchangamana.
Je, hua hawajiulizi ni nani alisambaza imani ya aina moja kwa jamii zote duniani zisofahamiana wala kuchangamana?
Kwani binadamu alitoa wapi akili adi akajua monosaccharides... disaccharidesUko serious Hujui Sukari Inafikaje kwenye Nanasi na Unajiita Daktari??
Nikurudishe Ujifunze Mambo ya Monosachirides na Complex Sugar Structure kama Starch na Jinsi zinavyopatokana kwenye Ripen Fruits??
Hakika, jioni njema mkuu.Kuna mmoja nilimwambia siku akifa ndyo atajua nini maana ya MUNGU, saiv acha wakaze mafuvu kwani pumzi wanayo.
Yaani huyu akili zake ukweli mimi sijasoma lakini nakuona nakuzidi uelewa pakubwa sana, mungu kaumba watu, na kwa mantiki yako ulitaka aumbe watu waliokuwa perfect wasio na kasoro hata kidogo si ndio, ndo unazo zitaja uzuri ubaya n.k, katuumbia sifa zote izo na kutuwekea uwelewa mpana wa kufahamu juu ya yale tutendayo anae fanya uzuri anajua kwamba huu uzuri na huu ubaya na uwezo wote wakuzuia anao, uoni kama sifa za mungu ni kubwa sana, na kubwa tuko dunia kama mtihani ambao tunapaswa tufanye vizuri kwa juhudi ili uko ahera hivyo vitu perfect unavyo vitaka vipo umeelewe?OK.
Mimi nawaza kimantiki. Logically.
Ukweli una tabia ya kuwa logically consistent.
Kwa mfano. Kuanzia na Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na uoendo wote. Ukisema kuna Mungu, mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, Mungu huyo kuumba ulimwengu ambao unaweza kuwa na mabaya mengi, mauaji, magonjwa, majanga ya kiasili, uonevu, ni logically inconsistent.
Ni contradiction.
Hii logical inconsistency inaleta contradiction, hii contradiction inaonesha Mungu huyu hayupo, ni stories za watu tu.
Kwa nini Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aumbe ulimwengu huu unaoweza kuwa na mabaya wakati alikuwa na uwezo wote wa kuumba ulimwengu huu uwe hauruhusu baya lolote?
Kama huelewi hoja za kimantiki kama logical consistency, contradiction, the problem of evil, unaweza kupata tabu kuelewa nilichoandika.
Kama unaelewa haya ni mambo yaliyo wazi kabisa.
Kwa hivyo, ukitaka nikubali uwepo wa Mungu, angalau weka maelezo ya uwepo wa huyo Mungu ambayo yapo logically consistent na hayana contradiction.
Siyo unanipa stories za Mungu za kuungwaungwa ambazo ukizipima kimantiki unaona kabisa hazina logical consistency.
Pamoja sana mkuuHakika, jioni njema mkuu.