Kwa wanaume na wanawake: Udongo (natural) Unaolainisha ngozi sasa unapatikana

Kwa wanaume na wanawake: Udongo (natural) Unaolainisha ngozi sasa unapatikana

Hauhitaji kuwa profesa kufahamu kuwa hii ni biashara ya faizafoxy......

Bi Faiza amekuwa msaada mkubwa kwenye hii biashara, hapana hii si biashara yake bali ana moyo mkunjufu wakujitolea na ameahidi atanisaidia kwa hali na mali kwenye huu udongo.

Hilo ninamshukuru sana yeye na wengi wengineo wanaonipa msaada kwenye hili kila siku.
 
Bi Faiza amekuwa msaada mkubwa kwenye hii biashara, hapana hii si biashara yake bali ana moyo mkunjufu wakujitolea na ameahidi atanisaidia kwa hali na mali kwenye huu udongo.

Hilo ninamshukuru sana yeye na wengi wengineo wanaonipa msaada kwenye hili kila siku.
Kubali au kataa lakini wewe ni faizafoxy, isitoshe kuwa faizafoxy si kosa wala tusi ila ukweli ndio huo.
 
Hauna nidhamu ya biashara wewe, kuna siku nimekwambia nipo mlimani city nakuja hapo kwa remy ukasema poa. Nimefunga safari kufika kwa remy haupatikani kwenye simu, uliizima kabisa hata sikukuelewa ni kwanini ulifanya hivyo na ndipo nikaanza kuhisi yawezekana wewe ukawa ni tapeli ambaye hauna uzoefu
 
Bi Faiza amekuwa msaada mkubwa kwenye hii biashara, hapana hii si biashara yake bali ana moyo mkunjufu wakujitolea na ameahidi atanisaidia kwa hali na mali kwenye huu udongo.

Hilo ninamshukuru sana yeye na wengi wengineo wanaonipa msaada kwenye hili kila siku.

Zainab usimjibu chochote huyo, mwache abwabwaje na kuhororoja apendavyo.
 
Hauna nidhamu ya biashara wewe, kuna siku nimekwambia nipo mlimani city nakuja hapo kwa remy ukasema poa. Nimefunga safari kufika kwa remy haupatikani kwenye simu, uliizima kabisa hata sikukuelewa ni kwanini ulifanya hivyo na ndipo nikaanza kuhisi yawezekana wewe ukawa ni tapeli ambaye hauna uzoefu

Kwa hiyo kuanzia siku hiyo ndiyo akawa FaizaFoxy?

Unanchekesha!
 
Kubali au kataa lakini wewe ni faizafoxy, isitoshe kuwa faizafoxy si kosa wala tusi ila ukweli ndio huo.

Unahamu ya kuongea na FaizaFoxy nipo hapa, usimzodokee bibi wa watu bila sababu.
 
Hauna nidhamu ya biashara wewe, kuna siku nimekwambia nipo mlimani city nakuja hapo kwa remy ukasema poa. Nimefunga safari kufika kwa remy haupatikani kwenye simu, uliizima kabisa hata sikukuelewa ni kwanini ulifanya hivyo na ndipo nikaanza kuhisi yawezekana wewe ukawa ni tapeli ambaye hauna uzoefu

Kusema kweli ndiyo ninajifunza biashara sijawahi kufanya biashara, naomba unistahamilie.

Ninakumbuka siku hiyo nilikuelekeza ukasema umefika karibu kabisa nikakupigia kukuelekeza zaidi na nikakupa mtu mwingine aliyekuepo karibu nami akuelekeze zaidi ukasema basi siku nyingine kama ulipiga tena simu ikawa haipatikani basi labda ni mtandao au nilikuwa ninasali, kwani nikiwa kwenye sala sipokei simu lakini huwa ninajitahidi kurudisha simu zote ninazozikuta.

Mbona ni wengi tu ninaowaelekeza wanafika.

Samahani sana kwa usumbufu.

Hayo yako na kuzani mimi ni Faiza, kwa kweli sina majibu. Lakini yote ni heri kwangu.

