Kwa wanaume. Hakikisha hukosi hivi nyumbani kwako

Kwa wanaume. Hakikisha hukosi hivi nyumbani kwako

Hakuna condom wala mafuta ya vaseline uzi batili watu kila weekend tunapeleka moto
 
Hapo nina koleo, bisbis, panga, nyundo, jembe..ngoja nikapitie lake....
 
Kwa wanaume wenzangu habari za muda huu, naomba niende moja kwa moja kwenye mada husika kama nilivyoitambulisha hapo juu. Ikiwa una familia au unaishi bachelor tafadhali zingatia hili linakihusu.

Nyumbani kwako hakikisha mwanaume hukosi essential tools kadhaa kwa ajili ya kupunguza changamoto ndogo ndogo ukizingatiwa wewe ni mwanaume, familia nzima itakutegemea wewe. Vifaa muhimu kabisa hutakiwi kukosa kwako ni kama ifuatavyo:

1. Tester ya umeme. Hakikisha hiki kifaa hukosi kwako, kitakupunguzia ajali kwako za umeme kwa kutambua wapi kuna leakage ya umeme pia itakusaidia ku repair issue ndogo ndogo zinazohusiana umeme kwako, imagine hata kubadilisha holder ya balbu ya taa chumbani kwako uende kumwita fundi aingie chumbani kwako na mkeo.

2. Nyundo ndogo. Vifaa vingi ndani ya nyumba vimeundwa kwa misumali, sasa hata kugongea msumali ulio loose ushindwe?

3. Screw driver. Wengine wanaiita "bisibisi" siku hizi kuna set hata machinga wanaziuza itakusaidia hata kukaza nati ya kitasa chako cha chumbani

4. Panga. Licha ya kazi nyingine ni silaha pia.

5. Jembe. Kila mtu anajua kazi yake

6. Shoka, sururu, kwanja hii inategemea na mazingira yako

7. Tool box, sio lazima liwe special weza tengeneza la mbao au chuma, hifadhi powertools zako.

8. Drills, siku hizi kuna simple drills zinauzwa madukani tena za kuchaji ambayo una regurate speed unaweza tumia kama drill au hata kama screw driver, bei yake inategemea ila ni tool muhimu sana, imagine chumban kwako sasa hivi ukitaka tundika tv ukutani unafanyaje? Utamwita fundi chumban kwako? Kuitumia ni rahisi sana tena YOUTUBE WANAFUNDISHA.

9. Spana. Hapa si lazima uwe na set nzima angalau hata ile adjustable ambayo inaweza fanya kazi kwenye nati tofauti tofauti.

10. Koleo (pliers) siku hizi zipo zenye kazi hadi 4 ndani ya moja

11. Chepe. Hata kuzoa taka ndani ya nyumba uweze, usishindwe hata chimba shimo la taka

12. Reki. Usiwe kila siku wa kuazima reki ya sh 5000

13. Baiskeli. Hii kwa mazoezi, kama nafasi yako ni ndogo siku hizi zipo unazoweza kuzikunja na kuhifadhi sehemu ndogo.

14. Misumari, akiba ya misumali saizi tofauti tofauti itakusaidia repairs zisizotarajiwa

15. Air pump yoyote hata ya mkono. Kama unamiliki chombo chochote cha usafir kilicho na tire ya kujaza upepo usikose hii kitu, imagine umeamka pikipiki au gar imepungua sana upepo utafanyaje? Ndio wamwita fundi? Jaza upepo ukusogeze kwenye tire services

16. Torch. Kazi ya tochi inajulikana kuna wenzetu hata tochi ya battery hana, dharula haina hodi

17. Mashine ya kunyolea (homecut). Kama una watoto hakikisha una mashine yako, weekend watoto unawanyoa mwenyewe, hii inaongeza mapenz ya baba na watoto.

