Kwa wanaume na wanawake: Udongo (natural) Unaolainisha ngozi sasa unapatikana

Kwa wanaume na wanawake: Udongo (natural) Unaolainisha ngozi sasa unapatikana

Ana gubu sana bibi huyo ati alitaka kukuamsha wakati mwenyewe umekunbatiwa na mzee abdul kwa raha zako,huu udongo result zake nzuri hadi kachanganyikiwa lol

Ha ha ha ha ha.

Udongo umemchanganya kweli si uongo.
FaizaFoxy njoo unaitwa na farkhina.
 
Last edited by a moderator:
Mmeniitia nini? umbea wenu? nipisheni huko. Kama hamna cha maana kalaleni.

Zainab, Saturday nnakuja Sinza, usinikimbie tena kama hautakuwepo nambie kabisa.

Tena komeni kuniiita ita bila mpango.

Tumekumiss huku bibi wewe ndio tumekuita. Hupendeki?

Njoo tu, uje na pesa cash udongo sikopeshi.
 
Tumekumiss huku bibi wewe ndio tumekuita. Hupendeki?

Njoo tu, uje na pesa cash udongo sikopeshi.

Mmeni-miss wakati umeniachisha mambo yote ya kubishana na mapunguani wa JF kuja kukuandikia feedback halafu ukapotea bila kuaga! leo unajidai umeni miss? unanchekesha!

Ewee, mbona unapenda sana cash kama mchagga? una asili ya Kichagga nini? ni lini nilikukopa hata leo iwe mara ya pili.

Yule binti wa Tanga nlokwambia kakupigia? nilimpa namba yako, mie nimekupigia weee hupatikani, hebu hiyo simu ivae shingoni.

cc lara 1

Huyu jamaa yenu nini?
 
Last edited by a moderator:
Bi Zainab, jana nimeupata huo udongo wako na nimeanza kuutumia, yah ni ule ule kama niliowahi kununuwa Canada, ni mzuri kweli. Dah Ahsante sana.

Na lile jukwaa la MMU kweli ni rusha roho, lakini usijali hawa wana MMU wengi wanajipenda. Ngoja nikakupigie debe waje kukusoma huku, kama kunshambulia wanshambulie mimi, maana wale kule utafikiri wamewekewa mizizi hawatembei kwingine.

Kumbe ndiyo maana unasambaza vilink vyako huko MMU?
Mimi nitafanya utafiti wa kiafya kuhusu madhara ya huo udongo.....
Ukikuletea side effects usisite kunipa hayo madhara niingize kwenye data.
 
Kumbe ndiyo maana unasambaza vilink vyako huko MMU?
Mimi nitafanya utafiti wa kiafya kuhusu madhara ya huo udongo.....
Ukikuletea side effects usisite kunipa hayo madhara niingize kwenye data.

Wewe fanya utafiti uupendao, ukitaka kujuwa mtu anaeutumia kwa wingi ni mimi hapa, wala usiwe na wasi wasi nipo.

Tena kama unataka kuununuwa wa kwenda kuufanyia utafiti wewe sema tu, Bi Zainab Tamim yupo kwa ajili yetu na anuani zake zote zipo wazi post #1 .

Unanchekesha.
 
Last edited by a moderator:
Wewe fanya utafiti uupendao, ukitaka kujuwa mtu anaeutumia kwa wingi ni mimi hapa, wala usiwe na wasi wasi nipo.

Tena kama unataka kuununuwa wa kwenda kuufanyia utafiti wewe sema tu, Bi Zainab Tamim yupo kwa ajili yetu na anuani zake zote zipo wazi post #1 .

Unanchekesha.
Maneno tu yanakutekenya?
Ok ningependa kujua kweli hivyo vyote ubora wake na kama unaweza kuwa na madhara huko mbeleni...... Naomba picha yako au Nipe appointment nije kuiona ngozi yako.
Kwa Zainab nitaenda kuchukua dozen ya hiyo product kwaajili ya majaribio kwenye ngozi.
 
