Kwa wanaume na wanawake: Udongo (natural) Unaolainisha ngozi sasa unapatikana

Kwa wanaume na wanawake: Udongo (natural) Unaolainisha ngozi sasa unapatikana

Bidhaa inapatikana kwa bei ipi na ipi?

Kuna wengi wameuliza mambo mengi kuhusu Zainab's Natural Super Clay, tutayajibu hapa maswali yanayojirudia mara kwa mara:

1) Bei ya rejareja.

Bei ya rejareja ni kuanzia mkebe mmoja (1 pack) mpaka kumi na moja (11 packs) kwa Shillingi 2,000 kwa kila mkebe.

Naomba pitia na post namba 43 kuna maelezo zaidi ya bei na usafirishaji.

Asante
Zainab

 
bibi nawe unapenda maisha ya ujanani au kuna kaseregeti boy unakamiliki

Mavitu natural haya, tunayahitaji zaidi sisi wa umri mkubwa, mikunjo yo ngozi yote inaondoka, nikikaa na mtu wa miaka 25 ngozi yangu unaiona wawaaaa ng'warung'waru kuliko yake.

Age is just a number.
 
Wateja wetu wapenzi, sasa tuna packing za saizi mbili tofauti, moja ni 90-100 grams na moja ni 190-200 grams, zote muone wake ni mmoja lakini zimetofautiana ukubwa.

1) 90-100 grams = TZS 2,000
2) 140-150 grams = TZS 3,000

Asante
Zainab
 
Leo nimepokea ujumbe ufatao kutoka kwa mmoja wa wateja wetu wa Zainab's Natural Super Clay kwa sababu za maadili sitoweza mtaja ni nani lakini ujumbe wake alionitumia ni muhimu sana na umenipa faraja kubwa sana:

"Habari ya asubuhi

Nilitaka kukujulisha kwamba nimefurahishwa sana na ule udongo

Uso wangu una matatizo mengi sana. Lakini Nimeona tofauti kubwa na nimetumia mara moja tu.

Kule kufubaa kumepungua na potes imekuwa ndogo pia"

Huo ujumbe nimeuandika kama ulivyo sijaongeza langu.

Namuombea mafanikio mema.

Asante
Zainab
 
Leo nimepokea ujumbe ufatao kutoka kwa mmoja wa wateja wetu wa Zainab's Natural Super Clay kwa sababu za maadili sitoweza mtaja ni nani lakini ujumbe wake alionitumia ni muhimu sana na umenipa faraja kubwa sana:

"Habari ya asubuhi

Nilitaka kukujulisha kwamba nimefurahishwa sana na ule udongo

Uso wangu una matatizo mengi sana. Lakini Nimeona tofauti kubwa na nimetumia mara moja tu.

Kule kufubaa kumepungua na potes imekuwa ndogo pia"

Huo ujumbe nimeuandika kama ulivyo sijaongeza langu.

Namuombea mafanikio mema.

Asante
Zainab

Ma sha Allah Bi Zainab, nilikwambia umeweza, huyo mteja wako anahakikisha hilo. Mimi nnakwambia, nimeutumia huu udongo wako na nilikuwa nnatumia udongo natural nnaoununuwa nje kwa bei ya juu sana ukilinganisha na huu wako lakini toka last week nimeanza kuutumia huu wako nnadiriki kusema huu wako ni 100% mzuri zaidi na bei yako mama ni kama bure kama alivyosema Heaven Sent.

Nakushauri anza kufikiria kuusafirisha nje ya Tanzania, unajuwa USA kuna soko kubwa sana la hivi vitu natural na huu kwa kuwa ni mali ya Tanzania 100% kuna mpango wa AGOA unaweza ukapata soko kubwa sana. Jipange dada jipange.

Bidhaa unayo tena safi sana sasa changamkia fursa.

Hongera sana.
 
Last edited by a moderator:
Ma sha Allah Bi Zainab, nilikwambia umeweza, huyo mteja wako anahakikisha hilo. Mimi nnakwambia, nimeutumia huu udongo wako na nilikuwa nnatumia udongo natural nnaoununuwa nje kwa bei ya juu sana ukilinganisha na huu wako lakini toka last week nimeanza kuutumia huu wako nnadiriki kusema huu wako ni 100% mzuri zaidi na bei yako mama ni kama bure kama alivyosema Heaven Sent.

