Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Hao wazazi ambao hawajakufunza, wao wanakuwa waliowana au hawakuowana..!!?Asofunnzwa na wazazi hufunzwa na walimwengu, huu msemo utaishi mpaka kiama.
Ni sawa na kusema katika nyakati ambazo wanawake wanapoteza uanamke wao na kuvaa joho la uanaume katka nafsi zao.
Kwa muktadha huu ndoa nyingi wanaume ni kama wanajiwekea njia madhubuti ya umauti wao.
Hivyo ili kuyaishi maisha marefu na kuikimbia Jehanamu yawapasa wanaume kuacha kabisa habari na fikra za kuoa.
Ikimbie Jehanamu achana na kitu kuoa.
Ni hayo tu kwa uchache.
Wadiz
NAKAZIANDOA NI AINA YA MAUAJI YA KIMWILI, KIROHO NA KIUCHUMI YALIYO HALALISHWA NA KIKUNDI FULANI CHA WAHUNI.......
KATAA NDOA.
Natamani wanawake wote waweke msimamo madhubuti kuwa:-NDOA NI AINA YA MAUAJI YA KIMWILI, KIROHO NA KIUCHUMI YALIYO HALALISHWA NA KIKUNDI FULANI CHA WAHUNI.......
KATAA NDOA.
Unaishi dunia gani mkuu, huelewi pia kama kuna wanawake ambao ambao hawataki kabisa kusikia neno NDOA????Natamani wanawake wote waweke msimamo madhubuti kuwa:-
"HAKUNA NDOA HAKUNA MBUSUSU"
halafu tuone kama akina #Kataa Ndoa hamtapoteana
wafe njaa ?HAKUNA MBUSUSU
Wanawake wasiotaka ndoa (kama wapo) ni wachache mno. Na ndiyo wale ambao hupenda waingie kwanza ndoani, baadaye wanazusha migogoro ili watokeUnaishi dunia gani mkuu, huelewi pia kama kuna wanawake ambao ambao hawataki kabisa kusikia neno NDOA????
Kwahiyo unazani kila mwanamke anawish kuingia kwenye ndoa mkuu???
Hilo nalo neno, tatizo njaawafe njaa ?
Mwanaume Kataa ndoa ili na wewe ukaolewe.........make it this way.Asofunnzwa na wazazi hufunzwa na walimwengu, huu msemo utaishi mpaka kiama.
Ni sawa na kusema katika nyakati ambazo wanawake wanapoteza uanamke wao na kuvaa joho la uanaume katka nafsi zao.
Kwa muktadha huu ndoa nyingi wanaume ni kama wanajiwekea njia madhubuti ya umauti wao.
Hivyo ili kuyaishi maisha marefu na kuikimbia Jehanamu yawapasa wanaume kuacha kabisa habari na fikra za kuoa.
Ikimbie Jehanamu achana na kitu kuoa.
Ni hayo tu kwa uchache.
Wadiz
HahaaaaWanawake wasiotaka ndoa (kama wapo) ni wachache mno. Na ndiyo wale ambao hupenda waingie kwanza ndoani, baadaye wanazusha migogoro ili watoke
๐๐ถ๐ถ ๐ต๐ฎ๐ถ๐๐ฒ๐๐ถ ๐ธ๐๐๐ฎ ๐๐ฎ๐ฏ๐ฎ๐ฏ๐ ๐ธ๐๐ ๐ธ๐๐ฎ ๐๐ผ๐๐ฒ ๐บ๐ธ๐๐, ๐น๐ฎ๐ธ๐ถ๐ป๐ถ ๐ฎ๐บ๐ถ๐ป๐ถ ๐ธ๐๐ฎ๐บ๐ฏ๐ฎ ๐๐ฎ๐ฝ๐ผ,, ๐ฎ๐ป๐ฑ ๐ธ๐ฎ๐บ๐ฎ ๐๐๐ฎ๐ธ๐ฎ๐ฎ ๐ป๐ฎ๐ผ ๐ฏ๐ฎ๐ฎ๐ฑ๐ต๐ถ ๐ป๐ฎ ๐ธ๐๐๐ฎ๐ต๐ผ๐ท๐ถ, ๐ฟ๐ฒ๐ฎ๐๐ผ๐ป๐ ๐๐ฎ๐๐ฎ๐ธ๐ฎ๐๐ผ๐ธ๐๐ฝ๐ฎ๐๐ถ๐ฎ ๐๐ฎ๐น๐ฎ ๐ต๐ฎ๐๐๐ฒ๐๐ถ ๐ธ๐๐ฝ๐ถ๐ป๐ด๐ฎ๐ป๐ฎ ๐ป๐ฎ๐ผ.Wanawake wasiotaka ndoa (kama wapo) ni wachache mno. Na ndiyo wale ambao hupenda waingie kwanza ndoani, baadaye wanazusha migogoro ili ๐๐ฎ๐๐ผ๐ธ๐ฒ
Hao wanawake watakula wapi?Natamani wanawake wote waweke msimamo madhubuti kuwa:-
"HAKUNA NDOA HAKUNA MBUSUSU"
halafu tuone kama akina #Kataa Ndoa hamtapoteana
Kataa ndoa ukapigwe na wanaume wenzako.NDOA NI AINA YA MAUAJI YA KIMWILI, KIROHO NA KIUCHUMI YALIYO HALALISHWA NA KIKUNDI FULANI CHA WAHUNI.......
KATAA NDOA.