Kwa wanaoamini hakuna Mungu, njooni hapa

Kwa wanaoamini hakuna Mungu, njooni hapa

Kwa wanaoamini hakuna mungu, ukiwachunguza kwa makini hawa watu ndiyo ujifanya wao ni majiniazi, kumbe ni wapumbavu wa mwisho katika hii dunia, na hoja yao kubwa ni kwamba kila kitu ni nature hoja hii haina mashiko hata kidogo na ni hoja ya kipuuzi ambayo utolewa na watu ambao kwa kawaida wameshindwa kuamini katika imani zao kwa uthabiti maybe wamechunguza kuwa katika imani zao ambazo wamekuwa na kulelewa umo aziko sawa sawa na azijawapa majibu yakutosha kiasi cha wao kuamini

Kuna wengine majeuri tu na kwakweli katika hii dunia watu hao awawezi kukosekana wanajua na kuona lakini nyoyo zao zimekufa na wauwaji ni wenyewe na matendo yao.

Na rudi katika hii hoja ya kusema kila kitu kipo sababu ni nature, huyu huyu anaesema hivi anaamini kwamba simu anatengeneza mzungu internet mzungu,

ila jinsi mungu alivyoumba kila kitu kwa ustadi wa hali ya juu wanasema ni nature, ushuuzi!
Walivyo wajinga wakijua kitu wanasema wamegundua. Kama wamegundua ina maana kilikuwepo, kama kilikuwepo nani alikiweka?

Watajibu NATURE.... Huyo nature ni nani?
 
Walivyo wajinga wakijua kitu wanasema wamegundua. Kama wamegundua ina maana kilikuwepo, kama kilikuwepo nani alikiweka?

Watajibu NATURE.... Huyo nature ni nani?
🤣🤣 subiri mapovu
 
Maswali yako ya chanzo nimekujibu, ila wewe hujanijibu.

Kama suala la chanzo ni muhimu sana, chanzo cha Mungu ni nini?

Hujajibu.
nipe hapa kwa maandishi yako chanzo cha ulimwengu ni nini.

ww unanipa ma Quotetion ya watu halafu unasema umenijibu!

msingi wa hoja ya Mungu yupo au hayupo lazima kwanza tujue chanzo cha ulimwengu ni nini?

hapo sasa ndy tutapata kujua kama Mungu yupo au hayupo.
 
Mimi nadhani kila mtu afuate njia yake mwenyewe anaesema hakuna mungu kabla hajafa atangaze uelekeo wake na akataze kuzikwa na dini yoyote nadhani hakuna mpumbavu atakaye thubutu kufanya hivyo wengi tu ni wafiki na ndio wa kwanza kuleta mada za kusema hakuna mungu
 
nipe hapa kwa maandishi yako chanzo cha ulimwengu ni nini.

ww unanipa ma Quotetion ya watu halafu unasema umenijibu!

msingi wa hoja ya Mungu yupo au hayupo lazima kwanza tujue chanzo cha ulimwengu ni nini?

hapo sasa ndy tutapata kujua kama Mungu yupo au hayupo.
Kwa nini unafikiri ulimwengu ni lazima una chanzo?
 
mbona unaniuliza swali tena,ww unacho takiwa ni kujibu swali
nini chanzo cha ulimwengu?
Swali lako limekuja kwa kukubali tu kuwa ulimwengu lazima una chanzo.

Unajuaje ulimwengu lazima una chanzo?
 
Nimekuuliza swali tu, kwa nini unafikiri ni lazima ulimwengu uwe na chanzo? Hujajibu swali.
mim na ww nani wakwanza aliye muuliza swali mwenzie.
jibu maswali yangu kwanza siwez kukujibu swali lako ilihali ww hujajibu maswali niliyo kuuliza kwanza.
 
mim na ww nani wakwanza aliye muuliza swali mwenzie.
jibu maswali yangu kwanza siwez kukujibu swali lako ilihali ww hujajibu maswali niliyo kuuliza kwanza.
Hata nikisema sina jibu la swali lako lolote, mimi kukisa jibu si thibitisho kwamba Mungu yupo.

In fact swali kuwapo ni uthibitisho Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Mungu angekuwepo, kila mtu angekuwa na uelewa mzuri sana kiasi kwamba kusingewezekana kuwapo na swali lolote.

Thibitisha Mungu yupo.
 
Hata nikisema sina jibu la swali lako lolote, mimi kukisa jibu si thibitisho kwamba Mungu yupo.

In fact swali kuwapo ni uthibitisho Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Mungu angekuwepo, kila mtu angekuwa na uelewa mzuri sana kiasi kwamba kusingewezekana kuwapo na swali lolote.

Thibitisha Mungu yupo.
sasa umekubali kama maswali yangu ww huna majibu nayo?

kama huna majibu ya maswali yangu sasa niulize maswali yako.
 
sasa umekubali kama maswali yangu ww huna majibu nayo?

kama huna majibu ya maswali yangu sasa niulize maswali yako.
Sijakubali kwamba sina majibu, nakueleza kuwa maswali yako kwangu, unless jibu ni Mungu, ambalo kwangu si jibu sahihi, maswali yako ni irrelevant katika mjadala wa kutafuta Mungu yupo au hayupo, kwa sababu hata kama sina majibu yake, kutokuwa na majibu hakuthibitishi Mungu yupo.

Nimekuuliza, wewe unayeona chanzo ni swali muhimu sana, huyo Mungu wako chanzo chake ni nini?
 
