Kwa wanaohitaji Line za Safaricom zimefika Tanzania

Line zimebak 3 tu boss

1xbet ni ya tz au Kenya?
Cha kuzingatia ni kuwa ukiwa na hizi line unaweza kufanya transactation zozote za TZ na Kenya.
Cha kuzingatia ni kama location ni issue utatumia VPN au fake GPS ulocate Kenya
sawa kiongozi
 
hahaa sio mambo ya double ID haya??
 


Bila shaka hata naye hilo atakuwa analijua kabisa hivyo nahisi huko kwa kina TCRA atakuwa ameshamalizana nao!
 
We mbona unatumia halotel

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili ndio kosa mnalofanya yaan comment ya kwanza new member anasifia biashara yako daah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…