Friedrich Nietzsche
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 2,095
- 3,649
NJE YA MADA: Condom size haikuwa ya kuendana na maumbile ya waTz Condom za Sasa hivi zinabana Sana na ni fupi..Wakuu swali hili.
Kama ushawai tumia kondom utaungana na mimi sehemu ya mwishi karibu na shina condom huwa haifiki na hii kupelekea wakat wa tendo kulowa au kugusana maji maji
Je hii haiwezi sababisha maambukiizi
umejuajeSio kwa ukimwi Huu wa saiv....ukimwi umepunguzwa kazi saiv hauna makali sana
kweliSio rahisi namna hiyo.
kwaiyo kupata ngoma siku hizi si majimaji na damu tenaNJE YA MADA: Condum size haikuwa ya kuendana na maumbile ya waTz Condom za Sasa hivi zinabana Sana na ni fupi..
ngoja nikujibu: uwezekano wa kupata maambukizi kama fungus na magonjwa mengine yatatokea katika hatua za kuivua au maji maji kuingia kupitia sehemu ya wazi ila sio ukimwi kama hakutakuwa na mchubuko..
Hivyo kupata ni Ngumu sana
alafuIlipoishia paka super glue
Najiuliza swali hili hili. Kuna jamaa yangu mmoja anakwambia yeye anatumia kondomi akipiga nyeto inakuwa tamu hatari ๐Hivi condoms bado zipo?
duuhHivi condoms bado zipo?
Duh huyo anayepiga nyeto na condom anakosa utamu๐ .Najiuliza swali hili hili. Kuna jamaa yangu mmoja anakwambia yeye anatumia kondomi akipiga nyeto inakuwa tamu hatari ๐
Salamu sana kwa "Demi". Mbalizi 1 hajamBoh!
Mie sijui watu wanagegedaje na condom jamaniHivi condoms bado zipo?
๐๐๐ jamaa anasema nyeto ya kondomu ni tamu kuzidi .Duh huyo anayepiga nyeto na condom anakosa utamu๐ .
Salamu zimefika mimi sijambo pia my dear.
Na mimi sielewi kabisa mkuuMie sijui watu wanagegedaje na condom jamani