Kwa wanaume na wanawake: Udongo (natural) Unaolainisha ngozi sasa unapatikana

Kwa wanaume na wanawake: Udongo (natural) Unaolainisha ngozi sasa unapatikana

nipo dar mabibo ni wapi nitaupata kwa urahisi na kwa gharama gani?!

Samahani sana kwa kuchelewa kukujibu.

Unaeza mpigia simu Jack- 0714893685

Jack yupo Kimara Rombo lakini amejitolea kufanya delivery mpaka Mbezi Mwisho na Ubungo.

Gharama za usafiri zitalipiwa na mteja.

Au unaweza kuupata kwetu, Sinza kwa Remmy 0769302206
 
Napenda kuwajulisha ndugu zangu wote wanaopitia kwenye tovuti hii ya Jamii Forums, kuwa:

Wale wenye matatizo ya ngozi aina zote, vidonda sugu, gas, ulcers, chunusi, vidonda ndugu, fungus na hawana uwezo wa kulipia, ninawaomba waje wachukuwe bure hii tiba yetu mbadala bila kulipia hata senti moja.

Hii ni tiba mbadala pekee ambayo ukinunua na kukusaidia basi umelipia na tiba kwa wengine wasio na uwezo wa kununua.
 
Napenda kuwajulisha ndugu zangu wote wanaopitia kwenye tovuti hii ya Jamii Forums, kuwa:

Wale wenye matatizo ya ngozi aina zote, vidonda sugu, gas, ulcers, chunusi, vidonda ndugu, fungus na hawana uwezo wa kulipia, ninawaomba waje wachukuwe bure hii tiba yetu mbadala bila kulipia hata senti moja.

Hii ni tiba mbadala pekee ambayo ukinunua na kukusaidia basi umelipia na tiba kwa wengine wasio na uwezo wa kununua.

Aunt Zai em taja muda basi,usinifanye mi kesho nipigie mswaki kwako!
 
Aunt Zainab hata simu hupokei ni shida tu. Nipe gharama za utumaji otherwise nimuagize my workmate anitumie kwa courier wa ofisi yao.... Zainab Tamim
 
Last edited by a moderator:
Aunt Zainab hata simu hupokei ni shida tu. Nipe gharama za utumaji otherwise nimuagize my workmate anitumie kwa courier wa ofisi yao.... Zainab Tamim

Nisamehe sana, labda umepiga wakati wa kusali.

Ukinikosa tafadhali mpigie mume wangu 0756803528.

Ulikuwa unataka kutumiwa wapi? mkebe mmoja ni 3,500/ tu na usafiri unalipia wewe mwenyewe, sisi tunakupelekea mpaka stand ya mabasi kwa wale wa mikoa ambayo hawaupati.
 
Nisamehe sana, labda umepiga wakati wa kusali.

Ukinikosa tafadhali mpigie mume wangu 0756803528.

Ulikuwa unataka kutumiwa wapi? mkebe mmoja ni 3,500/ tu na usafiri unalipia wewe mwenyewe, sisi tunakupelekea mpaka stand ya mabasi kwa wale wa mikoa ambayo hawaupati.

Niko Mwanza, wakala wenu wa huku mama Alex ameniambia kaishiwa kwa hiyo niagize huko kwako. Kama kuna wakala mwingine Mwanza nipatie mawasiliano yake. Zainab Tamim
 
Last edited by a moderator:
Zainab Tamim
ninakuja kuchukua mambo yaliingiliana naomba uongeze ile no ya voda tafadhali.
 
Last edited by a moderator:
Zainab Tamim Udongo umenifikia salama kwa wateja wa Mwanza wanaweza kuwasiliana nami kwa namba 0763772636 ninapatikana maeneo ya Bwiru ila alinipigia popote nitakuletea
 
Zainab Tamim Udongo umenifikia salama kwa wateja wa Mwanza wanaweza kuwasiliana nami kwa namba 0763772636 ninapatikana maeneo ya Bwiru ila alinipigia popote nitakuletea

OK Asante nitawajulisha wateja wa Mwanza.
 
Udongo (100% Natural) wa asili, Zainab's Natural Super Clay, mzuri sana kwa ajili ya kulainisha ngozi ya usoni na mwilini na kufanya ngozi iwe nyororo na ya kupendeza, sasa unapatikana sehemu nyingi.

Udongo huo wa asili ni wa hapa Tanzania, hauna madhara mwilini, umekuwa ukitumika na baadhi ya makabila ya Tanzania kwa miaka na miaka kulinda na kufanya ngozi zao ziwe za kuvutia.

Udongo sasa tumeweza, kuusaga kuwa kama poda na kuuchuja michanga na unaweza kuupaka kiurahisi zaidi kwenye ngozi baada ya kuuchanganya na maji.

