Kwa wanaume ambao mlikuwa na kazi lakini sasa hamna na wake zenu ndio wanaoendesha familia mliwezaje kutoboa?

Kwa wanaume ambao mlikuwa na kazi lakini sasa hamna na wake zenu ndio wanaoendesha familia mliwezaje kutoboa?

Sasa wenzetu huwa wako kwenye competition na sisi mara nyingi! Ukishapoteza control nae basi jua anageuka na kuwa mpinzani wako kukuzodoa ndio inakuwa communication language!

It takes an understanding woman to ease up the situation! Wengine watakwambia unajidekeza sana bana we kama litoto! These kind of languages ni challenging and unsupportive! Unakuwa na mtu anakuongezea stress tu yani kero ila una shida ufanyeje unaamua kuwa calm tu!

Imagine siku umechomoka kwenye huo mtego inakuwaje? Si ndio kumnyoosha vizuri sasa uje uonekane mkatili mbele ya jamii?
Nilipobold hapo nimeelewa tatizo huwa ninini, Competition! Kwamba akikulisha anaona anakumuduuu? 😀 Aisee sisi wanawake Mungu atusaidie sana. Sisi mbona tunalishwa/tunzwa maisha yetu yote? Binafsi mimi huwa pesa yangu naitoa mwenyewe na kuomba tuipangie matumizi sababu kila kitu kinakuwa sorted by him, na mimi sio mwanamke wa misaluni na kununua nunua mitrend, somehow i manage kutunza my money. Ila nimegundua kuwa fanya mazuri kwa mkeo/mumeo ukiwa vizuri siku mambo yakienda kombo akiamua kurudisha fadhila sawa, akikengeuka atakutana na rungu la KARMA.

Women, ngoja niwaambie kitu, kama mumeo akikwama sio lazima umlishe na kumtunza bali mwoneshe njia, mpe connection au mpe mtaji, Naelewa watu wanakuwa protective kwamba nikimfanyia hivi what if akija kuniumiza/kuniacha au kupata mchepuko, jamani do your part kuumizwa ni part ya maisha pia, iachie dunia itamfunza. Tusione ndoa za watu zimedumu miaka na miaka watu wameanguka na kunyanyuana mara nyingi sana, tena baadhi ya wanawake ni hodari kuingia bank au vikoba au mifuko ya kazini kuwakopea waume zao, hawawaambii siri hawa wenye ndoa zao stable, watajifanya my man this my man that kumbe kuna muda wanakaza matako wenyewe ili
kulinda familia hawatuambii ukweli, matokeo yake sisi wakwetu wakifeli tuko kuwanyanyasa na wenzetu wanatuchora tu!

Anyways, ngoja niache mahubiri ambayo ni impossible, people are so evil, Siku tukijua watu wanawaziana nini tutachanganyikiwa. Hata hivyo hakujawahi kuwa na baya katika kufanya mazuri.

I might fail in everything kwenye marriage ila sio kuacha kutoa support morally or materially. Kila mtu achague anachokiweza na akifanye kwa ufasaha. This is life!
 
Nilipobold hapo nimeelewa tatizo huwa ninini, Competition! Kwamba akikulisha anaona anakumuduuu? 😀 Aisee sisi wanawake Mungu atusaidie sana. Sisi mbona tunalishwa/tunzwa maisha yetu yote? Binafsi mimi huwa pesa yangu naitoa mwenyewe na kuomba tuipangie matumizi sababu kila kitu kinakuwa sorted by him, na mimi sio mwanamke wa misaluni na kununua nunua mitrend, somehow i manage kutunza my money. Ila nimegundua kuwa fanya mazuri kwa mkeo/mumeo ukiwa vizuri siku mambo yakienda kombo akiamua kurudisha fadhila sawa, akikengeuka atakutana na rungu la KARMA.

Women, ngoja niwaambie kitu, kama mumeo akikwama sio lazima umlishe na kumtunza bali mwoneshe njia, mpe connection au mpe mtaji, Naelewa watu wanakuwa protective kwamba nikimfanyia hivi what if akija kuniumiza/kuniacha au kupata mchepuko, jamani do your part kuumizwa ni part ya maisha pia, iachie dunia itamfunza. Tusione ndoa za watu zimedumu miaka na miaka watu wameanguka na kunyanyuana mara nyingi sana, tena baadhi ya wanawake ni hodari kuingia bank au vikoba au mifuko ya kazini kuwakopea waume zao, hawawaambii siri hawa wenye ndoa zao stable, watajifanya my man this my man that kumbe kuna muda wanakaza matako wenyewe ili
kulinda familia hawatuambii ukweli, matokeo yake sisi wakwetu wakifeli tuko kuwanyanyasa na wenzetu wanatuchora tu!

