Kwa wanaoamini hakuna Mungu, njooni hapa

Kwa wanaoamini hakuna Mungu, njooni hapa

Nakubali umesema hakuna binaadamu wakwanza kutokana na urofauti wa rangi na vinasaba unamaanisha tumeombwa tofauti tuchukulie washaumbwa watu warangi tofauti navinasaba je walitokana nann au walikuja kivip mpaka wakawepo duniani tunahitaji chanzo cha uwepo wap utuelezee
Binadamu ndio chanzo chenyewe cha sisi wenyewe kuwepo duniani.
 
Nilikupa kazi uonyeshe uongo wa Qur'an na utuambie ya kuwa kwa vipi Qur'an isiwe ushahidi. Ikaonekana kumbe hata hiyo Qur'an huijui.

Ukaanza kuruka ruka na kukimbia maswali, ukaendelea kukosoa kulinganisha vitu ambavyo havifanani bali ukakosea zaidi hata kuandika jina la Abuu Nawas.

Qur'an inajuthibisha yenyewe kwa kile ilichonacho na kule ilipo Toka. Ndio maana ukashindwa kuonyesha uongo wa Qur'an.

Kuisoma kwenye Qur'an aya inasomeka hivi :

35. Au wao wameumbwa pasipo kutokana na kitu chochote, au ni wao ndio waumbaji?

36. Au wao wameziumba mbingu na ardhi? Bali hawana na yakini. (at-Tur : 35 - 36)

Sasa hicho ndicho ambacho Kimo kwenye Qur'an Sasa uje kutoa majibu kwa ushahidi na utuambie je kilichoandikwa hapo ni uongo ?

Nasisitiza tena, uje uthibitishe ya kuwa yaliyomo kwenye Qur'an ni Hadithi. Kila siku nakupa angalizo hakikisha unakijua unacho kijadili.


Mimi Nina uhakika, Nina jua na ndio maana kith bitisha uwepo wa Mola muumba sijawahi kushindwa bali ni kitu chochote.

Bakuongezea na hili, katika kila kitu unachokijua na usichokijua kinathibitisha juu ya uwepo wa Mola tena ni mmoja aliye tukuka.

Wewe Imani yako ina uthibitisho gani zaidi ya kuonyesha ni mgonjwa wa akili na una uwezo mdogo wa kufikiri.


Halafu hakuna mtu anaitwa Abunuwasi, uwe unasoma kwanza kabla ya kuandika. Unaposema ni Hadithi uchwara unatakiwa usihishie hapo, kosoa na uonyeshe uuchwara huo, kinky me na hapo unacheza makida makida na unaleta utoto.

Uwepo wako wewe tu inaonyesha ya kuwa Mungu yupo. Sasa unapo uliza na kutaka uthibitisho inaonyesha wazi ya kuwa hujawahi kufikiria hilo.
Uwepo wangu hauonyeshi, uwepo wowote wa kwamba Mungu yupo.

Ni wewe tu unafosi na kulazimisha iwe hivyo.

Nakwambia hivi, Huyo Mungu kama yupo ajitokeze mwenyewe ajiongelee na kujielezea sio wewe unahangaika kumwelezea na kumtetea.
 
Nilikupa kazi uonyeshe uongo wa Qur'an na utuambie ya kuwa kwa vipi Qur'an isiwe ushahidi. Ikaonekana kumbe hata hiyo Qur'an huijui.

Ukaanza kuruka ruka na kukimbia maswali, ukaendelea kukosoa kulinganisha vitu ambavyo havifanani bali ukakosea zaidi hata kuandika jina la Abuu Nawas.

Qur'an inajuthibisha yenyewe kwa kile ilichonacho na kule ilipo Toka. Ndio maana ukashindwa kuonyesha uongo wa Qur'an.

Kuisoma kwenye Qur'an aya inasomeka hivi :

35. Au wao wameumbwa pasipo kutokana na kitu chochote, au ni wao ndio waumbaji?

36. Au wao wameziumba mbingu na ardhi? Bali hawana na yakini. (at-Tur : 35 - 36)

Sasa hicho ndicho ambacho Kimo kwenye Qur'an Sasa uje kutoa majibu kwa ushahidi na utuambie je kilichoandikwa hapo ni uongo ?

