Kwa wanaohitaji Line za Safaricom zimefika Tanzania

KWANI NIKIWA NA MASTERCARD AU VISA SI NARAHISISHA TU?
unarahisisha kuwapa ulaji wenye benki zao maana ku Deposit huwa rahisi kama kumsukuma mlevi ila ku Withdraw sasa ndio utakapojua nini kilimpa kanga vidoti doti.
Makato kama yote na delays ni za kutosha. Hela ya kupewa ndani ya dakika 10 utaisubiri week huku asilimia karibu 30 umewaachia wao
 
duuuuh basi poa mkuu huko kuzuri
 
Bado zinapatikana?
 
Wakuu hizi line za Safaricom zenye usajili wa Kenya baada ya tarehe 20 line kufungiwa na TCRA tutaendelea kuzitumia au nazo zitafungiwa? Msaada tafadhali hali ishakuwa tete kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…