Anyways, ngoja niache mahubiri ambayo ni impossible, people are si evil, Siku tukijua watu wanawaziana nini tutachanganyikiwa. Hata hivyo hakujawahi kuwa na baya katika kufanya mazuri.

I might fail everything kwenye marriage ila sio kuacha kutoa support morally or materially. Kila mtu achague anachokiweza na akifanye kwa ufasaha. This is life!
Watakuja kukupondea kuwa unajidai wife material sana 😂!

Well nachoamini if you are raised well na unaelewa maana ya maisha hii dunia siyo sehemu ya kuringiana kabisa. Utu ndio thamani pekee ambayo unaweza kumuonesha mwenzi wako! Utu ni priceless yani haununuliki kwa shilingi hata moja!

Ukiweza kuishi na watu kwa utu basi mi huwa naamini unajiandalia amali zako hapa hapa duniani! Each time mtu uliyemsaidia akimsaidia mwingine blessings zina flow kwenye maisha yako as well!

Maisha ya ndoa yanawashinda wengi pale ambapo competition inakuwa sehemu ya mchezo! You must work as a team ila ikitokea mmoja anataka kujiona special au superior being ni swala la muda tu 😅
 
Kichwa cha habari kinahusika, kama mnavyojua ktk maisha kuna kupanda na kushuka Leo unacho kesho huna ndio kanuni ya maisha ilivyo.

Suala la ajira limekuwa Changamoto sn kwa dunia ya leo kwa jinsia zote mbele yaani wake kwa waume lkn inakuwa maradufu kwa upande wa kiume kwakuwa utamaduni wetu hasa wa kiafrika imezoeleka kwamba wanaume ndio watafutaji na ndio watunza familia.

Back to the topics, kufuatia sera mbovu za uchumi za mwenda zake watu wengi nikiwemo mie turifurushwa makazini na kupelekea ajira kuwa changamoto sasa basi mke wng ndio alichukua jukumu la kuendesha familia ili siku zisonge.

Sio kwamba Mimi nilibaki tu hom kumsubili wife alete hapana nilikuwa naingia kitaa na mm Ku hustle ili nisikae kindezi na kuonekana mpenda kitonga, lkn kama mnavyojua kitaani sio kwa mchezomchezo kitaa kigumu kinyama,

Kila deal unalojaribu linabuma, ingia kwenye umachinga na kitambulisho changu cha elfu20 napo hamna kitu, basi maisha yakawa ni tyt ile mbaya japo mtoto wa kiume nikawa najipa moyo kwamba 1day nitatoboa tu na life litakuwa normal.

Sasa turudi kwa upande wa mke wng at first my wife wangu alikuwa ndio comfort wng akinipa moyo kwamba yupo pamoja nami na ataweza kuhandle changamoto ninazopitia, kiukweli na Mimi ni shahidi wife ali play part yake kwa kiwango fulani, maji nilikuwa nawekewa bafuni, boksa nanunuliwa, mbususu nilikuwa naichakata kila ninapohitaji, na vitu vingine vingi siwezi kuweka vyote hapa ambavyo mtoto wa kiume alistahili kupata kutoka kwa mwanamke.

Sasa wajuba naona mambo yamebadilika sio kama zamani my wife wangu ame change to the extent nahisi atakuwa amenichoka na kuniona takataka mbele ya jamii,

Kwanza ile heshima kama mume ndani ya nyumba siioni tena, maji sikumbuki Mara ya mwisho kuweka ilikuwa lini, akirudi kutoka kazini ananikuta nipo sebleni nimeshika remote, kwanza hanisalimii atapitiliza moja kwa moja chumbani akija sebleni anachukuwa remote na kuweka kipindi anachotaka yeye na anapiga bit ole wake mtu abadilishe.

Kipindi chenyewe haangalii anenda zake jikoni huko tena ataanza kufoka mbona glass haijaoshwa, kijiko kipo chini, dirisha hujafunga, chakula mbona kimebaki kidogo mtoto wa kike anafoka na uso umemvimba utasema nyoka aina ya koboko amemeza simbilisi.

Kwakuwa hatuna house girl kazi zote nafanya mie ikiwemo kufua nguo zake, hadi za ndani nafua mie, kuna wkt nikifua nakuta vitone kwenye chupi najiuliza nn hiki lkn napotezea tu yy ndio kashika mpini mm sina vyangu, mbususu sipewi na nikipewa kwa masharti mpaka yy siku hiyo ajiskie, asipo jiskia miezi inaweza kukatika na usipewe harafu nikitaka kuchepuka nashindwa sijui kaniroga huyu.

