Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Vijitu vifupi vina kisirani sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
vp khus geneticUfupi na urefu si kazi ya Mungu, au kuna anayeweza kutengeneza wa kwake kwa urefu anaoutaka?
Ni kazi ya Mungu, sio ya kwetu.vp khus genetic
WEmbamba, unene , vitambi na mimba ninkaz zetu wenyeweUfupi na urefu si kazi ya Mungu, au kuna anayeweza kutengeneza wa kwake kwa urefu anaoutaka?
Precisely!WEmbamba, unene , vitambi na mimba ninkaz zetu wenyewe
KivipiSiku zote kitu kizuri hupata upinzani mkubwa. Wanaume wafupi ni mapambo ndio maana wanapata upinzani mkubwa. "Niliambiwa maneno haya na jamaa mmoja miaka kadhaa iliyopita"
Asalaam aleykum Shehe msaidie huyu Bibie Unique Flower watu wa humu wanambaguaMvivu kwa bed
Yupo hapo anakuonanimemuagnore
Mimi ni 5.9 M Mkuu
Basi umemzidi kidogo Ila mnalingana na mleta madaMimi ni 5.9 M Mkuu
Naiweka hela 🤓, uki nizi una beba.Yote ni kazi ya mungu alivyo tuumba Mimi mwenyewe ni mfupi sana 😁😂 ila huyu chinga Intelligent businessman ni mfupi kama wale mbilikimo wa congo sijui kwa sababu anashinda sana kwenye mabibo huko kwao lindi na anapigwa sana makwenzi na wake zake
Kaka naweka laki 2 hapaNaiweka hela 🤓, uki nizi una beba.
Niki kuzidi urefu ume umia🤣🤓
Tukutane wapi??, oya uje na cash la sivyo naku vunja shingo🤓Kaka naweka laki 2 hapa
Tukutane kigamboni kakaTukutane wapi??, oya uje na cash la sivyo naku vunja shingo🤓
Walaikum salam hahaha.Asalaam aleykum Shehe msaidie huyu Bibie Unique Flower watu wa humu wanambagua
Kama mweusi kibonge Hana shepu ni simtank, na kaivaa nguo au kijora Cha njano tunamwona kama school bus hizo ndogo.Na kama ni chibongew
We unataka shape au utamu?ubonge unaua vibe
shape haionekani
shape ndo utamu wenyewe rafiki yanguWe unataka shape au utamu?