Kwa wanaume mnaotafuta wanawake humu

Kwa wanaume mnaotafuta wanawake humu

Sasa hapa mi ndo sielewi....unaanzishaje mahusiano na anonymous? Huogopi kuopoa garasa?

Dunia ya sasa mpenzi wa online hakwepeki na ni kizamani eti kutongoza lzm mkutane face to face!

Kuna ndoa wapenzi walikutana online zinanoga kuliko wale wa mazoea ya kukutana maofisini au mashuleni!
 
Sina jibu zuri la kujibia maswali yako, kwa kuwa wanawake nao huwa ni watafutaji humu humu kwenye social networks. Ina maana wao ni mabikra hawajawahi kuwa na mwanamme? Kama ndio wana kasoro gani, na kama sio hao wanaume waliokuwa nao wamekwenda wapi?
 
Hata mkidinyana baada ya miaka miwili kudinyana ni kudinyana tu. Ukibandika tangazo ina maana tangu mwanzo wa kufahamiana kitu kinachokuwepo ni mapenzi tofauti na ile ya kuanza na urafiki....mapenzi yanakua taratibu. Na hii ya mtu kuibuka na kusema 'natafuta' binafsi siikubali sana maana waweza kuopoa garasa ukaacha anaekufaa maana hapo kila mtu ni full kupretend....mapenzi mazuri ni yale yanayokua taratibu....mtu unamjua kidogo ABC zake kabla hujatamka mapenzi...
Sioni tofauti rafiki, tatizo lako naona sio kupata mpenzi kupitia mtandao..tatizo ni kutangazia umma kuwaunatafuta mchumba.

Either way haina tofauti, binafsi Kama nitaanza kuchat na wewe Kama online pen pal, bila kurusha tangazo tayari Kuna kitu kimejengeka akilini kuwa, yeah I must go for this chick. Haina tofauti na ile ya kurusha tangazo coz mwisho wa siku inategemea na jinsi process nzima ya kufahamiana na kujenga urafiki itakavyoenda.


First off, baada ya kukutana sidhani mtaanza kuongea mapenzi, you start by being friends, ule urafiki unajengeka taratibu na kama mko serious, lazma mtaona mwisho mzuri.
 
Kwa wanaume mnaotafuta wanawake humu,naomba kujua mnakabiliana na changamoto gani huko nje hadi mje kutafta mabinti humu?

Maana sielewi inakuaje hadi unakosa mwanamke huko unakoishi hadi unakuja kulia humu kwamba upweke unataka kukuua.

Mbona mabinti ni wengi sana na wanapatikana kwa urahisi au mimi tu ndio naona hivyo? Tatizo ni nini?

je;
1. Mmekosa sifa za mabinti mnaoishi/kusoma /kufanya nao kazi?
2. Mko bize sana na kazi/shule hadi mnakosa muda wa kusocialize na watu[wanawake] hadi kuwapata?
3. Mabinti hawapatikani huko mnakoishi[wachache na wameshachukuliwa na wengine]?
4. Hao mnaoishi,soma au kufanya nao kazi hawana vigezo vyenu?
5. Udomo zege?[kama ndio hivyo hizi mitandao zisingekuepo mngefanyaje?mngebaka?

Kwa kweli sielewi hasa mwanaume unakosaje binti huko hadi uje kulia upweke hapa. Kumbuka: simaanishi kwamba wa humu hawafai au hawatakiwi,ndio hao hao tunaoishi nao.
thanx for your post !coz imetulia!! mm binafsi ni kwa sababu ninakoishi, female wengi ama wameolewa au wamazalishwa! that's all!!
 
Sioni tofauti rafiki, tatizo lako naona sio kupata mpenzi kupitia mtandao..tatizo ni kutangazia umma kuwaunatafuta mchumba.

Either way haina tofauti, binafsi Kama nitaanza kuchat na wewe Kama online pen pal, bila kurusha tangazo tayari Kuna kitu kimejengeka akilini kuwa, yeah I must go for this chick. Haina tofauti na ile ya kurusha tangazo coz mwisho wa siku inategemea na jinsi process nzima ya kufahamiana na kujenga urafiki itakavyoenda.


First off, baada ya kukutana sidhani mtaanza kuongea mapenzi, you start by being friends, ule urafiki unajengeka taratibu na kama mko serious, lazma mtaona mwisho mzuri.

Hahahaha Eli79 bwana....u keep ur attitude, I keep mine. Nijuavyo mimi penzi huwa linagrow automatically....mnapendana then mnaamua kuanzisha mahusiano wakati hapo kwenye bandiko mnaanzisha mahusiano ndo mnaanza kupendana....vitu viwili tofauti...
 
Last edited by a moderator:
Kama through ONLINE watu wanaweza kusoma mpaka kugraduate,wanafanya biashara,wanatibiwa,wanafanya banking, n.k why not dating? Kumbuka kuwa watumia mitandao ndo sie tulioko mitaani,maofisini na shuleni. Trust me, watu wa humu ndo hao hao wa mtaani,kuna wachamungu,matapeli,waadilifu n.k. Kikubwa ni kuheshimu maamuzi ya watafutao na kwa watafutaji kuwa makini!
 
Ukiwapanga wanawake kumi, halafu umchukua mwanaume mmoja halafu ukamwambia awaingilie kila siku mmoja mpaka waishe wote na ukimchu mwanamke umpeleke mbele ya wanaume kumi, halafu umwambie aingiliwe na wanaume wote kumi kila siku mmoja hadi waishe. Je kati ya mwanamke na mwanaume unafikiri nani atakubali? Jibu la hili swali ndiyo sababu ya sisi wanaume kusaka papuchi popote iwezekanavyo.
 
Ukiwapanga wanawake kumi, halafu umchukua mwanaume mmoja halafu ukamwambia awaingilie kila siku mmoja mpaka waishe wote na ukimchu mwanamke umpeleke mbele ya wanaume kumi, halafu umwambie aingiliwe na wanaume wote kumi kila siku mmoja hadi waishe. Je kati ya mwanamke na mwanaume unafikiri nani atakubali? Jibu la hili swali ndiyo sababu ya sisi wanaume kusaka papuchi popote iwezekanavyo.

Mwanaume ndo atakubali
 
Nitakuja na link baadae..India moja ya tatu ya ndoa zimeanzia online...UK ni moja ya nne....na nusu ya relationship zinaanzia online

Weka basi hiyo link mkuu nasi tupitie kuongeza maarifa.
 
We ni wa kikeni au vipi? Una miaka mingapi, wewe na wenzako wangapi mmetongozwa kupitia humu. Unafikiri kwa uelewa wako kutongoza kuna kanuni? kweli division five zitatusumbua sana humu.

1. Mim ni wa kiume,mwanaume rijali[ukileta ukoo/ndugu zako wote wa kike watakimbia waache vyupi,km huamini mwambie maza ako aje uone,hata wewe ukitaka uje nikuzalishe]
2. Kaulize kwenu nimewatongoza wangapi.
 
Nadhani hapa wengi hatuelewani.....mimi binafsi sijakataa na wala sisemi kupata mke/mume hum haiwezekani...na ni kawaida tu mtu kufall in love online(mi mwenyewe imentokea) ninachoshangaa ni ile hatua mtu anajifungasha na anaweka nia ya kutafuta mpenzi hum...
 
Back
Top Bottom