Nasisitiza tena, uje uthibitishe ya kuwa yaliyomo kwenye Qur'an ni Hadithi. Kila siku nakupa angalizo hakikisha unakijua unacho kijadili.


Mimi Nina uhakika, Nina jua na ndio maana kith bitisha uwepo wa Mola muumba sijawahi kushindwa bali ni kitu chochote.

Bakuongezea na hili, katika kila kitu unachokijua na usichokijua kinathibitisha juu ya uwepo wa Mola tena ni mmoja aliye tukuka.

Wewe Imani yako ina uthibitisho gani zaidi ya kuonyesha ni mgonjwa wa akili na una uwezo mdogo wa kufikiri.


Halafu hakuna mtu anaitwa Abunuwasi, uwe unasoma kwanza kabla ya kuandika. Unaposema ni Hadithi uchwara unatakiwa usihishie hapo, kosoa na uonyeshe uuchwara huo, kinky me na hapo unacheza makida makida na unaleta utoto.

Uwepo wako wewe tu inaonyesha ya kuwa Mungu yupo. Sasa unapo uliza na kutaka uthibitisho inaonyesha wazi ya kuwa hujawahi kufikiria hilo.
Unachokiafanya wewe ni mahubiri tu ili watu waamini Mungu yupo kupitia Qur'an ambayo pia imeandikwa na watu tu.
 
I feel like recording a voice note for you and everyone else who has no understanding about God . Mnachanganya Mungu na dini which is not right. Mungu akuleta dini Wala hajui mambo ya dini. Ndio ulizaliwa but remember the intelligence ( God) which initiated the self-replicating process of reproduction and birth. Let me use this analogy to atleast make you understand. You bought a toothbrush, the company which manufactured the toothbrush doesn't follow up on how you use it , whether you use it for brushing your teeth, hair or shoes that's your business, God created this universe and he might be somewhere creating other universes ( The Multiverse) Is not here to check whether the self replicating process is bringing abnormal children or not, whether there earthquakes or not , he embedded all that in the Code, one day we're going to figure out how to circumvent all the known problems because it's all in the Code. Religion in it's entirety is a scam , I don't want to go in details and I don't believe in religion but that doesn't take away the fact that there is God ( Designer).
When you purchase a car from Japan, if it has no warrant ( Ofçourse no car wallanties , it's only insurance) the manufacturing company won't be responsible for the accidents you'll face on the road, and you can't claim that the car wasn't created by intelligent people because it's facing accidents and other mechanic failures.
Concepts Ya Mungu Bila Dini Inakufa Mkuu..
Kwa mfano ukienda Ibrahimic Religion na ukalinganisha Dini zingine Concepts ya mungu utagundua ni Conplex Logical tofauti..
So Mumgu siku zote Hutetewa na Dini ukiondia Dini Mungu hayupo
 
Kwenye amri kuu za mungu kandika yatupasa kumwogopa mungu na kumpenda NENO HOFU mfano ukitaka kutenda jambo ovu dhambi ukikumbuka mungu hunaacha kufanya
Kwahiyo kumbe hufanyi Kitu kwa sababu ya Hofu? Uoga na Kuogopa Adhabu??
Nilipokuwa Primary nilikuwa Muoga sana kufanya kitu nik8hofia adhabu na Kichapo kutoka kwa Wazazi ama walimu..

Lakini nilivyopata aakili ya Kuishi Nimekuwa Ninaweza kuona Hiki kitu si sawa Hata kama ninao uwezo wa Kukifanya Nguvu ya akukifanya ninayo na hata ushawishi wa kukifanya ninao bila kuangalia Hali ya Force ya Nje inasemaje ninaacha kukifanya..
Ukifika Level hiyo ndo nitakuona Una maarifa ila kama Unaacha kufanya kitu kwa sababu unaogopa Mtu na sio roho yako kukinai kile kitu na kujiona wewe ni mkubwa kuliko huo uovu uliotaka kuufanya bhasi Dini yako haijakusaidia kitu zaidi ya Kuwa Chombo vha Hofu na Kuishi kwenye mizania ya Hofu ambayo utakufa ukiwa nayo na ahautafurahia maisha..
 
