Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndio umeongea la maana kuliko huyu mwana JF wa muda mrefu sana.Hiyo paragraph yako ya mwisho, nchi inahitaji katiba mpya,yaani hii ya sasa anaweza kutuhamisha wandendeule wote na kutupeleka Tanga, na hatafanywa chochote!,President must earn a respect sio kulazimisha, yes mafuta yamepanda bei ila kwetu hapa ni udhaifu mkubwa wa serikali, bei ya were inategemea mambo mengine sio soko la dunia pekee