Kwa wanaoamini hakuna Mungu, njooni hapa

Ukishakufa hayo mambo ya kusomewa au kutosomewa ni sherehe ya waliobaki, aliyekufa hata hajui nini kinaendelea by all scientific evidence.

Mimi kwetu wanajua siamini uwapo wa Mungu. Huwa nawanunulia vitabu vya kuonesha Mungu hayupo nawapa zawadi.
Igweeeeeeeeee 😹😹
 
Kaka unajua sana kulala nao kiulalo ulalo 😹
 
😹😹😹 Kweli hatuna uhuru mi nataka kufika 2090 ila siwezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…