Madai ya uwepo wa Mungu yametoka kwenu nyie waamini huyo Mungu.

Ninyi "Waamini Mungu" ndio mnadai na ndio mnasema kuna Mungu.

Hivyo nyie waamini Mungu ndio mnapaswa kuthibitisha madai yenu ya uwepo wa huyo Mungu mnayedai na kusema yupo.

Mkishindwa kuthibitisha madai yenu ya kusema "Mungu yupo" ni kwamba madai yenu ni ya uongo, Na huyo Mungu mnayedai yupo, HAYUPO.
Kwani tunadai yupo kisayansi, kiimani au kifilosofia?
 
Logic msingi wake mkuu ni akili, na akili ya mwanadamu ina ukomo.
Kama akili ya mwanadamu ina ukomo, umewezaje kujua kwamba Mungu ni perfect?

Je, Huo sio ukomo wako mwenyewe wa kufikiri kama ulivyosema?

Kama binadamu tungekua na ukomo sawa wa kufikiri tusingetofautiana kimitizamo, falsafa na itikadi?

Conclusion: Binadamu hatuna ukomo sawa wa kufikiri.

Kama unakataa jiulize unauwezo wa kufikiri sawa kabisa na Albert Einstein?
Mungu hafanani na chochote bali ni mkamilifu mwenye kujua.
Ukisoma hicho kitabu chako kinachokupa jeuri kinakufundisha mwanaume mkamilifu anatimiza majukumu ya familia yake.

Je ukamilifu ni kutuma watu waje kuteketeza watoto wako mwenyewe kwa mapigo tofauti tofauti ili kukwepa majukumu?

Je ukamilifu ni kuwatupia watoto wako maovu, matetemeko, vita, magonjwa, njaa halafu wewe unakimbilia kujificha mahala [mbinguni] unaangalia tu wanavyoumia?

Je ukamifu ni kuwaandalia moto mkali watoto wako mwenyewe ili siku1 uwateketeze na usiwaone kabisa?

kama anafundisha mwanaume mkamilifu hutimiza majukumu halafu yeye anayakwepa, Je ni mkamilifu huyo?

Je, Mimi ni mkamilifu kumzidi? sababu ninatafuta pesa, nina upendo, ninahakikisha familia yangu inakua salama, inapata elimu bora, afya, na ulinzi, sijaitelekeza wala sina mpango mbaya na familia yangu .

Nimeweza kuyatekeleza majukumu ambayo yeye ameyakimbia, Je, mimi ni mkamilifu kumzidi?
Kwa ufupi uwepo wa kitu huonyesha uwepo wa kitu kingine kilicho fanya kitu hicho kuwepo.
Kwa kutumia mfano huu umethibitisha kwamba uwepo wa Mungu unatakiwa usababishwe na kitu kingine, na hicho kitu kingine kisasabishwe na kingine, mtiririko uende hivyo hivyo mpaka kusiko na ukomo infinity.
Uwepo wa Mungu ni uwepo wa lazima ambao hauhutaji uwepo wa kitu kingine zaidi yake kufanya Mungu awepo, huo ndio ukamilifu wake.
Hapo juu umedai kwamba ili kitu chochote kitokee lazima kiwepo na kilichosababisha hicho kitu kitokee.

Hapa unakuja na hoja nyingine tena ukisema Mungu haitaji chochote ili awepo.

Kama haitaji chochote ili awepo basi hayupo, kwasababu kila kitu lazima kiwe kina sababu yake ya kuwepo.
👇👇
Kwa ufupi uwepo wa kitu huonyesha uwepo wa kitu kingine kilicho fanya kitu hicho kuwepo.
 
Sijapewa uhuru huo, hii ni kauli ya kiimani.


Nimepewa na nani? Mungu? Huyu huyu Mungu ambaye hujaweza kuthibitisha yupo?



Nnai kaamua yapo nje ya uwezo wangu? N akama kuna mwingine anaamua mwanzo na mwisho w auhuru wangu, je, ni kweli nina uhuru?



Huu ulimwengu wa malaika huwezi kuthibitisha upo. Ukibisha, thibitisha upo.


