Mtoto wa Baba
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 3,123
- 4,023
Huyo atakuwa hamfikishi huyo dem wakeNiko hapa nnaye bisha, kwa vigezo vifwatavyo...
Kuna jamaa hapa kitaa kila siku analia, anasema ana mapenzi ya dhati kwa demu wake, anamjali, anamsikiliza lakin bado demu hamuelewi...
Anampa mpaka pesa na kitandan anasema anamridhisha lakin bado demu haelewi lugha!!
Kwa hiyo nakataa na kuipinga hoja yako.