Beberu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2017
- 4,548
- 9,740
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndo mpango mzima wa mtoa mada na anataka wote tuonekane mafundiItakuwa wanajiandaa kufungua chuo Cha veta
long-term slow progressors (LTSPs).Imagine siku umekutana na HIV carrier, amaye yeye anasambaza tu ila kipimo ni neg... Kama utaamua condomize just condomize mzee
Kaka tunataka kukusaidia usiingie gharama na fedheha ndogo ndogo, kugonga msumali uliopitiliza kwenyw kiti chako hiyo iko ndani ya uwezo wako, je utatumia nn au jiwe?Kwahiyo unataka wanaume wote tuonekane mafundi umeme na useremala?
ndo mpango mzima wa mtoa mada na anataka wote tuonekane mafundi
[Mkuki dah ngoja ni add kwenye list ya vifaa vyangu, watu wanafikiri hivi vifaa tunanunua siku moja hapana, mimi kifaa changu kwanza kununua ilikuwa pliers (koleo) mwaka 2013 wakati naanza maisha mpka leo nina toobox kubwa kama kabati, nanunua kimoja kimoja kutokana na changamoto nanyokutana nayo kila sikuHapo ongeza potable grinder, first AID kit na mkuki.
Hizo zote ninazo kasoro wheelbarrow/toroli.
Inategemea na mazingira yako, sasa siku unahama nani aje afungue kitanda chako? Hata chaga ikitoa msumari unakula godoro utamuita fundi?Kakazangu na mimi wa ghetto chumba kimoja bisibis nyundo na vifaa vyote kunamtu kasema na ngazi Bado kunakitanda jiko mkaa ndoonza maji 😂😂😂kutakuwa karakana 😂😂😂😂
Na toroli haha.Kakazangu na mimi wa ghetto chumba kimoja bisibis nyundo na vifaa vyote kunamtu kasema na ngazi Bado kunakitanda jiko mkaa ndoonza maji [emoji23][emoji23][emoji23]kutakuwa karakana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe sasa ni a DIY enthusiast, hii kitu wacha niitafute, nimefunga dishi home mara nyingi kwa manually sat finder kwa try and error
Ndani ya mwezi nimeita mafundi kuseti dish la dstv nikaona wanazingua ikabidi niitafute hiyo kitu,mkuu imenisaidia sana