Kwa wanaume wanaotarajia kupata watoto

Nimeipenda hii
 
Eti kisa sikuleta nilichoagizwa,akaniambia nimuombe msamaha,kwa kupiga magoti.
Nikamwambia sifanyi huo ujinga,mbona alizaa vizuri tu
Vingine Usipelekeshwe tu kama ling'ombe.
😂😂 huyo alitisha sana au teacher nini😂😂
 
ivi ni kweli kuna wanaume wanaotambua ayo,au nisisi tunaangukia kwa madungaembe🤣🙆🏾
Tupo sana madam,,,ila ndo hivyo kwenye msafara wa mamba na kenge nao wapo
 
Mengine kuendekeza na kujikweza ,,,soda saa nane usiku,,,mara lete hiki sikitaki tena,,,, mbona mabeki tatu, wanafunzi wanapata mimba wanakomaa kigumu mpk kujifungua ? Au kwa vile hakuna wa kumdekea
Nadhani inatokea km tendo lisilo la hiyari. Nina rafiki alipokuwa mjamzito alikuwa msumbufu…Lunch time hataki tuagize au tukale nje, anataka tupike ofisini.

Akiniona ana request ice cream hata km ni asubuhi.

back tu beki 3. Nadhani uwa wanajikaza sana maskini
 
Yote hayo anafanya akijua upo.. sometimes ni makusudi tu..
Siku hizi sikubali kabisa huo usumbufu.. inabidi uweke mipaka la sivyo utadata kuliko yeye.
 
Mbaya zaidi siwezi kuwafukuza, hivi Mimba inaweza kukufanya umchukie mtu?
Yawezekana... mimba zinatofautiana

Ingawa binafsi mimba zangu zote sikumbuki kumchukia mtu wala kuwa na heka heka,

Kuna baadhi tu ya vyakula kama tambi na kiepe yai huwa nakula sana walau once a day kipindi cha mimba, ila nikijifungua siwezi havinibambi kama kiepe yai mpaka nimesahau lini mara ya mwisho nimekula
 
Kumbe mnatofautiana pakubwa sana, HAPO sasa nimekuelewa vizuri
 
Vijana wa siku hizi wana Dhani wao ndio wa kwanza kuzaa hapa Duniani.
Achana na drama za wanawake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…