Kwa wanaume na wanawake: Udongo (natural) Unaolainisha ngozi sasa unapatikana

Kwa wanaume na wanawake: Udongo (natural) Unaolainisha ngozi sasa unapatikana

wa mikoani tukihitaji tunaupata ndanii ya muda gani na kama tunanunua kwa matumizi binafs tuanzae kununua kuanzia pakti ngapi?

Naomba tazama post namba 97 hapo juu kidogo nimeweka namba za wasambazaji wetu mikoani kwa sasa, utaupata kwao. Kama haupo kwenye mikoa hiyo tutakusafirishia kwa gharama zako za usafirishaji. Tunatumai kuongeza wasambazaji kwa mikoa mingine hivi karibuni.

Asante
Zainab
 
Mbona kuna mtu nimemtuma kwa ajili ya gf mmemuuzia kwa tshs.5000 (Twiga/Nyamwezi).
 
Mbona kuna mtu nimemtuma kwa ajili ya gf mmemuuzia kwa tshs.5000 (Twiga/Nyamwezi).

Kwanza asante sana kwa kutujulisha, tutalifanyia kazi na ninakuhakikishia tutatatua, naomba nipigie 0769302206.

Twiga / Nyamwezi ni msambazaji anaenunuwa kwetu ana gharama za usafirishaji na faida yake lakini tutaongea nae washushe bei, (recommended retail price kwa wasambazaji tumewaomba isizidi 3,500 PP, kwa sasa unaweza kununuwa kutoka kwetu direct kwa bei ya promotion ya TZS 2,000 kwa packet.

Samahani sana kwa usumbufu. Wasambazaji ambao watauza zaidi ya RRP tuliokubaliana nao ya 3,500 tutawasimamisha usambazaji.

Naomba pitia posti namba 97 mstari wa chini kabisa.

Asante
Zainab
 
Jamani jana nimepigiwa simu na mume wa rafiki yangu kuhusu huu udongo, nashindwa hata kusema, kwa anaetaka kuelewa kwa undani zaidi ampigie simu (nimemuomba kuweka namba yake hapa kakubali) anaitwa Loya, huyo ni maarufu sana Dar.

Ameutumia udongo kwa emergency ya mtu kuungua na maji ya moto na matokeo anasema, tafadhali mpigie ujuwe alichokisema na alichokifanya na nini kilitokea, mimi naogopa isionekane najipigia debe bidhaa yangu: Loya 0713484578
 
Kwanza asante sana kwa kutujulisha, tutalifanyia kazi na ninakuhakikishia tutatatua, naomba nipigie 0769302206.

Twiga / Nyamwezi ni msambazaji anaenunuwa kwetu ana gharama za usafirishaji na faida yake lakini tutaongea nae washushe bei, (recommended retail price kwa wasambazaji tumewaomba isizidi 3,500 PP, kwa sasa unaweza kununuwa kutoka kwetu direct kwa bei ya promotion ya TZS 2,000 kwa packet.

Samahani sana kwa usumbufu. Wasambazaji ambao watauza zaidi ya RRP tuliokubaliana nao ya 3,500 tutawasimamisha usambazaji.

Naomba pitia posti namba 97 mstari wa chini kabisa.

Asante
Zainab

Dada Zainab asemayo platozoom ni kweli, hata mimi yamenikumba, inabidi ufanyie kazi kwa haraka sana watakuharibia soko lako.
 
Kufatia post niliyoituma mwanzo, hii chini, mteja kanitumia tena message hii jana:

"That thing is good, leo watu wa ofisini wameniuliza kabisa nini kimetokea, kweli I hope itakuwa lasting effect, nilikuwa najuwa kuna body clay lakini sijui nipite wapi, zile zinaitwa clay mask hazikufanya hata kidogo ingawa nilitumia muda mrefu hata huyo dada wa KLM bus ameshangaa..."

Leo nimepokea ujumbe ufatao kutoka kwa mmoja wa wateja wetu wa Zainab's Natural Super Clay kwa sababu za maadili sitoweza mtaja ni nani lakini ujumbe wake alionitumia ni muhimu sana na umenipa faraja kubwa sana:

"Habari ya asubuhi

Nilitaka kukujulisha kwamba nimefurahishwa sana na ule udongo

Uso wangu una matatizo mengi sana. Lakini Nimeona tofauti kubwa na nimetumia mara moja tu.

Kule kufubaa kumepungua na potes imekuwa ndogo pia"

Huo ujumbe nimeuandika kama ulivyo sijaongeza langu.

Namuombea mafanikio mema.

Asante
Zainab
 
Hongera Zainabu.

Ungefungua pia account huko fb na Instagram kwani masista duu na masharo wengi wapo kule.

