Mtafute Tomaa Miren alieanzisha uzi kipindi icho ndio nilinunuaga kwake namimi...Mkuu bado hizo line unazo nilikuwa nahitaji kama zipo tuwasiliane nikutumie pesa
Mbona miandiko ina fanana
Asante Sana Bro Tomaa Kwa Moyo Wako Mzuri Wa Kutusaidia Kuendelea Kuwa Name Urahisi Wa Upatikanaji Wa Huduma Za Kitechnologia. Hasa Zaidi Juu Ya Upatikanaji wa Hizi Line Za Safaricom Hakika Zinanisaidia kwa Mambo Mengi Sana Ikiwemo #Kutoa na Kupokea PESA PAYPAL, #Kutuma na Kupokea PESA Mpesa, [emoji39]Pia Bonus za Vocha Ya Mpaka 1000Ksh Hakika Safaricom Inanisaidia.
Asante Sana Mister Tomaa Pia Zile Line 7 Nyingine Nimezipata pia Thanks Sana.
Line zimebak 3 tu bossHata mimi ninahitaji.
Lakini nina swali kwanza.
Nataka niitumie hiyo line kuwithdraw na kudeposit kwenye a/c yangu ya 1xbet je itawezekana na mimi nimeisajili hiyo a/c kwa no ya bongo na kwenye country nimesect Tz.
Nikipata majibu ya uhakika nitachukua line
Chukua hiyo line jaza pesa nenda 1xbet chagua deposit au withdraw with mpesa safaricom...na mimi nahitaji niitumie kwenye 1xbet vip mkuu una uelewa wowote kuhusiana na hili mkuu tushare nasi kdogo?
East Africa moja baba.Za nini sasa?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]@tomaa mireni umeamua kuwa na ID mbili na kujijibu thread yako....
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ukiwa na hizi line unaweza kuweka hela na kutoa kupitia Skrill..So unafungua Skrill unaweka hela kupitia hii line then unaweka huko 1xbet.na mimi nahitaji niitumie kwenye 1xbet vip mkuu una uelewa wowote kuhusiana na hili mkuu tushare nasi kdogo?
So kama nipo Tanzania, vipi nita withdraw from Safaricom Mpesa ikiwa hamna mawakala wa safaricom? au unatoa hela kwa mpesa yoyote tu japo kama voda?Kama wewe ni mtu wa online business na unapokea malipo yako kupitia PayPal basi laini ya Safaricom ni muhimu kwa sababu ukiwa nayo unaweza fungua PayPal ya Kenya na ukalink na M-pesa ya Safaricom na utakuwa unaweza kutoa pesa kutoka PayPal kwa muda usiozidi masaa mawili tu! Binafsi ninayo na natumia! Inanisaidia sana...
Unaweza kuhamisha hela kutoka mpesa kenya kwenda mpesa tanzaniaSo kama nipo Tanzania, vipi nita withdraw from Safaricom Mpesa ikiwa hamna mawakala wa safaricom? au unatoa hela kwa mpesa yoyote tu japo kama voda?
Unahamisha pesa kutoka mpesa safaricom kwenda mpesa vodacom.So kama nipo Tanzania, vipi nita withdraw from Safaricom Mpesa ikiwa hamna mawakala wa safaricom? au unatoa hela kwa mpesa yoyote tu japo kama voda?
Uchawi sio mpaka ukutwe uchi, JUU ya paa LA ASKOFU KAKOBESerikali ingilieni Kati ufirauni huu Safaricom na Tanzania wapi na wapi?
Mkuu ntapata vp hiyo line nipo jiran na arusha
Serikali ingilieni Kati ufirauni huu Safaricom na Tanzania wapi na wapi?
Naunga mkono Hoja,Angalizo muuzaji, angalia usiingie matatani na TCRA wakikushika ndugu kesi utazofunguliwa sijui idadi yake, ungefanya kimya kimya bila kujianika, saiv kuna operation ya kuondoa laini zote ambazo hazijasajiliwa kwa kufuata taratibu, sasa kuingiza laini za kenya ndio(nakubali kwa lengo jema) ila kuna watu wanaweza tumia kichaka hicho kufanya uhalifu, kesi za mauaji mfano zinaweza tumiwa na watu kwasababu ya usajili kufanyika nchi jirani na hivyo kupoteza ushaidi, hayo ni ya ziada ila tumia akili kidogo unapofanya vitu ambavyo ni strict kwa usalama wako pia.
Umeanika namba zako wakianza ku trace mawasiliano yako ndani ya masaa machache identity yako wanayo, sikutishi ila kuwa makini tu inawezakana hujui consequences za unachofanya.
Goodluck
Ukiona huilewi ujuwe haikuhusu.Nimekuewa Sana
Vodacom
Tigo
Airtel
Smart
Ttcl
Hallotel
Kwaio??chukua hatua basi,mpaka uamke usingizini utakuja kununua kwa 20k
So kama nipo Tanzania, vipi nita withdraw from Safaricom Mpesa ikiwa hamna mawakala wa safaricom? au unatoa hela kwa mpesa yoyote tu japo kama voda?
thanks mkuuMkuu ukiwa na hizi line unaweza kuweka hela na kutoa kupitia Skrill..So unafungua Skrill unaweka hela kupitia hii line then unaweka huko 1xbet.
Ila moja kwa moja kwenda 1xbet sidhani labda ufake location.