Kwa wanaume ambao mlikuwa na kazi lakini sasa hamna na wake zenu ndio wanaoendesha familia mliwezaje kutoboa?

Sambukile sambamba Usimuonee wivu mkeo wakati pesa huna. [emoji1][emoji1]
 
Kwanini unamsema? Me numemuelewa kuwa baada ya kuachishwa kazi akaendelea kupambana kadiri ya uwezo wake, lkn mambo bado hayajakaa sawa.. Sijaona kama amekaa tu na kumbweteka "mbweta"😊😊😊
mkuu hapo najaribu kumuepusha na mabalaa atakufa kabla ya wakati na hao watoto anaosema anaona huruma kuwaacha hatowaona tena.
1.mkewe ataanza kuwa na mahusiano na wanaume wengine
2.ili ajiachie na hao manjemba kuna siku atamuwekea hata sumu kwenye msosi ili huyu ndugu yetu afe akili kichwani mwake hapo
3.kujikwaa sio kuanguka akaanze moja hata huko kijijini kwao biblia inatufunza siku ya kuanza kuwa maisha magumu eva alianza kazi ya kulisha familia ambayo haimuhusu alimpa tunda adamu
 
Kaza roho upotezee tu maana ukiwaza mengi utapata madhara ya kiafya na unaweza kuvuruga malezi ya watoto wako.

Kama una hofu atakuletea maradhi basi usiombe mbususu, muishi pamoja bila mambo flani. Kila mtu anaenda kustua mashine uchochoro wake .
Au kula mbususu kwa mpira a.k.a ndomu.
 
point.
 
Tuna watoto na ukisema nisepe watoto watateseka, kuna kipindi nilifikiria kusepa lkn lilipokuja suala la watoto ikabidi niwe mpole. Napitia kipindi kigumu sn

Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
Kama pesa huna hata ukikaa hapo watoto watateseka kwa juwa huna mchango kwenye ulezi.

Safiri uende mji wa mbali ukatafute na ukipata mtumie mpk utoboe. Ukiendelea kukaa hapo utaletewa mpk mume mwenzio ndani
 

Ondoka home, katafute maisha huko mbali, mke wako hana shida, Hakuna mwanamke anayeweza mvumilia mwanaume kwa miaka kadhaa, Hata Mama yako ni mzuri kwako kwa Baba yako Hewa.
 

Wewe nawe mjinga kweli, unakataje network bila access to server? Huyu hana hela, kukata network Labda amuue.
 
Sasa niende wp ndugu sio rahisi tu kusema ondoka hapo na hujui pa kuelekea,

Embu vaa viatu vyangu nigger
Utajua pa kwenda ukisha toka hapo,unataka kuniambia hapo ulipo ndo ulipozaliwa? Take risk nenda hata maporini kachome mkaa na wapambanaji huko nenda hata migodini huko ndo utapata akili na fursa mpya.
 
Wewe nawe mjinga kweli, unakataje network bila access to server? Huyu hana hela, kukata network Labda amuue.
Network ya mkewe na wanaomchochea yaani ndugu jamaa na marafiki.
Wanawake wengi hawawezi kujisimamia na huwa wanasikiliza maneno ya watu bila kupima.

Hata Ibrahim aliwahi kufirisika hadi akaenda kudoea chakula lakini ndoa ilidumu kwa sababu sara hakuwa na ukoo karibu unaomcontrol
 
Ushauri wako nauzingatia sema watoto watabaki wanapata tabu
hapa napo unazingua....huoni kama wewe kukaa kama beki 3 ndo unazidi mchosha mama kwa kuhudumia dead meat za kutosha..ushauri toka hama hata mji katafute upya..Hivi kama mke angekua amefariki halafu una watoto wanalia njaa bado ungekua unalia lia hivi jaribu hata saidia fundi au watafute wadau..kwani hukaagi vijiweni na wenye mji...all in all pole na chakarika kamanda
 

Mwanamke hawezi kukusikiliza bila bargaining power
 
Nimefuatilia ushauri mzuri unaotolewa na watu na majibu ya mtoa mada. Nimegundua stori yake si ya kweli. Ingawa ina mafunzo ndani yake ila si ya kweli ametunga tu na ni mtu mwenye upeo mdogo sana hawezi kusoma mindset za watoa ushauri na kwenda nao sawa.

Ni akili kubwa tu ndio watanielewa
 
Weka na taalima yako hapa huenda ukapata ramani.
Ulitumbuliwa utawala wa JPM ilikuwa unatumia cheti cha marehemu au?
Jiamini yote yatapita na utaendelea kuichakata mbususu ya mkeo 24/7.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…