kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
kondom haizuii maambikizi ila inapunguza...pia usipende hadi pakauke ukijua uko kwalishangazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi kwa kuangalia tu hii thread watu hawatumii kondomu ji wengi sanaKondom linaondoa radha ya tendo la ndoa yaani nikivaa sijisikii kama mkunyenge umeingia kunako bibi na baby wangu anasema hivyo hivyo haisi kitu.tumeacha kutumia hilo pila kitambo, napiga kavu naenjoy vibaya
ChaiSio kwa ukimwi Huu wa saiv....ukimwi umepunguzwa kazi saiv hauna makali sana
Kama kuna michubuko yoyote waweza pata hasa kama umefanya deforestation ya vuuuuuzy
Basi kwa kuangalia tu hii thread watu hawatumii kondomu ji wengi sana
Shida ya ukimwi,watoto wa nje,magonjwa ya zinaa,etc ukiyatafuta utayapata tu at the end of the day
Endelea kushindana na kvma,huwezi shinda my brother
Fungus
HahahaHivi condoms bado zipo?
Hahaha lilifungwa lini!!Wakati umefika sasa lile jukwaa lirudishwe😀
Hahaha fake I'd mkuuKama umeoa vuta picha mkeo anakubamba uko JF umeandika komenti ya namna hii...
Noma sana mkuu...condom itengenezwe iwe kama nyelamumo ivaliwe kuanzia miguuni ila eneo la uume liwepo
TRUMP kasitisha, sasa labda uagize ebayWakuu swali hili.
Kama ushawai tumia kondom utaungana na mimi sehemu ya mwishi karibu na shina condom huwa haifiki na hii kupelekea wakat wa tendo kulowa au kugusana maji maji
Je, hii haiwezi sababisha maambukiizi?
Dogo ulikuwa bado hujazaliwaHahaha lilifungwa lini!!
Nasikia lilikuwepo bana hadi kipindi cha magu! Kama unakumbuka mwaka niambieDogo ulikuwa bado hujazaliwa
Unasikia tu hujawahi kushuhudiaNasikia lilikuwepo bana hadi kipindi cha magu! Kama unakumbuka mwaka niambie
Kama hukumbuki sema tuUnasikia tu hujawahi kushuhudia
Najiuliza swali hili hili. Kuna jamaa yangu mmoja anakwambia yeye anatumia kondomi akipiga nyeto inakuwa tamu hatari
SikumbukiKama hukumbuki sema tu