Russia is not your enemy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2023
- 373
- 625
Gym ya kishikaji. Local tu inatosha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unapata complete na bits?Kama uko dar tembea kariakoo, waduka ya hardware, ziko za kila aina hata chini ya bei hiyo, pia maduka ya used powertools zipo za kila aina
Hiyo angle grinder ndo sawa na rotary?Nunua angle grinder ndogo tu ya sh 80,000 nunua na msumeno wa disc unauzwa 10,000 kazi yako itakuwa nyepesi sana
Usitishe watu kwani fundi nani?Issue ya leakage za umeme ni ngumu huwezi itatua bila fundi
Unaanza kwa kutest mcb moja baada ya nyingine, itayo jirudi ndo unaanza ifatilia hiyo, kama ni ya socket unafatilia kujua chanzo niniCircuit breaker ikitrip kila unapoiwasha utafanyaje ndugu
Kile kinachowaka taa na kupiga sauti? Kile hata wewe waweza nunuaSasa mzee hii ni mada nyingine, circuit breaker ikiwa ina trip cha kwanza zima kila kitu na chomoa kila kitu ambacho kimeunganishwa kwenye umeme isipotrip jua moja ya kifaa kina short circuit, iki trip jua mfumo wako wa umeme una short so mwite fundi aje na kifaa flan cha kutafuta short/leakage
😀😀Usitishe watu kwani fundi nani?
Unatumia youtube tu
Cc Nangu NyauUmesahau mguu wa kuku aka Bastola.
Wa kujengea nyumba[emoji23]Mwiko wa nini tena ? Ule wa kuchapia nyumba au kusongea ugali na wali ?
Hv yale mafuta ya nazi yanaweza kutumika kama kilainishi.?22. Condom na Kilainishi narudia tena Condom na Specific Lubricant
Kuna dharula(Chance due to opportunity available Especialy kipind hiki Wanawake wenzangu hali ngumu ya maisha) sometimes zinajitokeza Fursa waweza tumia Kumung'unya without damage your family.
23. Solar Power.
Itakusaidia hasa taa za nje za Security kwa siku zote za maisha Yako hapo nyumban. Taa Za ndan unaweza tumia Umeme na ukaMinimize Cost kwa Taa za Nje kwa kutumia Solar
We sawa basi mkuu, kuchapia nyumbaWa kujengea nyumba[emoji23]