Kwa kweli mambo ni mengi na visa ni vingi ukurasa huu hauwezi kutosha kuelezea, vijembe vimekuwa ndio wimbo wa Taifa siku akiwa nyumbani ,akiwa jikoni huko mm nipo sebleni anaongea na mwenzie kwenye simu, ........ningekuwa na uwezo ningemuoa mimi, mara utaskia lipolipo tu kama ling'ombe bora ng'ombe unapata maziwa na nyama, hujakaa vizuri utaskia yaani we na mista wako couple yenu nimeikubali sn huku wakicheka kicheko chao cha umbea,

Swali kwa wanaume wenzangu je mlitumia njia gani kwanza kuwa handle wanawake wa aina hii na mliwezaje kuhandle situation hii na baadae kuja kutoboa na heshima ikarudi kama zamani, angalizo kumpenda bado nampenda kwani tuna watoto na sitaki familia yangu isambaratike,

Nakaribisha ushauri mzuri tu mbaya baki nao.
Huyo mwanamke, ni malkia wa nguvu. Kitendo cha kumvulia chupi houseboy wake, ni cha kishujaa sana.
 
Nyumba tunayoishi ni ya kupanga nikimtimua msala utabaki kwangu kwakuwa yy ndiye anaye run show, kodi ya nyumba na mahitaji mengine yy ndio provider Mkuu, mm kipato changu ni kidogo sn , sku mojamoja nikibahatisha ndio nakuja na mahitaji kidogo japo sio toshelezi
Kila unacho shauriwa unakitafutia sababu, inaonekana umeridhika na hiyo hali na haikua na sababu ya kuomba ushauri/ ni stori ya uongo (chai)

Na kama ni stori ya kweli jiandae kuanza kulala chumba Cha beki3 huku yeye akikuletea wanaume ndan na asubuhi uwahi kuamka uwatengenezee breakfast
 
Dah ila haya maisha bana, tucheke sana ila mzee kufulia kubaya sana yani! Uwe ghafla huna kitu halafu unamiliki mke mara bills umezishindwa kuzilipa aisee ni balaa na nusu! Yani friji lilikuwa linajaa mamisosi panya na mende hawakauki mjengoni ghafla wamehama nyumba inafikia stage una struggle kuweka chakula mezani mnaanza kula michicha na tembele wakati ilikuwa mwendo wa kuku, samaki na nyama!

Yani msione vizee vinakomaa maofisini hata kwa ndumba asikudanganye mtu kuendesha familia kwa hela ya kubahatisha bahatisha mtaani sio swala la masihara kmmmk! Leo una hela kesho huna yani dah...Hela za ghafla zile ukitekenya ef 50 ya haraka huna[emoji41]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aisee sitaki kukumbuka sema yule mwanamke alijitahidi sana kuniheshimu na kunipa nafasi kama Mwanaume japo nadhani alikuwa na moyo ule sababu aliamini kwa elimu yangu ipo siku Nitatoboa japo sometimes alikuwa na visirani balaaa but nilikuwa naelewa sababu sio Asili ya Mwanamke kubeba majukumuu[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Aisee sitaki kukumbuka sema yule mwanamke alijitahidi sana kuniheshimu na kunipa nafasi kama Mwanaume japo nadhani alikuwa na moyo ule sababu aliamini kwa elimu yangu ipo siku Nitatoboa japo sometimes alikuwa na visirani balaaa but nilikuwa naelewa sababu sio Asili ya Mwanamke kubeba majukumuu[emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji3][emoji3] wakwangu anavisilani ingawa bado hazijaisha sijui 2 zikiisha
 
Hauna mdogo wa kike huko aisee mwenye Yuko Kama wewe unipe .

Huku nilipo naona Bomu linachemka ila nimejipanga vizuri .
Watu hatufanani aisee, nikikupa watakupasua vichwa hawa na walivyo visu. Ujue nini mimi sio
mwema kiivyo nina drama zangu sana, ila nathamini mno utu wa mtu. I'm a good sister, friend and partner too. Roho yangu ina uoga sana.

Kwenye maisha yangu nina option mbili tu kuishi vizuri na mtu au kuishi mwenyewe.

Ukitaka kwenye mapenzi usiteseke kuwa mtu mwema na chagua kwa uangalifu na wala usione aibu kuchelewa kupata.
 
