Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tusimchose Aunt Zainab, mimi nimejitolea kufanya delivery at no extra cost.
Pasco
Tusimchose Aunt Zainab, mimi nimejitolea kufanya delivery at no extra cost.
Pasco
Bukoba nitaopata je?
Aunt Zainab, mimi ni wale wanaume wa bara, hata mafuta tuu kupaka usoni sipakagi, zaidi ya kunawa na kuoga basi, ila nitamshauri mamie mwali kuhusu huo udogo, ili autumie, ila japo mimi sio mwana sayansi, ila kwa kumbukumbu yangu, udogo pia una kemikali, ila nyingi ni non reactive chemicals ambazo zimeishakuwa broken down kutoleta madhara, ila udongo zote ni aither acidic or alkalinity zinazofanya kazi ya antibiotic, watu wa kwanza kabisa kugundua matumizi ya udogo kwenye kuhifadhi miili ni wa Misri wakifuatiwa na wa China kisha wakaja wa Hindu. Walikuwa wakijiloweka kwenye tope, kutumia udogo kujirembesha, na kuhifadhia miili.Wee mchokozi kumbe. Umeshautumia huu udongo? ni wa ajabu sana.
Aunt Zainab, mimi ni wale wanaume wa bara, hata mafuta tuu kupaka usoni sipakagi, zaidi ya kunawa na kuoga basi, ila nitamshauri mamie mwali kuhusu huo udogo, ili autumie, ila japo mimi sio mwana sayansi, ila kwa kumbukumbu yangu, udogo pia una kemikali, ila nyingi ni non reactive chemicals ambazo zimeishakuwa broken down kutoleta madhara, ila udongo zote ni aither acidic or alkalinity zinazofanya kazi ya antibiotic, watu wa kwanza kabisa kugundua matumizi ya udogo kwenye kuhifadhi miili ni wa Misri wakifuatiwa na wa China kisha wakaja wa Hindu. Walikuwa wakijiloweka kwenye tope, kutumia udogo kujirembesha, na kuhifadhia miili.
Tanzania watumiaji wa mwanzo wa udogo ni kabila la Wamasai mpaka kesho, huwezi kukuta mwanamke wa Kimasai ana pimples, wote wako soft!.
Chukua sample ya udongo wako, ipeleke pale kwa Mkemia Mkuu, ili uandikiwe chemical formular ya udongo wako, ukiishaipata hiyo formular, nenda nayo Brella ukaisajili, upate kitu kinachoitwa "patent right" ili kuusajili huo udongo kuwa wewe ndio mvumbuzi, ili hata ukigundulika mahali pengine popote ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wewe unalipwa kitu kinachoitwa "royalities" kwa sababu utakuwa umeusajili, vinginevyo watatokea watu, watautafuta unapoutoa, watausajili wao, na wewe ndio kuja kuishia kulipishwa, tena wao watajenga kiwanda, kuufanyia branding na packaging na ku export, huku mgunduzi ukibaki mikono mitupu!.
Huu ni wakati wa Watanzania kulinda haki zetu za ugunduzi.
Pasco
Hongera, hilo la mimi kuutumia lataka moyo!, sisi wa kizamani tunaamini ngozi nzuri ni za kina mama, hata hizi saloon zetu, kila nikienda, nawaona wanaume wanafanya scrub, manicure na padicure, kiukweli mimi bado sijaweza!. Madame nitamleta!.Asante sana, nashukuru kwa ushauri wako mwema. Hivi sasa upo kwa Mkemia Mkuu tunangoja majibu na hayo mengine nitayafanya kama ulivyonishauri.
Na nashukuru ulivyouchambua kitaalamu kabisa.
Unaweza kuutumia hata wewe, wacha kuwa wakizamani bwana.
Muambie tu madame atutafute.
Asante.
Du!, kiukweli kisicho razki hakiliki!. Hata hivyo kwa vile ulianzia kuutumia ule wa Canada, then compare and contrast, ukiona vipi, unaweza kunituma mimi nikakufuatia ule wa kule kukuletea, maana nami nina nyumba kule!, tatizo la kule, mkienda kama familia, unakuwa kama umewapelekea mwenzi wako, utajikuta unajirudia peke yako, hivyo mimi nimeacha nyumba kabisa, nasubiri tuu kutumwa nikakufuatie ile liwa ya kule!.Umechelewa jamvini karamu imeshaliwa.
Du!, kiukweli kisicho razki hakiliki!. Hata hivyo kwa vile ulianzia kuutumia ule wa Canada, then compare and contrast, ukiona vipi, unaweza kunituma mimi nikakufuatia ule wa kule kukuletea, maana nami nina nyumba kule!, tatizo la kule, mkienda kama familia, unakuwa kama umewapelekea mwenzi wako, utajikuta unajirudia peke yako, hivyo mimi nimeacha nyumba kabisa, nasubiri tuu kutumwa nikakufuatie ile liwa ya kule!.