Asante
Zainab
 
Utafiti wangu utategemea zaidi taarifa za watumiaji wako.
Jumamosi nitakuja hapo kwa remmy ili nipate fursa ya kuchukua bidhaa na kumuona huyo bibie faiza.

Karibu sana.

Kusema kweli taarifa na matokeo mazuri ya watumiaji na baada ya kuutumia mimi mwenyewe na watu wa karibu yangu ndio zikanipa ujasiri wa kuutangaza huu udongo.
 
to-a-women-who-is-strong-happy-womens-day.jpg
 
Iringa
Maganga - 0756900200, hii namba ya wakala wa iringa mbona haipokelewi na hata nikituma sms haijibiwi.
 
Iringa
Maganga - 0756900200, hii namba ya wakala wa iringa mbona haipokelewi na hata nikituma sms haijibiwi.

Huyo wakala tutamtoa kwenye list yetu sasa hivi kwani si wewe tu ulieleta malalamiko, naomba kwa sasa wasiliana na Haule 0756994850 mpaka tutakapopata wakala madhubuti hapo Iringa.

Pole kwa usumbufu.
 
Kwa wateja wetu wapenzi, habari mpya tulizozipata siku mbili tatu nyuma za Aunt Zainab's Natural Super Clay:

Moto
Kutibu unapoungua na toto, uwe moto wa moja kwa moja au maji ya moto au mafuta ya moto.

1) Mteja wetu mmoja wetu aliunguliwa na mfanya kazi wake kwa maji ya moto mgongoni, ametueleza kuwa akakumbuka ana udongo wa Aunt Zainab alikuwa ameshaukoroga kwa matumizi yake, akawahi kumpaka mfanya kazi wake pale alipongua, na kilichofatia anasema ni "ajabu" na alipoungua hata lengelenge halikutoka na lilishaanza.

2) Mteja mwingine anasema "aliletewa mtoto wa ndugu yake kaunguwa jana, na na mtoto kakoboka ngozi pajani na makalioni pamekuwa pekundu kabisa, nyama inaonekana" anendelea kusema, akakumbuka ana udngo wa Aunt Zainab, akmpaka yule mtoto wa nduguye ansema baada ya dakika kama 30 mtoto akapatwa na usingizi, alipoamka kidonga kimefanya kigaga kama ambacho cha siku nyingi. Anasema "nipo tayari kutoa ushuda hata kanisani, huu udongo nimeuamini ni dawa ya moto ambayo haijawahi kutokea".

3) Mimi binfasi baada ya kusikia habari hizo juzi nilkuwa napika maandazi, mafuta ya moto yakanimwagikia mkononi, nikawahi kujipaka udongo, ajabu ni kuwa sijatoka lengelenge wala kidonda na maumivu yalikata hapo hapo hapo baada ya kujipaka huu udongo.

Watejawote hao wawili wamesema wapo tayari kutoaa ushuhuda na kumuelea kisa kizima wakati wowote. Kwa atae hitaji namba za kuwasiliana nao anitumie pm.

Jamani, mimi binafsi nilipoanza kuuza huu udongo sikujua kabisa kama pia utakuwa ni dawa ya moto lakini sasa ninadiriki kuuuza pia kama dawa ya moto.

Pia kuna wale walioungua na madawa ya "kujikoroga" wengi wanasema udongo unawasaidia sana na wanarudi katika hali yao ya zamani (kabla ya kuungua kwa madawa). Kutibu watu walioungua kwa madawa ya kujibuchua, kunachukua muda kidogo, inategemea na athari iliyopo, lakini matokeo ni mazuri sana.

Asanteni,

Aunt Zainab.
 
Dar Es Sallam tumepata mjasiriamali na muuzaji mpya wa Aunt Zainab's Natural Super Clay ambae ameahidi home delivery kwa watakao hitaji jijini Dar.

Mnaweza kuwasiliana nae:

Yakoub = 0655798139

Home delivery rates zitakuwa tofauti na ukifata mwenyewe kwani kuna gharama za usafiri na muda.

Asanteni
Zainab
 
Back
Top Bottom