Wote walioweza walitafuta shughuli za kufanya haraka hata kama ni kipato kidogo. Nachokiona kwako una kauvivu fulani, punguza! Usipende kukaa sana nyumbani hata kama huna kazi. Kazi/shughuli zipo za kufanya mtaani japo kipato ni kidogo ila unaweza kusave ukaja kufanya kitu kikubwa. Sababu wife bado anakupa kula. Mvumilie mke wako ishi kwa tahadhari, akizingua mteme!!
 
Kila unacho shauriwa unakitafutia sababu, inaonekana umeridhika na hiyo hali na haikua na sababu ya kuomba ushauri/ ni stori ya uongo (chai)

Na kama ni stori ya kweli jiandae kuanza kulala chumba Cha beki3 huku yeye akikuletea wanaume ndan na asubuhi uwahi kuamka uwatengenezee breakfast
Labda anachangamsha genge tu hapa, hayajamkuta huyu.... Nasi ngoja tulichangamshe genge.

Ila kama yuko serious kuna vitu ameelewa na amechukua.
 
Nilipobold hapo nimeelewa tatizo huwa ninini, Competition! Kwamba akikulisha anaona anakumuduuu? 😀 Aisee sisi wanawake Mungu atusaidie sana. Sisi mbona tunalishwa/tunzwa maisha yetu yote? Binafsi mimi huwa pesa yangu naitoa mwenyewe na kuomba tuipangie matumizi sababu kila kitu kinakuwa sorted by him, na mimi sio mwanamke wa misaluni na kununua nunua mitrend, somehow i manage kutunza my money. Ila nimegundua kuwa fanya mazuri kwa mkeo/mumeo ukiwa vizuri siku mambo yakienda kombo akiamua kurudisha fadhila sawa, akikengeuka atakutana na rungu la KARMA.

Women, ngoja niwaambie kitu, kama mumeo akikwama sio lazima umlishe na kumtunza bali mwoneshe njia, mpe connection au mpe mtaji, Naelewa watu wanakuwa protective kwamba nikimfanyia hivi what if akija kuniumiza/kuniacha au kupata mchepuko, jamani do your part kuumizwa ni part ya maisha pia, iachie dunia itamfunza. Tusione ndoa za watu zimedumu miaka na miaka watu wameanguka na kunyanyuana mara nyingi sana, tena baadhi ya wanawake ni hodari kuingia bank au vikoba au mifuko ya kazini kuwakopea waume zao, hawawaambii siri hawa wenye ndoa zao stable, watajifanya my man this my man that kumbe kuna muda wanakaza matako wenyewe ili
kulinda familia hawatuambii ukweli, matokeo yake sisi wakwetu wakifeli tuko kuwanyanyasa na wenzetu wanatuchora tu!

Anyways, ngoja niache mahubiri ambayo ni impossible, people are so evil, Siku tukijua watu wanawaziana nini tutachanganyikiwa. Hata hivyo hakujawahi kuwa na baya katika kufanya mazuri.

I might fail in everything kwenye marriage ila sio kuacha kutoa support morally or materially. Kila mtu achague anachokiweza na akifanye kwa ufasaha. This is life!
Nimekupenda sana hakika mwenyezi mungu akujalie kama huna upate mwenza wa kufanana na wewe. Ukiyaaishi yaliyoandikwa katika vitabu vya dini na misingi bora ya wazee wetu hakika utajipunguzia mzigo mkubwa wa stress. Kwenye maswala ya ndoa watu wanafeli mwanzo katika kuchagua mwenza, watu wanaokotana tu nakuishi pamoja, wanashindwa kujua ndoa ni safari ya maisha yahitaji busara na hekima katika kuchagua wakuanza nae safari, Vijana wasikuhizi wanaangalia sura na maumbile ambavyo kwa kawaida hivi huisha na kupotea nakuacha kuangalia Tabia/maadili na Imani. Matokeo yake mambo ya kienda vibaya mnaanza kuchukiana nakuoneana mizigo.
 
Kichwa cha habari kinahusika, kama mnavyojua ktk maisha kuna kupanda na kushuka Leo unacho kesho huna ndio kanuni ya maisha ilivyo.

Suala la ajira limekuwa Changamoto sn kwa dunia ya leo kwa jinsia zote mbele yaani wake kwa waume lkn inakuwa maradufu kwa upande wa kiume kwakuwa utamaduni wetu hasa wa kiafrika imezoeleka kwamba wanaume ndio watafutaji na ndio watunza familia.

Back to the topics, kufuatia sera mbovu za uchumi za mwenda zake watu wengi nikiwemo mie turifurushwa makazini na kupelekea ajira kuwa changamoto sasa basi mke wng ndio alichukua jukumu la kuendesha familia ili siku zisonge.