Nakushauri anza kufikiria kuusafirisha nje ya Tanzania, unajuwa USA kuna soko kubwa sana la hivi vitu natural na huu kwa kuwa ni mali ya Tanzania 100% kuna mpango wa AGOA unaweza ukapata soko kubwa sana. Jipange dada jipange.

Bidhaa unayo tena safi sana sasa changamkia fursa.

Hongera sana.
jamani da faiza ubarikiwe kwa kuleta feedback nzuri. Soon na Mimi ntaanza kuutumia na nitaleta mrejesho pia. Da zai kazi nzuri, wateja wasingekupa hizo Sifa zote Kama ungekuwa unatuuzia bidhaa isiyo na ubora wala kukidhi mahitaji yetu. Kizuri chajiuza chenyewe
 
Ma sha Allah Bi Zainab, nilikwambia umeweza, huyo mteja wako anahakikisha hilo. Mimi nnakwambia, nimeutumia huu udongo wako na nilikuwa nnatumia udongo natural nnaoununuwa nje kwa bei ya juu sana ukilinganisha na huu wako lakini toka last week nimeanza kuutumia huu wako nnadiriki kusema huu wako ni 100% mzuri zaidi na bei yako mama ni kama bure kama alivyosema Heaven Sent.

Nakushauri anza kufikiria kuusafirisha nje ya Tanzania, unajuwa USA kuna soko kubwa sana la hivi vitu natural na huu kwa kuwa ni mali ya Tanzania 100% kuna mpango wa AGOA unaweza ukapata soko kubwa sana. Jipange dada jipange.

Bidhaa unayo tena safi sana sasa changamkia fursa.

Hongera sana.

Dada Faiza hayo mambo ya export itabidi mnisaidie, mimi binafsi kwa sasa siyajui, Mungu akijaalia nitatafuta mtalamu nawaombeni na ushauri wenu.

Nashukuru sana kuelewa kuwa nawe umeupenda huu udongo.

Asante sana tena sana, nategemea hutanitupa kwenye hiyo ya kusafirsha nje, sijui nianzie wapi au vipi.

Asante
Zainab
 
Huo udongo hauchubui ngozi kwa kubadilisha rangi ya uso...

Huu udongo hauchubui wala haubadilishi rangi yako ya asili. Unaimarisha ngozi yako. Mimi sitaki kusema mengi nawaachia wanaoutumia waseme wenyewe.

Asante
Zainab
 
Nipo Kg, nawezaje kuwa agent?

Nakisia kuwa hiyo Kg ni Kigoma. Unaweza kuwa msambazaji kwa sasa nimeshauriwa niwe na wasambazaji, mradi utuelekeze tu namna ya kukusafirishia kutokea Dar sijawahi kutuma kitu Kigoma.

Nipigie kwa maelezo zaidi 0769302206.

Asante
Zainab
 
Dada Faiza hayo mambo ya export itabidi mnisaidie, mimi binafsi kwa sasa siyajui, Mungu akijaalia ntatafuta mtalam Nawaombeni na ushauri wenu.

Nashukuru sana kuelewa kuwa nawe umeupenda huu udongo.

Asante sana tena sana, nategemea hutanitupa kwenye hiyo ya kusafirsha nje, sijui nianzie wapi au vipi.

Asante
Zainab

Usijali ntaku pm.
 
Wasambazaji wa Zainab's Natural Super Clay:

Dar es Salaam

Ilala = Raymond Mushi - 0713422069

Kariakoo = Bi Saira (Twiga / Nyamwezi street) - 0784266001

Temeke = Latifa au Mama Latifa - 0652717332 / 076960627

Zanzibar (Unguja)

Dr. S. Shafi 0754650480

Arusha

Mama Aida -0754445733

Dodoma

Rukia - 0653249898

Iringa

Maganga - 0756900200

Mbeya

Maganga - 0756900200

Tanga

Farouq - 0719190000

Bei za wasambazaji zitatofautiana na bei zetu za promotion kwa sasa, kwani kuna gharama wanazoingia za usafirishaji na faida yao.
 
mi nipo mkoani naupata vip?

Tazama post namba 97 hapo juu kidogo nimeweka namba za wasambazaji wetu mikoani kwa sasa, utaupata kwao. Kama haupo kwenye mikoa hiyo tutakusafirishia kwa gharama zako za usafirishaji. Tunatumai kuongeza wasambazaji kwa mikoa mingine hivi karibuni.

Asante
Zainab
 
Back
Top Bottom