Kivumishi Kielezi
JF-Expert Member
- Nov 1, 2019
- 1,028
- 2,451
Basi imetosha, acha kuandika ujinga.Nimeandika makusudi sababu najua kwamba kama mtu ana nia ya dhati kujiua huwezi kumzuia.
Asikudanganye mtu, siku zote wanaojiua huwa hawasikilizi ushauri wa mtu yeyote. Wakiamua wameamua.
Ukikutana na mtu anasema eti alitaka kujiua lakini baada ya kushauriwa akaacha, huyo ni muongo, hakuwa serious, alikuwa anatafuta tu sympathy kutoka kwa watu.
By the way, kifo kipo tu, usipokufa kwa kujiua utakufa tu kwa namna nyingine. Death is inevitable.
Kabisa na aageNa Kama ana deni alipe kabisa
Huku mererani ni kawaida sana mtu kufilisika na kubaki hana mia,sijawahi kuona wakijiua eti maisha yamewashinda....mifano nayo zaidi ya ishirini na watu wanadunda mitaani tu,huyo mwenye kununuliwa pikipiki aliwahi kutoa mawe mara 2 ya ukubwa wa yale mawe ya laizer anaitwa gadi mango,ni mkubwa kma pepekale imagine anatembelea pikipiki ya kununuliwa n washkajiDah...hiyo inaumiza sana sana aisee...dah...ndo changamoto hizo
Mimi roho ya 2usugu na kutokata tamaa nimeikazia zaidi huko migodini..mtu anakuambia aliwah lamb 500m lakinj anadunda tu...at first nilikua naumia san nikipoteza hela...nilikua nalala sk nzima..nikakutaja na walopoteza hela bwana 🙌Huku mererani ni kawaida sana mtu kufilisika na kubaki hana mia,sijawahi kuona wakijiua eti maisha yamewashinda....mifano nayo zaidi ya ishirini na watu wanadunda mitaani tu,huyo mwenye kununuliwa pikipiki aliwahi kutoa mawe mara 2 ya ukubwa wa yale mawe ya laizer anaitwa gadi mango,ni mkubwa kma pepekale imagine anatembelea pikipiki ya kununuliwa n washkaji
Mtu anapoteza n kua kapuku kabisa na maisha yanasonga,huyu anatuletea story za kujiua eti maisha yamempiga...aje nimuonyesha waliokua madon sasa havi wanagongea sigara....mtu anakuambia pesa aliokula huku yuko normalMimi roho ya 2usugu na kutokata tamaa nimeikazia zaidi huko migodini..mtu anakuambia aliwah lamb 500m lakinj anadunda tu...at first nilikua naumia san nikipoteza hela...nilikua nalala sk nzima..nikakutaja na walopoteza hela bwana [emoji119]
Tusikate tamaa....maisha lazima yaendeleeMtu anapoteza n kua kapuku kabisa na maisha yanasonga,huyu anatuletea story za kujiua eti maisha yamempiga...aje nimuonyesha waliokua madon sasa havi wanagongea sigara....mtu anakuambia pesa aliokula huku yuko normal
dahhh!! mwamba ukifika msalimie mzee mtopelwa!The next is me sidhani kama huu mwezi utaisha,kwaherini wana jf
Kitunguu saumu natumiaje mkuu na hiyo vski napaka mwili mzima au?Niwape shule kidogo ktk masomo ya ulimwengu wa roho au elimu ya viumbe visivyoonekana.
Kujiuwa huwa ni roho ya mauti kupitia sauti inayokuamuru ufanye hivyo.Naposema roho namaanisha pepo mchafu au jini wa mauti amefika kwako either kwa kutumwa au kuja baada ya kusikia maombi yako hivi viumbe usikia sauti hata iwe ya chini kupita kiasi kupitia mawazo yetu.
Nini ufanye unapohisi una magumu
1.Tafuta viksi upake ikiwa na maana ile harufu ule mfukizo uingie kwenye ubongo Ili uende ukastue ule ufahamu wako uyafurushe Yale mawazo machafu.Ukikosa vicks tumia kitunguu saumu.
2.Toka eneo hilo haraka Sana kama ni kitandani amka na usimame Ili damu izunguke ikibidi tembea tembea.Kunywa chochote cha kuchangamsha mwili.Au kubadili Yale mawazo machafu fungua hata TV uingize vitu vipya akilini.
3.Shirikisha wenzio matatizo yako, Hakuna matatizo mapya duniani.
4.Epuka upweke fanya mazoezi tembea,safiri, unaweza ukahama nyumbani kwa siku kadhaa ukaishi hotelini siku mbili tatu hivi Ili ikae SAwa akili.
Fanya maombi,fanya meditation.
Bangi siyoMimi isingekuwa mjani ningekuwa nimeshajimaliza mapema, maisha yakiwa magumu sana pulizeni mjani wazee
Unapaka kama vicksKitunguu saumu natumiaje mkuu na hiyo vski napaka mwili mzima au?
Pambana Mwanangu. Chukua hatua ndogo ndogo kila siku.The next is me sidhani kama huu mwezi utaisha,kwaherini wana jf
Vumilia yatakwisha ..usijikatae...Nimevumilia miaka nane dadangu nadhani inatosha
Baada ya kukisagaUnapaka kama vicks
YesBaada ya kukisaga
Hakuna tatizo jipya duniani yote ni marejeo tu
Hakuna matatizo mapya duniani ambayo hayajawahi tokea yote yatokeayo ni marudio tu.Marejeo kwa nani?
Acha ujinga.. Unadhani kujimaliza ndio tatizo, fikiria matatizo yako ukijiua uzito kiasi gani unaenda kwa wale wanaokutegemea, kiasi gani unawaacha na majonzi..The next is me sidhani kama huu mwezi utaisha,kwaherini wana jf