Kwa wanaume na wanawake: Udongo (natural) Unaolainisha ngozi sasa unapatikana


Tutajitahid, ha ha ha hiyo ya kijiko umenichekesha, hicho ni kwa ajili ya picha tu kuonesha kipimo unachoweza kukitumia kupaka usoni kwa mara moja. Lakini wazo lako zuri tutalifanyia kazi.

Asante sana.
 
Kuna wengi wameuliza mambo mengi kuhusu Zainab's Natural Super Clay, tutayajibu hapa maswali yanayojirudia mara kwa mara:

1) Bei ya rejareja.

Bei ya rejareja ni kuanzia mkebe mmoja (1 pack) mpaka kumi na moja (11 packs) kwa Shillingi 2,000 kwa kila mkebe.

2) Bei ya jumla.

Bei ya jumla ni kuanzia mikebe 12 (1 dozen) na kuendelea kwa bei ya 1,500 kwa kila dozen.

3) Usafirshaji nje ya Dar.

Tunaweza kupeleka mzigo mpaka stendi ya mabasi ya kwenda nje ya Dar, kwa gharama za mteja, na tutachaji gharama zile zile zitakazokuwepo, mfano, kupeleka mzigo Ubungo kwa wateja wa mikoani au Bandarini (kwa wateja Wa Zanzibar) gharama yetu ni Shillingi 2,000. Nauli ya kutoka Dar kufika kwa mteja atailipia mwenyewe mteja mzigo utakapofika kama inakubalika.

*Kwa wale wataotaka tuwasafirishie kwa ndege, gharama ni kama zitakavyokuwa.

4) Malipo

Malipo yote ni kupitia Mpesa kwa namba 0769302206 au cash.

Kama kuna ufafanuzi utahitajika au maswali mengine yoyote, tafadhali msisite kuwasiliana nasi kwa namba 0769302206 au 0756803528 au whatsapp 0689771331 au email zainabtamimtz@gmail.com au kupitia hapa hapa JF.

Asanteni.
Zainab
 
Kwa wale wateja wa Dar. Sasa tunaweza kuwafikishia popote mlipo jijini kwa boda boda.

Tumeongea na wenye boda boda wawili na watatupa punguzo la bei.

Asanteni.
Zainab
 
Napenda kuwajulisha kuwa baada ya kuijaribu mimi mwenyewe na wadau wengine sasa tunahakikisha kuwa Natural Super Clay, pia unaweza kupigia mswaki kama (dental powder), unatakatisha meno, inakata harufu mbaya mdomoni, inasaidia wale wenye kimenomeno (kutokwa damu mdomoni).

Hilo tuliliona kwa wenyeji unakopatikana udongo huu, wakichukua madonge donge (kwani huko unakopatikana haupo kama tulivyoutengeneza sisi (poda)) na kusugua meno kutumia vidole vyao, sisi baada ya kufanya poda tumeujaribu wenyewe na kila mmoja pamoja na wadau wameona mafanikio yake. No more dawa za meno zenye chemicals. Natural.

Unaosha mswaki (tooth brush) halafu unachovywa kwenye Zainab's Natural Super Clay, halafu unapiga tu kama kawaida.

Tutaleta picha siku za usoni.
 

Nimemtuma mtu huo udongo ulipo elekeza k/koo lkn kaambiwa hakuna huo udongo na pia ameonyeshwa udongo mwingine.
 
Nimemtuma mtu huo udongo ulipo elekeza k/koo lkn kaambiwa hakuna huo udongo na pia ameonyeshwa udongo mwingine.

Samahani naomba piga simu 0769302206 labda kaenda pengine au kamkuta mtu asiyejuwa kuhusu huu udongo si unajuwa ma saloon yetu.
 
Sawa, ila amefika kwa bi Saira saloon lkn ndivyo ilivyokua

Nimeongea nae sasa hivi kamaliza stock anao wa nje tu, tunampelekea mwingine jioni. Mimi nipo Kariakoo sasa hivi na kijana uliyemtuma nimeongea nae, ntampatia.

Mwanzo mgumu tustahamiliane.

Asante.
 
weka no ya tigo tuongee biashara
 
Kwanini ukipigiwa hupokei? Inaonekana una kiburi sana.na ukikuta mis call hujibu

Samahani sana, unajuwa leo Jumapili sikutegemea kama ntapata calls za kazi.

Tusamehe sana itabidi sasa tuwe na simu karibu saa zote.

Ukikosa majibu 0769302206 (Zainab) naomba piga 0756803528 (Abdul).
Kwanini ukipigiwa hupokei? Inaonekana una kiburi sana.na ukikuta mis call hujibu

Samahani sana, unajuwa leo Jumapili sikutegemea kama ntapata calls za kazi.

Tusamehe sana itabidi sasa tuwe na simu karibu saa zote.

Ukikosa majibu 0769302206 (Zainab) naomba piga 0756803528 (Abdul) autumia Whatsapp 0689771331 au tuma email: zainabtamimtz@gmail.com au tuma pm hapa hapa JF.

Pole kwa usumbufu, mwanzo mgumu.

Asante,
Zainab


Pole kwa usumbufu, mwanzo mgumu.

Asante,
Zainab
 
Jana kuna mteja wangu kanipigia simu na kunipa habari njema, anasema katika kuupaka huu udogo miguuni (ana sugu za miguu) ikatokea tu na kucha zake zikatapakaa udongo, licha ya kuonesha matokeo mazuri kwenye sugu zake za miguu. Akajikuta kuwa na kucha zake zimetakasika na kuonesha uhai mpya.

Anasema akaanza kuupaka kwenye kucha kwa makusudi kama anapaka hina, na matokeo anasema atakuja nijionee mwenyewe, kwa maneno yake "kucha zangu zimepata uhai mpya".
 
Bi Zainab, Asalaam Aleykum.

Nimeenda kwa Saira jana nikakuta bidhaa hakuna ameishiwa, vipi mama mbona unatuangusha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…