Kwa wanaume. Hakikisha hukosi hivi nyumbani kwako

Halafu usikose dushe imara kabisa kabisa ndo kifaa muhimu kuliko vyooote.
Sir. God anakutunuku dushe imara afu na ww unaongezea mbwembwe za vumbi la Congo,
whaaaaaaaaat a combination 😂
 
Upo sahihi, anyway nje ya mada, wajua nimekula mbususu ngap kwa kujifanya fundi uchwara na kualikwa magetoni kwa mademu zenu huko nkawarekebishie vitanda vya mademu zenu? [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kiongozi bana,acha nicheke .
 
Mtakuja kufa vibaya ,ngumi zenyewe sijui.
 
Hawa wanaume zetu [emoji119]
Taa ikiungua unasikia mpigie fundi [emoji28]
 
Ila hivyo vyote inafaa ukiwa kwenye nyumba yako mwenyew ndio uta enjoy zaid
 
Hilo ni duka la mtu tayari.
 
Wee bado mtoto sana kimaisha, Condoms ziko wapi? Hujui mwanaume ukifa sbb hutumii condoms familia na wategemezi wote wataumia sana..

Condoms ingekuwa ya kwanza katika hiyo list, alafu acha ujinga plz, zana zingine ndio zifuate.

Amesema vitu vya muhimu kuwa navyo nyumbani,condom utakua nazo nyumbani??
 
Hiyo ya kuwa na zana nyingi muhimu za ufundi ni muhimu lakini nafasi ya fundi haiwezi kuzibwa. Mfano mimi nilinunuaga mashine ya kunyoa, siku ya kwanza nikafanyia majaribio kwa mwanangu.

Shuleni akaulizwa na mwalimu, umenyoa wapi? Akamtajia fundi mnyoaji ambaye ni mimi halafu akauliza kwani kaninyoaje teacher? Teacher akasema kakunyoa vizuri sana.
Mwanangu akajiongeza tu kwamba mzee kaharibu kichwa changu.
Akaja kunambia tukacheka sana, ila siku hizi nawanyoaga vizuri tu.

Ninachoweza kusema pamoja na yote, fundi nafasi yake itabaki palepale. Na ndio maana nyumbani kwako ukiwa umefanya vitu vingi wewe mwenyewe, akija mdadisi unakuta anauliza kwamba ni fundi gani mbabaishaji alikufanyia hii kazi!
 
Utakuwa unaishi shamba mkuu, binafsi Sina hata kimoja hapo.
 
Practice makes perfect, usiogope kukosea jamaa
 
Utakuwa unaishi shamba mkuu, binafsi Sina hata kimoja hapo.
Niko katikati ya jiji, na professional yangu ya huduma kwa jamii ni full time ila kwa wiki sikosi siku mbili kufanya kazi zangu binafsi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…