Unavoidable Servant
JF-Expert Member
- Oct 13, 2021
- 1,728
- 4,545
Sambukile sambamba Usimuonee wivu mkeo wakati pesa huna. [emoji1][emoji1]Nimeagwa kwamba wik ijayo atakuwa na safari ya kikazi anaenda dar - es salaam na atakuwa huko kwa wikimbili hivyo nijiandae kubaki na familia
Sasa sijui ni kweli ni safari ya kikazi hapo au kuna mbwiga anataka akamege tunda langu, arrgghhhh, kmmmk ukweli pesa mwanaharamu kidume nachezewa akili yangu.
Na kimsingi siwezi kumzuia inawezekana ni kweli safari ya kikazi au pia isiwe kweli ni ujanja tu anafanya ili akale starehe zake
Eeeh mungu niepushe na hili balaa nisijekuchukua maamuzi magumu
mkuu hapo najaribu kumuepusha na mabalaa atakufa kabla ya wakati na hao watoto anaosema anaona huruma kuwaacha hatowaona tena.Kwanini unamsema? Me numemuelewa kuwa baada ya kuachishwa kazi akaendelea kupambana kadiri ya uwezo wake, lkn mambo bado hayajakaa sawa.. Sijaona kama amekaa tu na kumbweteka "mbweta"😊😊😊
Mfano umekaa online takribani masaa 7 leo mpaka kufikia dakika hii and you earn nothing.Kama yapi
Kaza roho upotezee tu maana ukiwaza mengi utapata madhara ya kiafya na unaweza kuvuruga malezi ya watoto wako.Nimeagwa kwamba wik ijayo atakuwa na safari ya kikazi anaenda dar - es salaam na atakuwa huko kwa wikimbili hivyo nijiandae kubaki na familia
Sasa sijui ni kweli ni safari ya kikazi hapo au kuna mbwiga anataka akamege tunda langu, arrgghhhh, kmmmk ukweli pesa mwanaharamu kidume nachezewa akili yangu.
Na kimsingi siwezi kumzuia inawezekana ni kweli safari ya kikazi au pia isiwe kweli ni ujanja tu anafanya ili akale starehe zake
Eeeh mungu niepushe na hili balaa nisijekuchukua maamuzi magumu
point.We jamaa fanya mpango uhame hapo uende mkoa mwingine hata kwa washkaji zako ukapige kazi yoyote itakayokuingizia pesa. Ukipata pesa zigawe, zingine fanya matumizi yako zingine mtumie. Believe me, ukiweza kumtumia pesa hata kama ni kidogo na hazina msaada mkubwa lazima ataanza kukuheshimu. Achana na mawazo ya kugongewa kwa sasa kwani huwezi kuzuia kama ana tabia hizo.
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
AstafirulillahKwanini unamsema? Me numemuelewa kuwa baada ya kuachishwa kazi akaendelea kupambana kadiri ya uwezo wake, lkn mambo bado hayajakaa sawa.. Sijaona kama amekaa tu na kumbweteka "mbweta"😊😊😊
Asante mkuuMzee hakuna namna mm nafanya hizo kazi. Na pesa napata za kukikimu na familia. Sasa Bora kipi kufanya kazi ngumu au kukaa tu home bila kazi. View attachment 1972941View attachment 1972942View attachment 1972943
Kama pesa huna hata ukikaa hapo watoto watateseka kwa juwa huna mchango kwenye ulezi.Tuna watoto na ukisema nisepe watoto watateseka, kuna kipindi nilifikiria kusepa lkn lilipokuja suala la watoto ikabidi niwe mpole. Napitia kipindi kigumu sn
Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
[emoji16][emoji16]Jinsi wife wako anavyokuona akirudi kutoka job[emoji205][emoji116]
View attachment 1972747View attachment 1972748
Kichwa cha habari kinahusika, kama mnavyojua ktk maisha kuna kupanda na kushuka Leo unacho kesho huna ndio kanuni ya maisha ilivyo.
Suala la ajira limekuwa Changamoto sn kwa dunia ya leo kwa jinsia zote mbele yaani wake kwa waume lkn inakuwa maradufu kwa upande wa kiume kwakuwa utamaduni wetu hasa wa kiafrika imezoeleka kwamba wanaume ndio watafutaji na ndio watunza familia.
Back to the topics, kufuatia sera mbovu za uchumi za mwenda zake watu wengi nikiwemo mie turifurushwa makazini na kupelekea ajira kuwa changamoto sasa basi mke wng ndio alichukua jukumu la kuendesha familia ili siku zisonge.
Sio kwamba Mimi nilibaki tu hom kumsubili wife alete hapana nilikuwa naingia kitaa na mm Ku hustle ili nisikae kindezi na kuonekana mpenda kitonga, lkn kama mnavyojua kitaani sio kwa mchezomchezo kitaa kigumu kinyama,
Kila deal unalojaribu linabuma, ingia kwenye umachinga na kitambulisho changu cha elfu20 napo hamna kitu, basi maisha yakawa ni tyt ile mbaya japo mtoto wa kiume nikawa najipa moyo kwamba 1day nitatoboa tu na life litakuwa normal.