Ukifungua hiyo akaunti,kila anachopost mtu maarufu hapa bongo nawe unaenda comment kwa chini yake,ndani ya wiki unaweza kuwa na followers zaidi ya buku,then hapo biashara inateremka tu.


Social media INA nguvu sana katika biashara kwa wakati huu.
 
Wasambazaji wa Zainab's Natural Super Clay:

Dar es Salaam

Ilala = Raymond Mushi - 0713422069

Kariakoo = Bi Saira (Twiga / Nyamwezi street) - 0784266001

Temeke = Latifa au Mama Latifa - 0652717332 / 076960627

Zanzibar (Unguja)

Dr. S. Shafi 0754650480

Arusha

Mama Aida -0754445733

Dodoma

Rukia - 0653249898

Iringa

Maganga - 0756900200

Mbeya

Maganga - 0756900200

Tanga

Farouq - 0719190000

Bei za wasambazaji zitatofautiana na bei zetu za promotion kwa sasa, kwani kuna gharama wanazoingia za usafirishaji na faida yao.
 
Hongera Zainabu.

Ungefungua pia account huko fb na Instagram kwani masista duu na masharo wengi wapo kule.

Ukifungua hiyo akaunti,kila anachopost mtu maarufu hapa bongo nawe unaenda comment kwa chini yake,ndani ya wiki unaweza kuwa na followers zaidi ya buku,then hapo biashara inateremka tu.


Social media INA nguvu sana katika biashara kwa wakati huu.

Ndugu yangu asante sana kwa ushauri wako, sijafungua huko lakini ninakushukuru sana ni ushauri mzuri sana na nitaufanyia kazi, na mimi nitakitafuta ki sista duu kinifanyie hayo, kama yupo yoyote ataekubali kufanya kwa commission nipo tayari kumpa hiyo kazi.

Asante sana.
Zainab
 
Ndugu yangu asante sana kwa ushauri wako, sijafungua huko lakini ninakushukuru sana ni ushauri mzuri sana na nitaufanyia kazi, na mimi nitakitafuta ki sista duu kinifanyie hayo, kama yupo yoyote ataekubali kufanya kwa commission nipo tayari kumpa hiyo kazi.

Asante sana.
Zainab

Wapo wengi tu huko Instagram hawana kazi zaidi ya kutukana ,utapata wengi tu!!

Hakikisha unawafollow wale mastar wa bongo movie,wasanii na watangazaji.


Wakipost kitu,Wewe unacomment kwa kuweka tangazo lako then wakiliona wanakuffolow,inabidi upate mtu atakayekuwa anadeal sana na social media
 
Ndugu yangu asante sana kwa ushauri wako, sijafungua huko lakini ninakushukuru sana ni ushauri mzuri sana na nitaufanyia kazi, na mimi nitakitafuta ki sista duu kinifanyie hayo, kama yupo yoyote ataekubali kufanya kwa commission nipo tayari kumpa hiyo kazi.

Asante sana.
Zainab

Hay ma sister do na masharabaro, changamkieni kazi hiyo.
 
Last edited by a moderator:
Dada Faiza asemayo platozoom ni kweli, hata mimi yamenikumba, inabidi ufanyie kazi kwa haraka sana watakuharibia soko lako.[/QUOTE

Inner instic zangu zilikuwa zinaniambia zainabu ni FF kwa post hii case closed

Dada Faiza ni mteja wangu wa kwanza humu JF na ninamsifu sana kwa ushauri na mengi anaonipa kupitia pm na ameniahidi Jumamosi atakuja kwangu Sinza anataka "kuupeleka mbele zaidi huu udongo" Ninakuomba nawewe uje kwangu Sinza kwa Remi Jumamosi saa nane ukutane na mimi na Dada Faiza. Sijawahi kumuona kwa sura ninafuraha sana na ninamsubiri kwa hamu.

Nahisi kakosea tu hata mimi ndio kwanza nimeona.

Asante
Zainab
 
itabidi nimtume mtu hapo sinza kunichukulia huo udongo maana naona una matokeo amazuri kwa ngozi zetu

je na kitu gani kinaweza kuondoa gamba gumu kwenye unyayo wa miguu na kukufanya uwe nyororo dada zainab?
 
Hay ma sister do na masharabaro, changamkieni kazi hiyo.

it seems like you are zainab but sio kesi BTW product ni good kwa kweli,kwa wale watoto/watu wazima wanao tokwa na vipele vya joto hii kitu inaondoa kabisa yale marasharasha.
 
it seems like you are zainab but sio kesi BTW product ni good kwa kweli,kwa wale watoto/watu wazima wanao tokwa na vipele vya joto hii kitu inaondoa kabisa yale marasharasha.

Ha ha ha ha.

Unaonesha umetumia Zainab's Natural Super Clay. Ninashukuru kwa kuufagilia.

Asante
Zainab
 
Back
Top Bottom