Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Including Mama yakeHao wanawake watakula wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Including Mama yakeHao wanawake watakula wapi?
hakikaNDOA NI AINA YA MAUAJI YA KIMWILI, KIROHO NA KIUCHUMI YALIYO HALALISHWA NA KIKUNDI FULANI CHA WAHUNI.......
KATAA NDOA.
UKO SAHIHI SANAAsofunnzwa na wazazi hufunzwa na walimwengu, huu msemo utaishi mpaka kiama.
Ni sawa na kusema katika nyakati ambazo wanawake wanapoteza uanamke wao na kuvaa joho la uanaume katka nafsi zao.
Kwa muktadha huu ndoa nyingi wanaume ni kama wanajiwekea njia madhubuti ya umauti wao.
Hivyo ili kuyaishi maisha marefu na kuikimbia Jehanamu yawapasa wanaume kuacha kabisa habari na fikra za kuoa.
Ikimbie Jehanamu achana na kitu kuoa.
Ni hayo tu kwa uchache.
Wadiz
𝗞𝗮𝗺𝗮 𝗻𝗱𝗼 𝗵𝗼𝗷𝗮 𝘆𝗮𝗸𝗼, 𝗻𝗶𝗯𝗶𝘀𝗵𝗮𝗻𝗲 𝗶𝗹𝗶 𝗸𝘂𝘁𝗮𝗳𝘂𝘁𝗮 𝗻𝗶𝗻𝗶???Kataa ndoa ukapigwe na wanaume wenzako.
Akili za ngedere hizo watoto hawana kigezo cha kuwa zao la kuoa, watoto wanapatikana sana ukiwa single kuliko huko Jehanamu kwenuSio shida ila baba yako na mama yako wangekuta mada zako kabla ujawa kwenye sehemu zao za siri leo usingekuwepo au kufika ulipo
Hata ngedere ana mke na watoto.Akili za ngedere hizo watoto hawana kigezo cha kuwa zao la kuoa, watoto wanapatikana sana ukiwa single kuliko huko Jehanamu kwenu
Watapotelea kwenye 🌈Natamani wanawake wote waweke msimamo madhubuti kuwa:-
"HAKUNA NDOA HAKUNA MBUSUSU"
halafu tuone kama akina #Kataa Ndoa hamtapoteana
Kiama ndio nini shehe..?Asofunnzwa na wazazi hufunzwa na walimwengu, huu msemo utaishi mpaka kiama.
Ni sawa na kusema katika nyakati ambazo wanawake wanapoteza uanamke wao na kuvaa joho la uanaume katka nafsi zao.
Kwa muktadha huu ndoa nyingi wanaume ni kama wanajiwekea njia madhubuti ya umauti wao.
Hivyo ili kuyaishi maisha marefu na kuikimbia Jehanamu yawapasa wanaume kuacha kabisa habari na fikra za kuoa.
Ikimbie Jehanamu achana na kitu kuoa.
Ni hayo tu kwa uchache.
Wadiz
Hakika mkuu saa hii hakuna trust na patience. Ni Bora kuish na mwanamke ila sio kumuoaHizo ni Nyakati mbili tofauti, enzi za wazazi wetu kauli mbiu ilikuwa FUNGA NDOA EPUKA AIBU (Enzi zao vijana walikuwa na heshima, hakuna tamaa za kujinga - Usaliti)
Nyakati za kizazi hiki ni KATAA NDOA KATAA UTAPELI (Ubabe, Ujeuri, usaliti, ujuaji n.k)
Duh..Watapotelea kwenye 🌈
bado hajakataa ndoa huyoHutaki kuoa Unataka uolewe?