Hiyo paragraph yako ya mwisho, nchi inahitaji katiba mpya,yaani hii ya sasa anaweza kutuhamisha wandendeule wote na kutupeleka Tanga, na hatafanywa chochote!,President must earn a respect sio kulazimisha, yes mafuta yamepanda bei ila kwetu hapa ni udhaifu mkubwa wa serikali, bei ya were inategemea mambo mengine sio soko la dunia pekee