Kwa wanaume ambao mlikuwa na kazi lakini sasa hamna na wake zenu ndio wanaoendesha familia mliwezaje kutoboa?

Shida yangu ipo wp ndugu
Ama hujui maana na mamlaka ya kuwa "mume" au hujui namna ya kuitumia mamlaka hiyo. Natamani ufanye study tour uje huku mtaani nikuoneshe mwanaume mwezetu mmoja hivi(jirani yangu na ni rafiki yangu pia) jinsi ambavyo yupo consistent na mamlaka yake licha ya kwamba ana changomoto kubwa sana ya kifedha kwa takribani mwaka sasa(mimi mwenyewe namdai). Lakini anasimama kwenye nafasi yake kama mume kana kwamba ana mihela Bill Gates akasome. Panapostahili kuonya anaonya na kukemea tena kwa mamlaka. Mahali pa kupongeza anapongeza safi kabisa. Panapohitaji kukemea anakemea kwa ukali hatari. Rafiki,umemuuzia mkeo mamlaka yako pasipo kujua na kwa bahati mbaya na yeye anajidanganya eti kwa vile anaprovide mahitaji ya kimwili kwenye familia basi ndio kashapata tiketi ya kupindua meza na kuitwaa mamlaka ya kuwa "kichwa cha familia".Kwa faida yako na wana JF kwa ujumla niwadokeze tu kwamba hakuna mwanamke anayefit kuwa kichwa wa familia haijalishi ni tajiri au ana hadhi au cheo gani kwenye jamii.Kuwa "kichwa cha familia" sio mchezo mchezo.Ni zaidi ya vyeo vyote katika dunia hii unavyovifahamu na usivyovijua pia. Kama unabisha muulize aliyetuumba atakupasha habari kiundani zaidi.
 
Kama inawezekana wewe ondoka hapo nenda mbali kaanze upya na ndio utafanya hata hizo kazi unazodai huwezifanyia around home. Mungu akikusaidia ukatoboa rudi atakupigia magoti huyo,kuendelea kukaa hapo unazidi kuharibu. Kama unapitia hayo kweli Mungu wa Israeli na skutanglie Ila nassitiza ondoka hapo.
 
Mara nyingi tukitofautiana yy huwa ndio anahama chumba anaenda kulala chumba kingine au siku nikitofautiana nae na nimechelewa kurudi huwa hanifungulii geti na ananitumia ujumbe kwenye simu nikalale huko nilipokuwa,

Kwahiyo majanga ni makubwa ndugu yangu
 
Ulivyoviona katika kufua chupi si ni ameishachapwa sasa
Yaani hapo ndio huwa najiuliza kwamba itakuwa imeshachaktwa au ni joto tu la mbususu si unajuwa wenzetu hawa kazini kutoka asubuhi kurudi jioni na huko kazini ni nadra kupata muda wa kujiweka safi Mara kwa mara tofauti na wakiwa nyumbani.
 
Hata mimi nimehisi hii ni chai lakini nicomment hivyo hivyo kuongezea sukari
 
Mwambie akapambane zaidi we utafua hivyo vitone au madoa ya mabao ili akupatie mtaji ujichanganye kitaa huwezi kufanikiwa kwa kukaa sebleni anza ata kuuza matunda ya kukataa kwenye parcel town au bar flan acha na mambo ya kuona noma mkeo atafumuliwa marinda kwa kutafuta pesa ya kuwalisha
 
Sometimes huwa najichanya narudi na kiasi cha mboga lkh haki sustain na dharau ndio zinazidi tu
 
Ushauri naupokea lkn positive
 
Mungu na aiponye ndoa yako
 
Nahitaji sn ushauri ndio maana nimeleta humu huu Uzi,
 
Bravo rikiboy
 
Kwa mwanamke kama huyu hata mambo yakikaa sawa sishauri kuendelea kuishi nae kwa sababu kashaonesha rangi yake halisi. Amshukuru Mungu amejua uhalisia wa mke wake kupitia changamoto anazopitia. Unakuta kijana anaogopa kuingia ndoani miaka na miaka kumbe anahofia kukutana na viumbe kama hivi.
 
Ukimfatilia tu majibu yake kwa umakin utajua n mtu ambae hapitii hizo Changamoto wala haitaj ushaur ila anahitaji tu kuchatchat
Sina nitakachoweza kiprove kwako kuthibitisha ninachopitia ila tambua kwamba napitia chabgamoto kubwa sn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…