18. Msumeno, yes kwenye toolbox yako uwe na msumeno mdogo hata ule wa 5000 utakusaidia siku moja

19. Mzani, hata ule simple wa spring unaoishia kilo 5 wa bei ndogo sana, kuna siku utakupunguzia kazi hapo kwako.

20. Toroli, kama unaishi nje ya mji toroli muhimu sana kwa shughuli ndogo ndogo nyumbani, usipende kila kitu kubeba utapata madhara ya mgongo.

21. Extension ya umeme, yes kaa na extension ya ziada ya umeme, kuna siku utahitaji kuliko kwenye wagongea majiran upate fedheha.

Kwa mwingine anaeweza endeleza list, share nasi
Safi kijana....
 
Kwa sera ya afya ya tanzania, rapid test ambayo mtu anaweza ji test nayo ni ile ya kutumia mate tu, hizi zingine zinatakiwa kutumiwa na mtaalamu wa afya tu, tumia at your own risk, usisahau kuna forced positive na forces negative, imagine unampima ikasoma neg kumbe ni positive
False negative,false positive
 
Imagine siku umekutana na HIV carrier, amaye yeye anasambaza tu ila kipimo ni neg... Kama utaamua condomize just condomize mzee
Maana ya carrier ni anao na vipimo vinasoma fresh ila yeye havimzuru
 
Siri nyingi zetu tunaziacha stationery maana huwa hazifutwi, mimi huwa najitahidi kuhakikisha zimefutwa ingali niko pale ndipo niondoke
Yaaah man atleast japokuwa ushahid wa computer huwa haufutiki ila atleast...
 
Siri nyingi zetu tunaziacha stationery maana huwa hazifutwi, mimi huwa najitahidi kuhakikisha zimefutwa ingali niko pale ndipo niondoke
Mbaya zaidi ni unasahau kumwambia afute kule kwenye recycle bin hvy mambo yanakuwa n yaleyale 😂
 
Kwa wanaume wenzangu habari za muda huu, naomba niende moja kwa moja kwenye mada husika kama nilivyoitambulisha hapo juu. Ikiwa una familia au unaishi bachelor tafadhali zingatia hili linakihusu.

Nyumbani kwako hakikisha mwanaume hukosi essential tools kadhaa kwa ajili ya kupunguza changamoto ndogo ndogo ukizingatiwa wewe ni mwanaume, familia nzima itakutegemea wewe. Vifaa muhimu kabisa hutakiwi kukosa kwako ni kama ifuatavyo:

1. Tester ya umeme. Hakikisha hiki kifaa hukosi kwako, kitakupunguzia ajali kwako za umeme kwa kutambua wapi kuna leakage ya umeme pia itakusaidia ku repair issue ndogo ndogo zinazohusiana umeme kwako, imagine hata kubadilisha holder ya balbu ya taa chumbani kwako uende kumwita fundi aingie chumbani kwako na mkeo.

2. Nyundo ndogo. Vifaa vingi ndani ya nyumba vimeundwa kwa misumali, sasa hata kugongea msumali ulio loose ushindwe?

3. Screw driver. Wengine wanaiita "bisibisi" siku hizi kuna set hata machinga wanaziuza itakusaidia hata kukaza nati ya kitasa chako cha chumbani

4. Panga. Licha ya kazi nyingine ni silaha pia.

5. Jembe. Kila mtu anajua kazi yake

6. Shoka, sururu, kwanja hii inategemea na mazingira yako

7. Tool box, sio lazima liwe special weza tengeneza la mbao au chuma, hifadhi powertools zako.

8. Drills, siku hizi kuna simple drills zinauzwa madukani tena za kuchaji ambayo una regurate speed unaweza tumia kama drill au hata kama screw driver, bei yake inategemea ila ni tool muhimu sana, imagine chumban kwako sasa hivi ukitaka tundika tv ukutani unafanyaje? Utamwita fundi chumban kwako? Kuitumia ni rahisi sana tena YOUTUBE WANAFUNDISHA.

