Kwa wanaume mnaotafuta wanawake humu

Kwa wanaume mnaotafuta wanawake humu

Kudanganya umri ni utamafuni wa watanzania naona, sio wanawake wala wanaume, wote wana tabia ya kupenda kudanganya umri.
 
Vijana wa siku hizi hawana sifa za kuitwa WANAMUME bali wakiume......Mwanamume aliyekomaa hawezi kuyaanika mambo yake ya faragha namna hii kwani anajua moja ya sifa ya kuwa kiongozi wa familia ni uwezo wake wa kuyashughulikia mambo yanayomhusu na kuyatafutia ufumbuzi na sio kuyaanika mbele ya hadhara....
Wanamume hatujapewa vifua vipana kwa ajili ya kuvalia vibodi suti tu....bali kukabiliana na changamoto mbali mbali...

hahahah! Apo kwenye vibodi suti.
Ila izo sifa za mwanaume zipo kwenye kitabu gani vile nikazipitie?
 
mtoa mada in a sad mood&frustrated, wanawake kweli ni shiiida aisee wakitoa mimba uzi unaanzishwa, wakizaa wanataka kuwaua hahaaaaaa,
 
Ni bora huyo aliezaa kuliko anaetoa ili abaki kuonekana binti. Na kuna wadada wengi tu wamezaa lkn wanainekana mabinti kuliko ht hao ambao hawana watoto. Jaman kuzaa isiwe sbb ya kumnyanyapaa mtu,vijana acheni kukaa kila siku mnawaza kasoro za wanawake tu,mbona ht wanaume wenye watoto nao ni wengi au hao wadada wanazaa peke yao.
 
hivi JF ni kabila au nchi? maana nashangaa kusikia JF ina wanawake
 
Jiwe gizani lakini limewapata wengi na mapovu yanawatoka
 
Mi ntatafuta tu na wala siachi maneno yako hayatanipunguza kasi najua yupo tu anayejua namuhitaji humuhumu siwezi kumuacha kwa kusikiliza maneno yako.
 
Mi ntatafuta tu na wala siachi maneno yako hayatanipunguza kasi najua yupo tu anayejua namuhitaji humuhumu siwezi kumuacha kwa kusikiliza maneno yako.

Endelea ila ujue utakua mume mdogo au kwenye ahadi ya kufahamiana utaona kituko,utakutana na mtu urefu wake anafika kwenye kiuno chako,naye anataka mume mwema
 
Mkuu ukitaka umaarufu lazima ujulikane na mengine yanafuata. Hivo usione jamaa kama atapoteza out look yake kwa hii post, yawezekana ndiyo safari ya kujulikana hiyo.
Hii sredi itakupunguzia umaarufu wako kwa wadada wa humu MMU
 
As long as hawajakulazimisha uwaoe, basi fanya yanayokuhusu. Wenye Shida nao watawafata tu hata Kama wana Miaka 50. Jifunze kuheshimu hisia za wengine
 
Habari Jf,nimefanya utafiti kupitia jukwaa la MMU,hapa Jf hakuna mabinti wanaotafuta wanaume,wanaotafuta ni wanawake waliozalishwa na kutelekezwa,wengine wameachwa na wanaume kwa matatizo walionayo,umri wao ni zaidi ya 30yrs ila wanajitahidi sana kupunguza,utamsikia anasema ana 24yrs ili aonekane mdogo kumbe jua limeanza kuzama na anajutia alivyosumbua akiwa na umri chini ya 30yrs,halafu utamsikia sitaki mapenzi nataka niolewe wakati asali hakuna ni mzinga tupu,hakuna hata jipya,wanawake wanachanganyikiwa sana wakiona miaka inaenda hapati wa kuishi nae,nimeokoka nataka mume mwema wakati wewe hufai kuwa mke mwema,USIKU MWEMA

Jamani unawaonea ..
Hata vitabu vya dini vinasema Make mwema anatoka kwa bwana..
Kwa hiyo hayo yaliyo achika huko kwa mabwana zao ndio wake wema
Once bite twice shy..
Nahitaji huyo
 
Ni bora huyo aliezaa kuliko anaetoa ili abaki kuonekana binti. Na kuna wadada wengi tu wamezaa lkn wanainekana mabinti kuliko ht hao ambao hawana watoto. Jaman kuzaa isiwe sbb ya kumnyanyapaa mtu,vijana acheni kukaa kila siku mnawaza kasoro za wanawake tu,mbona ht wanaume wenye watoto nao ni wengi au hao wadada wanazaa peke yao.

Hivi unakua na mwanamke aliyezarishwa na mtu mwingine alafu unaenjoy....tamu yake kabisa nouuuu .....mwanamke ni mwanamke tu..
 
Back
Top Bottom