Sio kwamba Mimi nilibaki tu hom kumsubili wife alete hapana nilikuwa naingia kitaa na mm Ku hustle ili nisikae kindezi na kuonekana mpenda kitonga, lkn kama mnavyojua kitaani sio kwa mchezomchezo kitaa kigumu kinyama,

Kila deal unalojaribu linabuma, ingia kwenye umachinga na kitambulisho changu cha elfu20 napo hamna kitu, basi maisha yakawa ni tyt ile mbaya japo mtoto wa kiume nikawa najipa moyo kwamba 1day nitatoboa tu na life litakuwa normal.

Sasa turudi kwa upande wa mke wng at first my wife wangu alikuwa ndio comfort wng akinipa moyo kwamba yupo pamoja nami na ataweza kuhandle changamoto ninazopitia, kiukweli na Mimi ni shahidi wife ali play part yake kwa kiwango fulani, maji nilikuwa nawekewa bafuni, boksa nanunuliwa, mbususu nilikuwa naichakata kila ninapohitaji, na vitu vingine vingi siwezi kuweka vyote hapa ambavyo mtoto wa kiume alistahili kupata kutoka kwa mwanamke.

Sasa wajuba naona mambo yamebadilika sio kama zamani my wife wangu ame change to the extent nahisi atakuwa amenichoka na kuniona takataka mbele ya jamii,

Kwanza ile heshima kama mume ndani ya nyumba siioni tena, maji sikumbuki Mara ya mwisho kuweka ilikuwa lini, akirudi kutoka kazini ananikuta nipo sebleni nimeshika remote, kwanza hanisalimii atapitiliza moja kwa moja chumbani akija sebleni anachukuwa remote na kuweka kipindi anachotaka yeye na anapiga bit ole wake mtu abadilishe.

Kipindi chenyewe haangalii anenda zake jikoni huko tena ataanza kufoka mbona glass haijaoshwa, kijiko kipo chini, dirisha hujafunga, chakula mbona kimebaki kidogo mtoto wa kike anafoka na uso umemvimba utasema nyoka aina ya koboko amemeza simbilisi.

Kwakuwa hatuna house girl kazi zote nafanya mie ikiwemo kufua nguo zake, hadi za ndani nafua mie, kuna wkt nikifua nakuta vitone kwenye chupi najiuliza nn hiki lkn napotezea tu yy ndio kashika mpini mm sina vyangu, mbususu sipewi na nikipewa kwa masharti mpaka yy siku hiyo ajiskie, asipo jiskia miezi inaweza kukatika na usipewe harafu nikitaka kuchepuka nashindwa sijui kaniroga huyu.

Kwa kweli mambo ni mengi na visa ni vingi ukurasa huu hauwezi kutosha kuelezea, vijembe vimekuwa ndio wimbo wa Taifa siku akiwa nyumbani ,akiwa jikoni huko mm nipo sebleni anaongea na mwenzie kwenye simu, ........ningekuwa na uwezo ningemuoa mimi, mara utaskia lipolipo tu kama ling'ombe bora ng'ombe unapata maziwa na nyama, hujakaa vizuri utaskia yaani we na mista wako couple yenu nimeikubali sn huku wakicheka kicheko chao cha umbea,

Swali kwa wanaume wenzangu je mlitumia njia gani kwanza kuwa handle wanawake wa aina hii na mliwezaje kuhandle situation hii na baadae kuja kutoboa na heshima ikarudi kama zamani, angalizo kumpenda bado nampenda kwani tuna watoto na sitaki familia yangu isambaratike,

Nakaribisha ushauri mzuri tu mbaya baki nao.
Binafsi niliwahi kupitia hiyo hali namuheshimu sana wife maana hakuwahi kuonyesha tofauti au kunidharau, alikua anamtumia hado bi mkubwa hela za matumizi kijijini na anamwambia kwamba mimi ndio nimempa atume, familia yangu haikuwahi kujua kwamba sina kazi maana wife aliendelea kuwasapoti, baada ya muda alichukua mkopo ofisini kwao akanipatia nikaanza biashara na mpaka sasa tumesimama

Jambo ambalo nilijifunza, baada ya mimi kusimama, ninajitahidi kufanya mahitaji yote kwenye familia ili wife apate kusave hela, maana kipindi nimekwamba wife alikua na akiba ya kutosha kwa sababu huko nyuma nilikua nafanya kila kitu hivyo nae akawa mjanja akaweka akiba ya hela ambayo ilitusaidia sana kipindi cha mpito
 
Back
Top Bottom