Pasco
Ni kweli, kule kwetu tunapuliza saa 11:00 alfajiri zikifuatiwa na mlima wa ugali maharage, baada ya hapo kuanzia 12:00 asubuhi hadi saa 6:00 mchana mtu amekata heka kwa jembe la mkono!.Bangi za asubuhi mbaya sana.
Na kwa wengine hii ni mboga tuu!.Jesuit, headline yako ni nzuri ila content umechanganya kidogo mambo.
Nianze na hoja yako ya msingi, mophine inatumika sana tuu mahospitalini na kuna wagonjwa wanakuwa prescribed bila kuambiwa ni mophine kwa vile inakuja kwenye dose tofauti na majina tofauti. Matumizi hayo mahosipitalini yanafanyiwa control under close supervision kwa vile mophine ina side effects mbili kuu.
1. Ni highly addictive, hivyo mwili ukishaizoea, hauwezi kufanya chochote bila hiyo kitu. Addiction tatizo lake ni dose kukuzoea hivyo lazima dose iongezwe kila baada ya muda ili kuendelea kuwa effective, hatimaye you can take no more na kuishia kuzimika jumla.
2. Ina slow down nervous system mpaka kufikia stage ya kuiparalyse kabisa. Hivyo matumizi yake yamekuwa restricted kwa mgonjwa ambaye imethibitishwa huyo ni mtu wa 'safari' tuu. Kwa mgonjwa mwenye chances za survival na kuishi, madaktari, wanaona bora ateseke kwa maumivu lakini hatimaye atapona kuliko kumpunguzia maumivu kwa kumuanzishia safari ya 'kimoja', 'jumla'.
Pia majeshi yote duniani kote huitumia miongoni mwa vifaa vita vyake kwa majeruhi wao likiwepo jeshi letu.
Tukija kwenye medical marijuana, nchi nyingi tuu inaruhusiwa, tena sio medical tuu, hata relaxation, au recreational. Nchini Usiwisi, kila mji umetenga eneo maalum la kujinafasi kwa starehe hizo ikiwemo uvutaji wa bangi na matumizi ya kila aina ya dawa za kulevya. Kwa jiji la Zurich, ni eneo la wazi lililoko mbele ya jengo la bunge la nchi hiyo 'The Bundes House'. Hii inasaidia hata kufanya biashara ya mihadarati sio deal nchini Uswisi, ila uhuru huo ni kwa viwango vya personal use sio kibiashara.
Hapa nchini pia matumizi ya bangi kwa viwango maalum yanaruhusiwa japo sio kisheria. Ukikutwa na msokoto mmoja tuu wa bangi, hafikishwi mahakamani, kosa ni ama kukutwa unavuta kwenye public, ama kukutwa na msokoto zaidi ya mmoja kama kiashiria cha kufanya biashara hiyo haramu.
Mimi nimesoma Tambaza, baadhi ya wanafunzi tulikuwa nao tukitinga 'summit' kupata', wako waliotoka na Div 1 kali na wako waliotoka na zero. Nakumbuka kuna lecture mmoja wa UDSM toka Jamaica, alikuwa anaipiga hiyo kitu wazi wazi, akaripotiwa polisi na kufikishwa mahakamani, akajitetea kwake ni kawaida toka nchini kwake, na kusisitiza bila kupata, lecture haipandi. Aliachiwa na kuelezwa kwa vile hapa nchini ni bangi ni marufuku, basi ajivutie nyumbani kwake privately na sio public na ndivyo wengi wanaitumia kwa nia njema wanavyofanya. Sisi kwetu Usukumani hiyo ni normal power booster ndio maana alifajiri tuu, ugali wa nguvu unapanda kama kifungua kinywa!.
Ugumu wa ku legalize marijuana ni kwa vile huwezi kutenganisha wale inaowatuma vizuri na wale inawatuma vibaya. Kungekuwa na vigezo vya nani itamtuma vizuri, nadhani ingekuwa legal kwa inaowatuma vizuri na illegal kwa inaowatuma vibaya bila kuonekana ni double standards.
Ni kweli, kule kwetu tunapuliza saa 11:00 alfajiri zikifuatiwa na mlima wa ugali maharage, baada ya hapo kuanzia 12:00 asubuhi hadi saa 6:00 mchana mtu amekata heka kwa jembe la mkono!.
Hivyo kuipuliza kwa kunuizia jambo, pia ni halali na ndio haswa matumizi halali ya hii kitu, ukinuiza kulima, unalima kweli kweli, na ndio maana niliwahi kushauri humu kuwa hii kitu ihalalishwe!.
Moral Question: Morphine (drug) iruhusiwe kupunguza maumivu
Na kwa wengine hii ni mboga tuu!.
Pasco


Zainab Tamim Naomba tuwasiliane unitumie kidogo, halafu nianze biashara hiyo niko mwanza
Zainab Tamim Naomba tuwasiliane unitumie kidogo, halafu nianze biashara hiyo niko mwanza
Mbona wakala wa Morogoro number haipatikani nami nauhitaji uo udongo