Sasa turudi kwa upande wa mke wng at first my wife wangu alikuwa ndio comfort wng akinipa moyo kwamba yupo pamoja nami na ataweza kuhandle changamoto ninazopitia, kiukweli na Mimi ni shahidi wife ali play part yake kwa kiwango fulani, maji nilikuwa nawekewa bafuni, boksa nanunuliwa, mbususu nilikuwa naichakata kila ninapohitaji, na vitu vingine vingi siwezi kuweka vyote hapa ambavyo mtoto wa kiume alistahili kupata kutoka kwa mwanamke.
Sasa wajuba naona mambo yamebadilika sio kama zamani my wife wangu ame change to the extent nahisi atakuwa amenichoka na kuniona takataka mbele ya jamii,
Kwanza ile heshima kama mume ndani ya nyumba siioni tena, maji sikumbuki Mara ya mwisho kuweka ilikuwa lini, akirudi kutoka kazini ananikuta nipo sebleni nimeshika remote, kwanza hanisalimii atapitiliza moja kwa moja chumbani akija sebleni anachukuwa remote na kuweka kipindi anachotaka yeye na anapiga bit ole wake mtu abadilishe.
Kipindi chenyewe haangalii anenda zake jikoni huko tena ataanza kufoka mbona glass haijaoshwa, kijiko kipo chini, dirisha hujafunga, chakula mbona kimebaki kidogo mtoto wa kike anafoka na uso umemvimba utasema nyoka aina ya koboko amemeza simbilisi.
Kwakuwa hatuna house girl kazi zote nafanya mie ikiwemo kufua nguo zake, hadi za ndani nafua mie, kuna wkt nikifua nakuta vitone kwenye chupi najiuliza nn hiki lkn napotezea tu yy ndio kashika mpini mm sina vyangu, mbususu sipewi na nikipewa kwa masharti mpaka yy siku hiyo ajiskie, asipo jiskia miezi inaweza kukatika na usipewe harafu nikitaka kuchepuka nashindwa sijui kaniroga huyu.
Kwa kweli mambo ni mengi na visa ni vingi ukurasa huu hauwezi kutosha kuelezea, vijembe vimekuwa ndio wimbo wa Taifa siku akiwa nyumbani ,akiwa jikoni huko mm nipo sebleni anaongea na mwenzie kwenye simu, ........ningekuwa na uwezo ningemuoa mimi, mara utaskia lipolipo tu kama ling'ombe bora ng'ombe unapata maziwa na nyama, hujakaa vizuri utaskia yaani we na mista wako couple yenu nimeikubali sn huku wakicheka kicheko chao cha umbea,
Swali kwa wanaume wenzangu je mlitumia njia gani kwanza kuwa handle wanawake wa aina hii na mliwezaje kuhandle situation hii na baadae kuja kutoboa na heshima ikarudi kama zamani, angalizo kumpenda bado nampenda kwani tuna watoto na sitaki familia yangu isambaratike,
Nakaribisha ushauri mzuri tu mbaya baki nao.
Tatizo lako limeanzia Japan[emoji121][emoji121][emoji121]Hapa mtaani ninapokaa wapo wanaofanya hizo shughuli za udobi na kushona lkn hawatoboi nao wanalalamika maisha magumu
Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
Huwezi kuwa unafua chupi za mkeo kama siyo HouseboyMm sio house boy ni mume wake wa ndoa
Tatizo huwa sio mke, tatizo ni pale atakapoacha kukusikiliza aanze kusikiliza wapambe ndugu jamaa na marafiki.
Ukifanikiwa kumfanya akusikilize wewe na ukakata network zote utajikuta unarudi relini.
Jitahidi basi Hata kubeba zege mkuu maana Kuna raha kuhudumia mke. Hata matatizo ya dunia yalianza siku Eva alipomletea Adam chakula
Utajua pa kwenda ukisha toka hapo,unataka kuniambia hapo ulipo ndo ulipozaliwa? Take risk nenda hata maporini kachome mkaa na wapambanaji huko nenda hata migodini huko ndo utapata akili na fursa mpya.Sasa niende wp ndugu sio rahisi tu kusema ondoka hapo na hujui pa kuelekea,
Embu vaa viatu vyangu nigger
Network ya mkewe na wanaomchochea yaani ndugu jamaa na marafiki.Wewe nawe mjinga kweli, unakataje network bila access to server? Huyu hana hela, kukata network Labda amuue.
hapa napo unazingua....huoni kama wewe kukaa kama beki 3 ndo unazidi mchosha mama kwa kuhudumia dead meat za kutosha..ushauri toka hama hata mji katafute upya..Hivi kama mke angekua amefariki halafu una watoto wanalia njaa bado ungekua unalia lia hivi jaribu hata saidia fundi au watafute wadau..kwani hukaagi vijiweni na wenye mji...all in all pole na chakarika kamandaUshauri wako nauzingatia sema watoto watabaki wanapata tabu
Network ya mkewe na wanaomchochea yaani ndugu jamaa na marafiki.
Wanawake wengi hawawezi kujisimamia na huwa wanasikiliza maneno ya watu bila kupima.
Hata Ibrahim aliwahi kufirisika hadi akaenda kudoea chakula lakini ndoa ilidumu kwa sababu sara hakuwa na ukoo karibu unaomcontrol