Kwa wanaume mnaotafuta wanawake humu

Kwa wanaume mnaotafuta wanawake humu

Ili ujue watu wanapenda kudanganya umri nenda badoo, unajuta limwanamke linaonekana kabisa sura liko 40 eti kaandika yuko 30 au 32 mwingine hata 29. mimi huwa sina msalia mtume nao..
 
Hata huku pia ni mtaani tu!!

Nyie ndio bado mna akili za kwamba soko ni Kariakoo.

Mwinyi: kila kitu ruksa.
 
It is always interesting to meet some one new you never met before! Inachosha sanaa kutoka na watu unaowajua sababu unawajua tayari si loloye si chochote hawana jipya!

Dear I do agree...Jibu nzuri. Thanks..
 
Mmmmhhhhmm .. Subiri aliyenichumbia aje kujibu kwa maana I think inamuhusu yeye....Thanks..
 
Kwa wanaume mnaotafuta wanawake humu,naomba kujua mnakabiliana na changamoto gani huko nje hadi mje kutafta mabinti humu?

Maana sielewi inakuaje hadi unakosa mwanamke huko unakoishi hadi unakuja kulia humu kwamba upweke unataka kukuua.

Mbona mabinti ni wengi sana na wanapatikana kwa urahisi au mimi tu ndio naona hivyo? Tatizo ni nini?

je;
1. Mmekosa sifa za mabinti mnaoishi/kusoma /kufanya nao kazi?
2. Mko bize sana na kazi/shule hadi mnakosa muda wa kusocialize na watu[wanawake] hadi kuwapata?
3. Mabinti hawapatikani huko mnakoishi[wachache na wameshachukuliwa na wengine]?
4. Hao mnaoishi,soma au kufanya nao kazi hawana vigezo vyenu?
5. Udomo zege?[kama ndio hivyo hizi mitandao zisingekuepo mngefanyaje?mngebaka?

Kwa kweli sielewi hasa mwanaume unakosaje binti huko hadi uje kulia upweke hapa. Kumbuka: simaanishi kwamba wa humu hawafai au hawatakiwi,ndio hao hao tunaoishi nao.

1.Tuna sifa zote ndio maana hata ukikutana na huyo wa mtandaoni anakukubali,hata nao wana vigezo vyao hawakubali kila MTU.
2.Busy Sana,wengine tumejiwekea marufuku ya kudate kazini au mtaani.
3.Wengine tunapoishi unapishana na magari tu 80% yana vioo tinted hivyo ni ngumu kugongana na wanawake barabarani.
4.Jibu lipo namba 2 na 3
5.Sio udomo zege kwasababu hata wa mtandaoni ukikutana nae inabidi uongee,tena points coz u have only one shot!

Mapenzi popote hawa wa mtandaoni ndio hao hao wako mtaani au unafikiri wanatoka Mars?!
 
Akitumia id ya siku zote atakosa mke

Muwe mnawajibu vizuri hawa watu huko PM teh teh...

Msiwe mnaangalia Join date ndio mnatoa attention, sio fair hivo hahaha

Si mnaona sasa kaamua kufunguka kwa hasira..
 
Back
Top Bottom