Maneno tu yanakutekenya?
Ok ningependa kujua kweli hivyo vyote ubora wake na kama unaweza kuwa na madhara huko mbeleni...... Naomba picha yako au Nipe appointment nije kuiona ngozi yako.
Kwa Zainab nitaenda kuchukua dozen ya hiyo product kwaajili ya majaribio kwenye ngozi.

Kutekenyeka haki yangu. Si mgonjwa mimi.

Kwanza hebu kawapime hawa wanochezea tope kutwa kucha:

 
Maneno tu yanakutekenya?
Ok ningependa kujua kweli hivyo vyote ubora wake na kama unaweza kuwa na madhara huko mbeleni...... Naomba picha yako au Nipe appointment nije kuiona ngozi yako.
Kwa Zainab nitaenda kuchukua dozen ya hiyo product kwaajili ya majaribio kwenye ngozi.

Ha ha ha! Fai, jamaa anataka kuiona ngozi yako live.
 
Kumbe ndiyo maana unasambaza vilink vyako huko MMU?
Mimi nitafanya utafiti wa kiafya kuhusu madhara ya huo udongo.....
Ukikuletea side effects usisite kunipa hayo madhara niingize kwenye data.

Asakuta Same,

Itakuwa ni vizuri sana ukitusaidia katika huo utafiti na pia kujiridhisha binafsi yako na watumiaji wengine pia. Sisi tumeupeleka kwa Mkemia Mkuu na tunangoja majibu ya kina.

Na hivi tunangoja branding, packing, logo na mambo mengine madogo madogo ya kisheria na kikanuni ili tupeleke TFDA.

Mpaka sasa hatujaona madhara yake na huko tunakoutowa wenyeji wamekuwa wakiutumia kwa miaka mingi sana na unawasaidia sana kufanya ngozi zao ziwe za kuvutia.

Wengi wa wateja wetu waliokwisha utumia wanatuambia umewasaidia sana.

Tafadhali usisite kuja kuuchukua kutusaidia kwa utafiti, kuna watu wa University of Dar Es Salaam pia last week wameuchukua kwa utafiti wao binafsi na wameniambia watanijulisha matokeo baada ya wiki nne.

Ahsante
Zainab
 
Mmeni-miss wakati umeniachisha mambo yote ya kubishana na mapunguani wa JF kuja kukuandikia feedback halafu ukapotea bila kuaga! leo unajidai umeni miss? unanchekesha!

Ewee, mbona unapenda sana cash kama mchagga? una asili ya Kichagga nini? ni lini nilikukopa hata leo iwe mara ya pili.

Yule binti wa Tanga nlokwambia kakupigia? nilimpa namba yako, mie nimekupigia weee hupatikani, hebu hiyo simu ivae shingoni.

cc lara 1

Huyu jamaa yenu nini?


Hujui Babu Abdul kuwa anaitwa Abdul Mushi?
 
Asakuta Same,

Itakuwa ni vizuri sana ukitusaidia katika huo utafiti na pia kujiridhisha binafsi yako na watumiaji wengine pia. Sisi tumeupeleka kwa Mkemia Mkuu na tunangoja majibu ya kina.

Na hivi tunangoja branding, packing, logo na mambo mengine madogo madogo ya kisheria na kikanuni ili tupeleke TFDA.

Mpaka sasa hatujaona madhara yake na huko tunakoutowa wenyeji wamekuwa wakiutumia kwa miaka mingi sana na unawasaidia sana kufanya ngozi zao ziwe za kuvutia.

Wengi wa wateja wetu waliokwisha utumia wanatuambia umewasaidia sana.

Tafadhali usisite kuja kuuchukua kutusaidia kwa utafiti, kuna watu wa University of Dar Es Salaam pia last week wameuchukua kwa utafiti wao binafsi na wameniambia watanijulisha matokeo baada ya wiki nne.

Ahsante
Zainab

Utafiti wangu utategemea zaidi taarifa za watumiaji wako.
Jumamosi nitakuja hapo kwa remmy ili nipate fursa ya kuchukua bidhaa na kumuona huyo bibie faiza.
 
Back
Top Bottom