Kwa wanaume ambao mlikuwa na kazi lakini sasa hamna na wake zenu ndio wanaoendesha familia mliwezaje kutoboa?

Noma sana mkuu.
Mtoto analia mama njaa. Mama anasema mwambie baba yako wakati huna kitu unadaiwa hadi songesha..
. Ukimsaidia mtu huyu umesaidia taifa
 
Asante kwa ushauri wako, nahisi pia ndugu zake wanamchango mkubwa ktk kubadilka kwake labda wananiona marioo siwezi tena kuwa msaada kwa ndugu yao

Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
MkUu nikupe pole ila kwa maoni yangu mi naona we sepa zako hapo usiendelee kudhalilika yani! Sepa kaparangane na life kimpango wako tena kimya kimya wala usiage we ondoka zako tu sababu hata ukiaga haina maana tena ndio mke atafurahia umempa nafasi awe anakuja kujivinjari na hawara wake mjengoni kwako hapo!

Mwanamke akiwa na kipato wewe huna lazma akuvimbie yani. Mngekuwa wote level za ku struggle yeye mama wa nyumbani akaanza hata ka mama ntilie au kuuza kaduka kenu walau heshima ingekuwepo!

Hapo we sepa kajipiganie kiume tu hamna jinsi yani la sivyo stage inayofuata ataanza kukuingizia mabwana ndani humo!
 
Noma sana mkuu.
Mtoto analia mama njaa. Mama anasema mwambie baba yako wakati huna kitu unadaiwa hadi songesha..
. Ukimsaidia mtu huyu umesaidia taifa
Taifa lipi hilo ni utapeli tu! Yani mara mia mwanaume awe bread winner ataokoa mke na ukoo wake mzima ila mke hapana kwa kweli!

Wanawake wana kinai haraka sana kutoa misaada yani tena kwa mwanaume wake. Bora hata ndugu zake atalia lia ila anawapa msaada hata kwa hela zako mumewe ila mume ukifulia you are doomed!

Rafiki wa kweli wa mwanaume ni pesa tu. Hatakuacha hata dunia nzima ikikutenga
 
Pole sana kiongozi, hakuna kitu kibaya katika dunia hii kama kukosa pesa. HAKUNA! Baada ya uhai na afya, kinachofuata ni PESA.

Kufulia ni kubaya sana, kushindwa kuipa sapoti familia ni marriage breaker. Najifunza kujitahidi matumizi ya pesa coz once ukiikosa hiyo pesa, utajua hujui, utaonekana mbatata kuliko kiazi.
 
Hapo kwenye kukupelekea maji ya kuoga hivi hiyo sheria IPO kwenye kitabu gani? Hiv kuoga uoge were maji upelekewe ,labda kama unaumwa na umetoka wodini lakini uko mzima mmmh hapana.
Huo ni utamaduni tu na sio sheria! Mzee wangu mpaka leo anachemshiwa na kupelekewa maji bafuni ya kuoga na sio kuwa ni mlemavu. Yuko strong sana tu!

Ukishaanza kuona kum treat vizuri mume ni kama unamfanyia favor jua huna mapenzi nae tena. Sababu hamna viumbe wenye adabu kama mwanamke aliyependa kwa dhati ukicheki tu wakati mnaanza ulifanya vyote hata kutoa tigo mpo radhi mtoe tu bila kulalamika ili kudhihirisha ulivyodata nae ila baadae mnabadilikaga mapenzi yakiisha ndio kuanza kuona kama unamfaidisha flani mwanaume kwa kum treat vizuri!
 
Ulikuwa unafanya shughuli gani mwanzo?Au uko na profession gani?
Then ukitaka heshima kwa mkeo usijibweteke tu,hangaika toka hapo nyumbani usiwahi kurudi kabla ya mkeo,yeye ndie umkute nyumbani hata kama hutatudi na kitu lakini chelewa kurudi kabla yake
 
But siku hizi imekuwa kama lazima.
Sio lazima wanawake huwa wanafanya haya kama kuonesha kujali wapenzi wao! Ukiamua kutojali ama kuona big deal sana pia unaacha ila ni treat ambayo wanaume wengi wanaipenda!

It shows affection and sense of love.

Hebu jiulize mwanaume akiingia ndani na kamfuko ndani kuna iPhone 13 Pro Max akakwambia bby nilipita pale iStore mlimani nimekuchukulia hii wewe utajiskiaje?

Sasa kwetu sie ni mambo madogo tu yanayotufanya tujiskie amani na faraja hasa hizo treats ndogo ndogo! Umechemshiwa ka kahawa jioni, umefuliwa na kupasiwa nguo, umeandaliwa maji ya kuoga, umepikiwa vizuri, mke kuwa mchangamfu kwako!
 
Tafuta pesa,wakati unatafuta ili kulinda family isitengane kuwa robbot usiumeie kwa lolote analokufanyia. Talaka ni pale tu atakapohitaji yeye sababu ikifika hatua iyo usilazimishe Utakuja kufa.
 
Mkuu unachukulia 15000 au 20000 kwa siku Ni swalaa la mchezo mchezooo etiiiii
 
Kama kuna kitu cha thamani hapo nyumbani uza halafu pesa yote peleka sadaka kwenye kanisa la ufufuo na uzima kwa mzee wetu Gwajiboy halafu baada ya wiki uje hapa utoe ushuda jinsi ulivyofurumushwa home na my wife wako.
 
Kama kuna kitu cha thamani hapo nyumbani uza halafu pesa yote peleka sadaka kwenye kanisa la ufufuo na uzima kwa mzee wetu Gwajiboy halafu baada ya wiki uje hapa utoe ushuda jinsi ulivyofurumushwa home na my wife wako.
[emoji102][emoji134][emoji134][emoji134]
 
Point, pesa ndio rafiki number moja kwa mwanaume, kosa hiyo pesa then sikilizia huyo mke aliyekuwa anajinasibu kukupenda vile atakuwa anakufanyia.

Tujitahidi kuzitafuta lakini tuombe Mungu tusipigike maana kuwa bankrupt ni zaidi ya kupata ugonjwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…