Kwa wanaume wanaotarajia kupata watoto

Mim ni careless saana hata mke analijua Hilo kwahiyo Yuko tu anajifariji na mwanae tumbon.

Utasikia mwanangu si unamsikia baba Ako yaani ukija ujiandae kabisa wala hajali chchte.

Ila kuanzia Leo nitajifunza kitu, walau kwakipindi hiki kilichobaki
 
Tulizaa ile kutoka tu hosp baba zenu wanapotea wiki nzima.
Kimsingi walikosea ila wake zetu hawakuwa kama hawa wa sasa. Binafsi ni Baba na nina watoto 4 wa mwisho yupo Darasa la 6 ila katika mimba zote mke wangu hajawahi kuwa na drama za namna hiyo kama wanazofanyiwa na alizoeleza huyo jamaa mleta uzi. Pole yao.
 
Mnafanyiwa na kuletewa drama tu. Mbona waliotelekekezwa na kubeba mimba huwa hawafanyi hivyo? Mbona wanafunzi na madhouse girl waliobebeshwa mimba haziwapelekeshi hivyo?

Mimi ni Mme na Baba wa watoto 4, katika mimba zote mke wangu hajawahi kuwa na hizo drama. Mkubwa yupo form 5 anaingia Six na binti yetu wa mwisho yupo Class Six ila sijawahi experience hayo mambo. Poleni kwa kupelekeshwa vijana wa leo.
 
Navyojuwa mimba siyo ugonjwa,hivyo ni suala la muda TU,atajifunguwa na atakuwa salama,hawo wanaowaagiza soda saa nane usiku Bado hawajajuwa jukumu lao hasa ni nini?
 
Kipindi hiki mamam anakuwa na matumizi mengi mengine useless yanahitaji pesa...sasa ukiwa laini na fala utatafutaje hela?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…