9. Spana. Hapa si lazima uwe na set nzima angalau hata ile adjustable ambayo inaweza fanya kazi kwenye nati tofauti tofauti.

10. Koleo (pliers) siku hizi zipo zenye kazi hadi 4 ndani ya moja

11. Chepe. Hata kuzoa taka ndani ya nyumba uweze, usishindwe hata chimba shimo la taka

12. Reki. Usiwe kila siku wa kuazima reki ya sh 5000

13. Baiskeli. Hii kwa mazoezi, kama nafasi yako ni ndogo siku hizi zipo unazoweza kuzikunja na kuhifadhi sehemu ndogo.

14. Misumari, akiba ya misumali saizi tofauti tofauti itakusaidia repairs zisizotarajiwa

15. Air pump yoyote hata ya mkono. Kama unamiliki chombo chochote cha usafir kilicho na tire ya kujaza upepo usikose hii kitu, imagine umeamka pikipiki au gar imepungua sana upepo utafanyaje? Ndio wamwita fundi? Jaza upepo ukusogeze kwenye tire services

16. Torch. Kazi ya tochi inajulikana kuna wenzetu hata tochi ya battery hana, dharula haina hodi

17. Mashine ya kunyolea (homecut). Kama una watoto hakikisha una mashine yako, weekend watoto unawanyoa mwenyewe, hii inaongeza mapenz ya baba na watoto.

18. Msumeno, yes kwenye toolbox yako uwe na msumeno mdogo hata ule wa 5000 utakusaidia siku moja

19. Mzani, hata ule simple wa spring unaoishia kilo 5 wa bei ndogo sana, kuna siku utakupunguzia kazi hapo kwako.

20. Toroli, kama unaishi nje ya mji toroli muhimu sana kwa shughuli ndogo ndogo nyumbani, usipende kila kitu kubeba utapata madhara ya mgongo.

21. Extension ya umeme, yes kaa na extension ya ziada ya umeme, kuna siku utahitaji kuliko kwenye wagongea majiran upate fedheha.

Kwa mwingine anaeweza endeleza list, share nasi
22. Condom na Kilainishi narudia tena Condom na Specific Lubricant
Kuna dharula(Chance due to opportunity available Especialy kipind hiki Wanawake wenzangu hali ngumu ya maisha) sometimes zinajitokeza Fursa waweza tumia Kumung'unya without damage your family.

23. Solar Power.
Itakusaidia hasa taa za nje za Security kwa siku zote za maisha Yako hapo nyumban. Taa Za ndan unaweza tumia Umeme na ukaMinimize Cost kwa Taa za Nje kwa kutumia Solar
 
Saf
22. Condom na Kilainishi narudia tena Condom na Specific Lubricant
Kuna dharula(Chance due to opportunity available Especialy kipind hiki Wanawake wenzangu hali ngumu ya maisha) sometimes zinajitokeza Fursa waweza tumia Kumung'unya without damage your family.

23. Solar Power.
Itakusaidia hasa taa za nje za Security kwa siku zote za maisha Yako hapo nyumban. Taa Za ndan unaweza tumia Umeme na ukaMinimize Cost kwa Taa za Nje kwa kutumia Solar
Safi, kwangu kila chumba kina mduno wa solar power ndogo tu ya watt 10 ya taa incase tanesco wakifanya yao
 
Mbaya zaidi ni unasahau kumwambia afute kule kwenye recycle bin hvy mambo yanakuwa n yaleyale 😂
Hatari, kuwa na computer home na printer yenye uwezo wa photocopy na scan ni muhimu
 
Kwa mwingine anaeweza endeleza list, share nasi
22. RUNGU KUBWA - Hilo litakusaidia kupambana na wavamizi iwe binadamu au wanyama km nyoka na wengineo

23. MACHETE (SIME) - Hizi ni zile wanachinjia ng'ombe Masai zinakata pande zote kwa ajili ya kujihami tu pakitokea lolote usihangaike na panga ambalo linakata pande moja
 
Back
Top Bottom