Matumizi

Scrubbing, unaweza kujipaka usoni na au mwililini baada ya kuukoroga na maji safi na kuuwacha ukauke mwilini au usoni na kufanya scrubbing kama kawaida.

Masking, unaweza kujipaka usoni au mwilini baada ya kuukoroga na maji safi na ukauacha kama mask na baada kuuosha.

Face Wash, unaweza kuutumia kama face wash badala ya sabuni zenye makemikali, ni mzuri sana unateleza kama sabuni na hauna madhara, unaondoa vipele na rushes za usoni na ngozi iliyokufa, mara ya kwanza tu utaona uso unavyokuwa laini na mvuto.

Body Wash, unaweza kuutumia kama body wash badala ya sabuni zenye makemikali, ni mzuri sana unateleza kama sabuni na hauna madhara, unaondoa vipele na rushes za mwilini na ngozi iliyokufa, mara ya kwanza tu utaona ngozi inavyokuwa laini na mvuto.

Massage, unaweza kutumia kwa kufanyia massage mwilini, udongo ni laini na unatelezza kama sabuni baada ya kuuchanganya na maji safi, faida za kufanyia massage ni utavipata vyote hivyo juu.

Sun Protection, unaweza kuutumia kama sun protection kwa wale wale wanaofanya kazi za juani kwa muda mrefu, unachanganya na maji safi unajipaka na baada ya shughuli zako unanawa tu, inasaidia kulinada ngozi ya ko na jua, vumbi, na kuifanya iwe mororo na yenye nguvu.

Udongo huu ni mzuri sana na huwezi kuusifia zaidi mpaka uutumie.

Wanawake na wanaume wanaojali ngozi zao na muonekano wao wanaweza kutumia udongo huu.

Kwa sasa Aunt Zainabs Natural Super Clay inapatikana mikoa hii, kama upo nje ya mikoa hiyo tunakusafirishia kwa gharama zako za usafiri. Jumatatu tunategemea kuwa utapatikana na Mwanza:

Dar es Salaam

Dar Home Delivery:
Abdul= 0756803528

Ilala / Kariakoo = Raymond Mushi - 0713422069 na Joyce Mchagga - 0719024967.Pemba Street House No 12 Karibu na Msimbazi Police.

Ilala kwa Masai Kimako = Mwanahamisi Saloon 0718775220

Kijitonyama - Vivian Mshomi - Stendi ya Makumbusho - 0757176678 / 078476678 / 071576678 / 0776154933

Kimara - Mbezi - Ubungo = Jack- 0755155782

Jack yupo Kimara Rombo lakini amejitolea kufanya delivery mpaka Mbezi Mwisho na Ubungo.

Sinza = Aunt Zainab - 0769302206

Tabata = Yusuph Mushi - 0715488669

Zanzibar (Unguja)

Dr. S. Shafi 0754650480

Arusha

Mama Aida -0754445733

Dodoma

Rukia - 0653249898


Lindi

Nuru - 0717461575

Mbeya

Haule - 0756994850 na 0784658349

Mwanza

Petty - 0763772636

Morogoro

Lina Mafwere - 0754297319 Boma Road.

Tanga

Farouq - 0719190000

Bei za wasambazaji zitatofautiana na bei zetu za promotion kwa sasa, kwani kuna gharama wanazoingia za usafirishaji na faida yao.

Kwa maelezo yoyote ya ziada wasiliana na Aunt Zainab 0769302206 au babu Abdul 0756803528

Update: 08-04-2015

Bei za Promotion zimekwisha rasmi 31-03-2015 kwa sasa bei zetu hazitotifautiana na Mawakala, Recommended Retail Price ni 3,500 kwa paketi moja (reja reja).



Shangazi, naomba unielekeze naman ya kutumia ili kuondoa upara.
 
Shangazi, naomba unielekeze naman ya kutumia ili kuondoa upara.

Namna ya kuutumia ni hivyo hivyo iwe unaupaka kichwani au mwilini:

Unachukuwa hii Aunt Zainab's Natural Super Clay kiasi ya kijiko kimoja cha chakula, unachanganya na maji iwe nzito nzito kama ugali laini au uji mzito, unapaka kichwa chote wakati upo nyumbani na ukikauka unaweza kulala nao asubuhi ukaoga kama kawaida. Ukikauka hauchafui nguo wala mashuka ya kitanda.
 
naitaji kuwa wakala wako serengeti

Kariibu sana, unanunua dozen 3 kwa bei ya mawakala na ukitaka tukusafirishie unalipia gharama za kuusafirisha kwa basi hapo ulipo. Hakuna sharti zaidi na unaweza kuwasiliana nami kwa namba zangu zipo hapo post namba moja.
 
Back
Top Bottom