Hata kama haya yangekuwa kweli, kwa nini Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote atupitishe kwenye mapito yenye mabaya wakati aliweza kutupitisha kwenye mapito yasiyoweza kuwa na mabaya?



Bado hujajibu kwa nini Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote karuhusu viumbe wake anaowapenda waishi kwenye dunia yenye tabu na mabaya mengi?



Si kweli, sijapewa uhuru wa kufanya ninachotaka. Nataka an endless source of energy, sina uhuru wa kuwa nayo.



Hujathibitisha kwamba baada ya kufa kuna siku ya hukumu, hii ni kauli ya imani tu.



Hujaweza kuthibitisha kuwa huko peponi au motoni kupo, hizo ni kauli za imani tu.

Usiweke kauli za imani tu, thibitisha unachoandika.
Hivyo unavyo vitamani na huna uwezo wa kuvipata ndio ujue Sasa kama Mungu Yupo

Kuna Ndege anaweza kupaa angani Hadi KM 10,000 above the sea level
Lakini wewe hauna hata uwezo wa kupaa M 100

By the way sera ya Mungu ni udicteta sio democrasi na ndio maana amekupa kile ambacho ameona kinakufaa na vingine umenyimwa
 
Kwa wanaoamini hakuna mungu, ukiwachunguza kwa makini hawa watu ndiyo ujifanya wao ni majiniazi, kumbe ni wapumbavu wa mwisho katika hii dunia, na hoja yao kubwa ni kwamba kila kitu ni nature hoja hii haina mashiko hata kidogo na ni hoja ya kipuuzi ambayo utolewa na watu ambao kwa kawaida wameshindwa kuamini katika imani zao kwa uthabiti maybe wamechunguza kuwa katika imani zao ambazo wamekuwa na kulelewa umo aziko sawa sawa na azijawapa majibu yakutosha kiasi cha wao kuamini

Kuna wengine majeuri tu na kwakweli katika hii dunia watu hao awawezi kukosekana wanajua na kuona lakini nyoyo zao zimekufa na wauwaji ni wenyewe na matendo yao.

Na rudi katika hii hoja ya kusema kila kitu kipo sababu ni nature, huyu huyu anaesema hivi anaamini kwamba simu anatengeneza mzungu internet mzungu,

ila jinsi mungu alivyoumba kila kitu kwa ustadi wa hali ya juu wanasema ni nature, ushuuzi!
Kwa uginiaz nilonao Uzi mzima umejaa vichambo na majivuno hakuna facts.

Chukua hiii....Mungu yupo ila inategemea hii dhana Mungu unaichukuliaje ndomana kuna wanaoabudu wanyama, jua, milima, miti, sanamu, na wanaoishia kutaja jina lake au majina yake.

God is a super natural power anzia hapa, super natural power that created everything including Man.

Ukitaka kujua kuwa MUNGU ni nature angalia vitu vidogo vudogo ambavo uhalisia wake haubadiliki.
Mfano, ili mbegu zote ni lazima maji au unyevu kuwepo that's nature and it can't be amended
 
Una

Imani kaka?
Sitaki imani, nataka kujua ukweli.

Imani unaruhusiwa kuamini hata uongo. Imani haina haja ya uhakiki wala uthibitisho. Ndiyo maana kuna imani nyingi, nyingine zinapingana, na zote ni haki ya kibinadamu.

Mimi sitaki imani. Kwa sababu kwangu imani ni haki ya kibinadamu ya kila mtu kuwa na yake anayotaka. Hata ya uongo, ni haki ya kibinadamu ya mtu, mradi kaamua kuwa na imani hiyo. Imani haihitaji logical consistency. Imani inaweza kuwa na contradiction. Imani haihitaji uthibitisho wala uhakiki.

Sitaki imani, nataka kuujua ukweli. Unaoweza kufanyiwa uthibitisho. Ukweli si haki ya kibinadamu. Ukweli unakwenda na logical consistency. Ukweli hauna contradiction.
 
