Kwa wanaume mnaotafuta wanawake humu

Kwa wanaume mnaotafuta wanawake humu

Kwa Utaalam Wangu Uliotukuka Valentina Ndiyo Iyoka Na Hapa Anatuchezea Shere Tu Kwa Kuanzisha Uzi Kisha Kuujibu Haraka. Kwa Mfano Angalieni Threads Alizoanzisha Iyoka Na Interval Yake Kisha Muda Mfupi Tu Utamwona Valentina Anajibu. Ukishakuwa Mzoefu Wa Hii Mitandao Kumjua Mtu Na Ujanja Wake Ni Rahisi Mno.

Mbona huyo Iyoka thread started ni hii moja tu.. hana thread nyingine
 
Umelenga nini hasa ushauri ??? onyo ?? au bas tu umeandika

Ni ushauri kwa wanaotafuta wanawake wakijua watapata mabinti hapa Jf,pia wanawake wasiwaachie asali wanao rina na kuacha mizinga mitupu kisha wanakimbia na kuwaacha dada zetu wanahangaika
 
Wewe ni mume mwema? au hao wanawake wa jf wenye miaka 30.... hapaswi kupenda au kupendwa? je wewe una miaka mingapi? Good night na pole kama umevurugwa. Baba Magufuli njoo unyoshe watu maana mtu akikosa cha kuandika anaanzadis mama yake.

Kumbe bado kuna wanawake wanaopenda? Maana naskia siku hizi hamna wanawake bali ni msambinungwa tu
 
You may be right Boss, but you presented it like how a Magic Johnson's last born would, or just another fagnag. Men shouldn't roll like that my brother, unless you playing for the other team.
 
Wadada cku hizi ni kama wacheza mpira wa kibongo lazima upinguze miaka ili mkataba uweleweke!
Na
Wanaume cku hizi ni T.F.F! Ukujumlisha .? Jibu kaanalo. Gd9t.

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Utakuwa ni kati ya niliowasema,ukizalishwa unafaa kuwa mchepuko kwa asilimia chache kwasababu nawewe unapenda
kwa hiyo kama ni ka yahayoataaje kwa mfano? uliambiwa kuzaa ni dhambi? huyo mkeo ulomzalisha ndie hana amani bora ukamwuliza why ana mchepuko?
 
Wewe ni loser, huwezi toa conclusion ya wooote 'kwa sampo' yako biased khs jf sheilas!

Wako mpk bikra humu ni bht mbaya yako pole na si vzr kujumuisha
 
Mchagua jembe sio mkulima. Sijui kapigwa chini maskini. I feel him, maisha yanaweza kuwa frustrating
Wewe ni loser, huwezi toa conclusion ya wooote 'kwa sampo' yako biased khs jf sheilas!

Wako mpk bikra humu ni bht mbaya yako pole na si vzr kujumuisha
 
Sasa unategemea mwanamke huko mtaani ni hot cake wanaume wote wanamtamani atakuja kutafuta jf kweli?
 
Vijana wa siku hizi hawana sifa za kuitwa WANAMUME bali wakiume......Mwanamume aliyekomaa hawezi kuyaanika mambo yake ya faragha namna hii kwani anajua moja ya sifa ya kuwa kiongozi wa familia ni uwezo wake wa kuyashughulikia mambo yanayomhusu na kuyatafutia ufumbuzi na sio kuyaanika mbele ya hadhara....
Wanamume hatujapewa vifua vipana kwa ajili ya kuvalia vibodi suti tu....bali kukabiliana na changamoto mbali mbali...
 
Wadada cku hizi ni kama wacheza mpira wa kibongo lazima upinguze miaka ili mkataba uweleweke!
Na
Wanaume cku hizi ni T.F.F! Ukujumlisha .? Jibu kaanalo. Gd9t.

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Mi nakupongeza kwa utunzaji wako wa simu uliotukuka.

Ila ungefanya mandingo ufute hako ka signature....
 
Hii ni ID mpya ila member wa zamani. Anataka kutuaminisha JF hakuna wanawake.
Loser
 
Back
Top Bottom