Kwa wanaotaka kujiua, soma hapa ujue namna ya kujizuia

Kwa wanaotaka kujiua, soma hapa ujue namna ya kujizuia

Nimeandika makusudi sababu najua kwamba kama mtu ana nia ya dhati kujiua huwezi kumzuia.
Asikudanganye mtu, siku zote wanaojiua huwa hawasikilizi ushauri wa mtu yeyote. Wakiamua wameamua.
Ukikutana na mtu anasema eti alitaka kujiua lakini baada ya kushauriwa akaacha, huyo ni muongo, hakuwa serious, alikuwa anatafuta tu sympathy kutoka kwa watu.
By the way, kifo kipo tu, usipokufa kwa kujiua utakufa tu kwa namna nyingine. Death is inevitable.
Basi imetosha, acha kuandika ujinga.
 
Dah...hiyo inaumiza sana sana aisee...dah...ndo changamoto hizo
Huku mererani ni kawaida sana mtu kufilisika na kubaki hana mia,sijawahi kuona wakijiua eti maisha yamewashinda....mifano nayo zaidi ya ishirini na watu wanadunda mitaani tu,huyo mwenye kununuliwa pikipiki aliwahi kutoa mawe mara 2 ya ukubwa wa yale mawe ya laizer anaitwa gadi mango,ni mkubwa kma pepekale imagine anatembelea pikipiki ya kununuliwa n washkaji
 
Huku mererani ni kawaida sana mtu kufilisika na kubaki hana mia,sijawahi kuona wakijiua eti maisha yamewashinda....mifano nayo zaidi ya ishirini na watu wanadunda mitaani tu,huyo mwenye kununuliwa pikipiki aliwahi kutoa mawe mara 2 ya ukubwa wa yale mawe ya laizer anaitwa gadi mango,ni mkubwa kma pepekale imagine anatembelea pikipiki ya kununuliwa n washkaji
Mimi roho ya 2usugu na kutokata tamaa nimeikazia zaidi huko migodini..mtu anakuambia aliwah lamb 500m lakinj anadunda tu...at first nilikua naumia san nikipoteza hela...nilikua nalala sk nzima..nikakutaja na walopoteza hela bwana 🙌
 
Mimi roho ya 2usugu na kutokata tamaa nimeikazia zaidi huko migodini..mtu anakuambia aliwah lamb 500m lakinj anadunda tu...at first nilikua naumia san nikipoteza hela...nilikua nalala sk nzima..nikakutaja na walopoteza hela bwana [emoji119]
Mtu anapoteza n kua kapuku kabisa na maisha yanasonga,huyu anatuletea story za kujiua eti maisha yamempiga...aje nimuonyesha waliokua madon sasa havi wanagongea sigara....mtu anakuambia pesa aliokula huku yuko normal
 
Mtu anapoteza n kua kapuku kabisa na maisha yanasonga,huyu anatuletea story za kujiua eti maisha yamempiga...aje nimuonyesha waliokua madon sasa havi wanagongea sigara....mtu anakuambia pesa aliokula huku yuko normal
Tusikate tamaa....maisha lazima yaendelee
 
Niwape shule kidogo ktk masomo ya ulimwengu wa roho au elimu ya viumbe visivyoonekana.
Kujiuwa huwa ni roho ya mauti kupitia sauti inayokuamuru ufanye hivyo.Naposema roho namaanisha pepo mchafu au jini wa mauti amefika kwako either kwa kutumwa au kuja baada ya kusikia maombi yako hivi viumbe usikia sauti hata iwe ya chini kupita kiasi kupitia mawazo yetu.
Nini ufanye unapohisi una magumu
1.Tafuta viksi upake ikiwa na maana ile harufu ule mfukizo uingie kwenye ubongo Ili uende ukastue ule ufahamu wako uyafurushe Yale mawazo machafu.Ukikosa vicks tumia kitunguu saumu.
2.Toka eneo hilo haraka Sana kama ni kitandani amka na usimame Ili damu izunguke ikibidi tembea tembea.Kunywa chochote cha kuchangamsha mwili.Au kubadili Yale mawazo machafu fungua hata TV uingize vitu vipya akilini.
3.Shirikisha wenzio matatizo yako, Hakuna matatizo mapya duniani.
4.Epuka upweke fanya mazoezi tembea,safiri, unaweza ukahama nyumbani kwa siku kadhaa ukaishi hotelini siku mbili tatu hivi Ili ikae SAwa akili.
Fanya maombi,fanya meditation.
Kitunguu saumu natumiaje mkuu na hiyo vski napaka mwili mzima au?
 
Nimevumilia miaka nane dadangu nadhani inatosha
Vumilia yatakwisha ..usijikatae...

Aisee si ya kusema...

Kudhulumiwa kila kitu..kubambikiwa kesi ufungwe miaka zaidi ya 5..utolewe kwa masharti ya kukaa kimya...familia imeteketezwa...na mengi tu..

Sijui kilichokusibu..lakini funguka ila kaza moyo.. jiambie utaishi tena vizuri...

Ila hii dunia haina huruma wala usawa...

Sikulaumu.. ... ....
 
Marejeo kwa nani?
Hakuna matatizo mapya duniani ambayo hayajawahi tokea yote yatokeayo ni marudio tu.
Ukitaka kujua wewe huna tatizo au lako ni dogo Sana ingia youtube andika neno mikasa, simulizi nk utapata simulizi nyingi Sana za watu waliopata matatizo makubwa na yakapita unapata cha kujifunza.
 
Matatizo ni SAwa na giza giza ni kitu kipitacho sasa kwann uogope giza ambacho ni kitu kipitacho
 
The next is me sidhani kama huu mwezi utaisha,kwaherini wana jf
Acha ujinga.. Unadhani kujimaliza ndio tatizo, fikiria matatizo yako ukijiua uzito kiasi gani unaenda kwa wale wanaokutegemea, kiasi gani unawaacha na majonzi..

Mtume s.a.w anasema, usijilinganishe na wajuu yako, jilinganishe na wachini yako... Utaona neema za mola kwako..
Kama ni maradhi kuna watu wana maradhi ya hatari huko mahospitalini, kama ni dhiki, kuna watu wan dhiki za kila rangi we mpaka simu ya kuchat jf unayo
Kama ni stress za mapenzi, umechukuliwa demu/mke ndio we ukijiua na kikojoleo chake unaondoka nacho!!? [emoji848], we unakufa huku duniani watu wanaendelea kuruka nae vizuri tu
Pambana maadui zako siki wakuheshimu
Kama ni kufirisika, kuna watu wamefirisika si mchezo..

Kwangu kujiua ni wazo la kifala zaidi kuliko mawazo yoote, labda mtu aliyerogwa..
Mfikirie mzazi wako yupo, fikiria wanao kama wapo n.k

Shida tumeumbiwa sisi, hiyo ni mitihani tu na lazima tuishinde.

Achana kabisa na huo ufala kaka.


Jama jama jama, mie najitolea kwa yeyote yule mwenye fikra za kujiua, kumsaidia kadri niwezavyo... Uwe na ndugu jamaa au rafiki usisite kunicheki
 
Naandika nafuta

usiombe kufikia hio point...

ila ukifikia js tell ur self shida zote nimepitia tyr lipi jipya litakuja baada ya hili??!

Magumu nnayo peke yangu kwani??
 
Back
Top Bottom