Hivyo unavyo vitamani na huna uwezo wa kuvipata ndio ujue Sasa kama Mungu Yupo

Kuna Ndege anaweza kupaa angani Hadi KM 10,000 above the sea level
Lakini wewe hauna hata uwezo wa kupaa M 100

By the way sera ya Mungu ni udicteta sio democrasi na ndio maana amekupa kile ambacho ameona kinakufaa na vingine umenyimwa
Hujaelewa, hujaelewa hujaelewa.

Kwanza kabisa sijavitamani na kutovipata.

Hiyo ni hoja ya kifalsafa ya kuonesha kuwa hatuna uhuru huo unaosemwa.

Mnasema sana Mungu hivi, Mungu vile, lakini hamuwezi kuthibitisha Mungu yupo.

Unasema.sera ya Mungu ni udikteta. Kabla ya kusema sera ya Mungu ni nini, thibitisha yupo kwanza.

Mnaleta maneno ya imani tu, mkiambiwa thibitisheni Mungu yupo hamuwezi.

Thibitisha Mungu yupo.
 
Mpaka mda huu hamjafikia mwafaka tu?
Mpaka muda huu hakuna aliyethibitisha Mungu yupo.

Kwa sababu hayupo, habari za Mungu ni longolongo za kutungwa na watu tu.

Mungu angekuwepo, ingekuwa rahisi sana ku prove yupo. Hususan Mungu alivyoandikwa ni mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, huyu hana haja ya kujificha sana mpaka watu wauane kwa vita za kidini kupigana sababu yeye kajificha hajulikani vizuri.

Ukishaona Mungu mgumu kujulikana, ana figisu nyingi za kimepanda kimeshuka ukitaka kumjua, ana maswali mengi yasiyo na majibu, ujue huyo ni Mungu wa kutungwa na watu tu.
 
Kwa uginiaz nilonao Uzi mzima umejaa vichambo na majivuno hakuna facts.

Chukua hiii....Mungu yupo ila inategemea hii dhana Mungu unaichukuliaje ndomana kuna wanaoabudu wanyama, jua, milima, miti, sanamu, na wanaoishia kutaja jina lake au majina yake.

God is a super natural power anzia hapa, super natural power that created everything including Man.

Ukitaka kujua kuwa MUNGU ni nature angalia vitu vidogo vudogo ambavo uhalisia wake haubadiliki.
Mfano, ili mbegu zote ni lazima maji au unyevu kuwepo that's nature and it can't be amended
Unathibitishaje Mungu yupo, na ni super natural power na kaumba kila kitu, na hayo si maneno ya kutungwa na watu tu?
 
Mpaka muda huu hakuna aliyethibitisha Mungu yupo.

Kwa sababu hayupo, habari za Mungu ni longolongo za kutungwa na watu tu.

Mungu angekuwepo, ingekuwa rahisi sana ku prove yupo. Hususan Mungu alivyoandikwa ni mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, huyu hana haja ya kujificha sana mpaka watu wauane kwa vita za kidini kupigana sababu yeye kajificha hajulikani vizuri.

Ukishaona Mungu mgumu kujulikana, ana figisu nyingi za kimepanda kimeshuka ukitaka kumjua, ana maswali mengi yasiyo na majibu, ujue huyo ni Mungu wa kutungwa na watu tu.
Mtag rabon anaweza kukupa majibu
 
Sitaki imani, nataka kujua ukweli.

Imani unaruhusiwa kuamini hata uongo. Imani haina haja ya uhakiki wala uthibitisho. Ndiyo maana kuna imani nyingi, nyingine zinapingana, na zote ni haki ya kibinadamu.

Mimi sitaki imani. Kwa sababu kwangu imani ni haki ya kibinadamu ya kila mtu kuwa na yake anayotaka. Hata ya uongo, ni haki ya kibinadamu ya mtu, mradi kaamua kuwa na imani hiyo. Imani haihitaji logical consistency. Imani inaweza kuwa na contradiction. Imani haihitaji uthibitisho wala uhakiki.

Sitaki imani, nataka kuujua ukweli. Unaoweza kufanyiwa uthibitisho. Ukweli si haki ya kibinadamu. Ukweli unakwenda na logical consistency. Ukweli hauna contradiction.
Umejibu jibu refu my nataka useme ndio au hapana kisha niendelee Sion hutaki Imani sema ndio au sio
 
Back
Top Bottom