mwenye shamba
JF-Expert Member
- May 31, 2015
- 978
- 1,766
ndugu yangu dunia inamengi,tangu siku hiyo sijawahi kuwaza kujiua,na Mungu alivyo mwema nilikaa muda kidogo tu wakaja wachina kijijini kuwekeza kwenye maswala ya dhahabu nikajiegesha kwa muda wa miezi kama mi4 hivi.Sasa siku moja nikabet sportpesa jackpot nikawin match 11 nikawa nimepata mil 4 ndo nikaamua kujiajiri.Hongera na pole sana kiongozi hakika Mungu anakupenda sana that's why hakutaka ufe mkimbilie yeye utakuwa salama
kama unadhani huko unapoenda ni kwa mchina kuangalia mechi ya ruvu shooting na sabaya rangers jiue halafu utaenda kujionea......kwaheri na kujisaidia kwenye nguo kwema..Hayakai sawa ndio maana bora tu niondoke
Vunga man.. it's always dark before dawnSina jinsi bro
Unalala usingizi wa "pono", ukiamka unajikuta "akhera".Kwahiyo husikii maumivu
Umenena vyema mkuu.Ubatili ni kama kumeza upepo, hakuna sababu ya kujitoa uhai narudia tena hakuna sababu ya kujitoa uhai, hayo ni majaribu tu na lazima kuna najia ya kuyashinda,wewe sio wa kwanza kupita katika hali kama hiyo wapo wengine waliopita wakashinda,zaidi ni kwamba ukivumilia kidogo tu mambo yatakuwa sasa, then kunasiku utakumbuka na kucheka sana kwanini nlitaka ku commit suicide.
The next is me sidhani kama huu mwezi utaisha,kwaherini wana jf
Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi ktk kila gumu upitialo.The next is me sidhani kama huu mwezi utaisha,kwaherini wana jf
Da nafwatilia mtiririko wa unaowajibu, kaka usikate tamaa mwombe Mungu kwa sasa upate kwanza amani ya moyoNimevumilia sana ndugu yangu
Kaka kama unaweza share tatizo lako wenye nia tukakusaidiaNimejitahidi ila sasa nimesalim amri sioni namna ya kueouka hiki kikombe
Na Kama ana deni alipe kabisaMkuu nunua kabisa jeneza,sanda na pesa ya msiba ila ndgu zako wasipate gharama
Dah Mungu hafananishwi na kitu chochote aisee, ndy maana huwa nawadharau sana watu wanaohoji uwepo wa Mungu wa kweli eti wanalinganisha na miungu ya hovyo kama ile ya freemason amini Mungu kweli alikuacha uendelee kuishi ili uwe ushuhuda Kwa wengine na ana maksudi na wewe unaweza kuja kuwa mtumishi mkubwa sana huko mbelenindugu yangu dunia inamengi,tangu siku hiyo sijawahi kuwaza kujiua,na Mungu alivyo mwema nilikaa muda kidogo tu wakaja wachina kijijini kuwekeza kwenye maswala ya dhahabu nikajiegesha kwa muda wa miezi kama mi4 hivi.Sasa siku moja nikabet sportpesa jackpot nikawin match 11 nikawa nimepata mil 4 ndo nikaamua kujiajiri.
Kujiua ni dhambi mbele za Bwana wa Majeshi utaishia jehanamu ya MotoHaya asante
Nimevumilia miaka nane dadangu nadhani inatoshaDa nafwatilia mtiririko wa unaowajibu, kaka usikate tamaa mwombe Mungu kwa sasa upate kwanza amani ya moyo
Pia mwombe Mungu afanyr wepesi ktk upitiayo pia mwombe akuchukue yeye bila wewebl kuidhuru nafsi yako ikiwa hakuna kheri ya wewe kuendelea kubaki
Pole kaka yangu
Ni sayansi tu, dawa za usingizi zinakufanya ulale. Ukizidisha dose siyo tu unalala usingizi mzito, kwanza unapoteza fahamu kabisa kisha unakufa taratibu.Umejuaje hakuna maumivu?
Kaka nimekudm naomba unchekNimevumilia miaka nane dadangu nadhani inatosha
Ubatili ni kama kumeza upepo, hakuna sababu ya kujitoa uhai narudia tena hakuna sababu ya kujitoa uhai, hayo ni majaribu tu na lazima kuna najia ya kuyashinda,wewe sio wa kwanza kupita katika hali kama hiyo wapo wengine waliopita wakashinda,zaidi ni kwamba ukivumilia kidogo tu mambo yatakuwa sasa, then kunasiku utakumbuka na kucheka sana kwanini nlitaka ku commit suicide.
mdukuzi noo, wengi tunapitia mazito, ni basi tu tunajifariji hunuNimejitahidi ila sasa nimesalim amri sioni namna ya kueouka hiki kikombe
Hehhh!!!!😢😢😢😢The next is me sidhani kama huu mwezi utaisha,kwaherini wana jf