Kwa wanaoamini hakuna mungu, ukiwachunguza kwa makini hawa watu ndiyo ujifanya wao ni majiniazi, kumbe ni wapumbavu wa mwisho katika hii dunia, na hoja yao kubwa ni kwamba kila kitu ni nature hoja hii haina mashiko hata kidogo na ni hoja ya kipuuzi ambayo utolewa na watu ambao kwa kawaida wameshindwa kuamini katika imani zao kwa uthabiti maybe wamechunguza kuwa katika imani zao ambazo wamekuwa na kulelewa umo aziko sawa sawa na azijawapa majibu yakutosha kiasi cha wao kuamini

Kuna wengine majeuri tu na kwakweli katika hii dunia watu hao awawezi kukosekana wanajua na kuona lakini nyoyo zao zimekufa na wauwaji ni wenyewe na matendo yao.

Na rudi katika hii hoja ya kusema kila kitu kipo sababu ni nature, huyu huyu anaesema hivi anaamini kwamba simu anatengeneza mzungu internet mzungu,

ila jinsi mungu alivyoumba kila kitu kwa ustadi wa hali ya juu wanasema ni nature, ushuuzi!
....'Mpumbavu amesema hakuna Mungu'....Pole zake.
 
Sijakubali kwamba sina majibu, nakueleza kuwa maswali yako kwangu, unless jibu ni Mungu, ambalo kwangu si jibu sahihi, maswali yako ni irrelevant katika mjadala wa kutafuta Mungu yupo au hayupo, kwa sababu hata kama sina majibu yake, kutokuwa na majibu hakuthibitishi Mungu yupo.

Nimekuuliza, wewe unayeona chanzo ni swali muhimu sana, huyo Mungu wako chanzo chake ni nini?
kati ya mimi na ww nani aliye anza kumuuliza maswali mwenzie?

kwann unaruka ruka kwanini usijibu maswali yangu halafu na ww ndy nikujibu yakwako.

jibu maswali yangu kwanza na mimi nitayajibu maswali yako.
 
kati ya mimi na ww nani aliye anza kumuuliza maswali mwenzie?

kwann unaruka ruka kwanini usijibu maswali yangu halafu na ww ndy nikujibu yakwako.

jibu maswali yangu kwanza na mimi nitayajibu maswali yako.
Maswali yako hayana msingi, hata nikisema sijui jibu la maswali yako kutojua jibu hilo hakumaanishi jibu ni Mungu, kwa sababu Mungu hayupo.

Na pia, kutojua jibu sahihi la swali hakumaanishi siwezi kujua jibu lisilo sahihi.

Nitakupa mifano miwili. Soma kwa ufahamu.

Mfano wa kwanza.

Ukiniuliza square root ya 2 katika base 10 math ni nini, nikasema sijui, hilo halimaanishi kuwa square root ya 2 ni 10.

Naweza kuwa sijui jibu sahihi ni lipi, lakini nikajua jibu fulani si sahihi. Naweza kuwa sijui square root ya 2 ni nini, lakini nikajua kuwa 10 si square root ya 2, kwa sababu najua square root ya 2 ni lazima iwe ndogo kuliko 2 na 10 ni kubwa kuliko 2.

Mfano wa pili.

Tuseme Juma ana miaka 30 leo. Unaniukiza mama yake Juma (mzazi wa kibaiolojia) ni nani? Nikasema sijui. Ukaniambia mama yake juma ni huyu binti Fatma ana miezi 6 leo. Nitakukatalia kuwa mama yake Juma si huyu binti Fatma mwenye miezi 6 leo. Kwa sababu mama yake Juma anatakiwa juwa mkubwa kuliko Juma na huyu Fatma ni binti mchanga wa miezi 6, hawezi juwa mama yake Juma.

Hapa unachoniambia ni sawa na kuniambia square root ya 2 ni 10. Nakwambia si 10. Unaniuliza ni ngapi kama si 10? Nakwambia sijui square root ya 10 ni ngapi, lakini najua si 10, kwa sababu square root ya 2 ni lazima iwe ndogo kuliko 2, na 10 ni kubwa kuliko 2 hivyo haiwezi kuwa square root ya 2. Unasema square root ya 2 lazima ni 10, unanilalamikia nawezaje kubisha bila kujibu square root ya 2 ni nini. Huelewi kwamba naweza kujua jibu fulani si sahihi bila hata kujua jibu sahihi ni lipi.

Unaniuliza mama yake Juma (mzazi wa kibaiolojia) mwenye miaka 30 leo ni nani. Nakwambia simjui. Unaniambia ni huyu binti Fatma mwenye miezi 6 tu leo. Nakwambia haiwezekani, huyo binti mchanga Fatma si mama mzazi wa Juma mwenye miaka 30, kwa sababu mama mzazi wa Juma mwenye miaka 30 ni kazima awe mkubwa zaidi ya miaka 30. Unabisha. Unasema kwa kuwa simjui mama mzazi wa Juma, basi lazima huyu binti Fatma ndiye mama mzazi wa Juma.

Huelewi kuwa naweza kujua jibu fulani si sahihi hata kaboa ya kujua jibu sahihi ni lipi.

Hii ndiyo point kubwa kabisa, nawwza kujua jibu fulani si sahihi hata kabla sijajua jibu sahihi ni lipi.

Naweza kujua jibu la Mungu si sahihi, hata kabla sijajua jibu sahihi ni nini.

Umeelewa hiyo hoja?
 
Kivumbi leo
Me pia ni mmoja wao
Mpuuzi Mimi Kabisa
Lakini inabidi ujue maana ya neno MUNGU
Pia inabidi ujue kuhusu DINI ni utamaduni
Mwisho,hakuna Mungu Bali kuna Creator ambaye alitupatia Uhai ili tuishi kwa kuenjoy na tufuate sheria za kiulimwengu tuweze kuishi vizuri zaid
 
Back
Top Bottom