Kwa Wanawake na Wanaume ambao hawajawahi kuolewa wala kuoa

Kwa Wanawake na Wanaume ambao hawajawahi kuolewa wala kuoa

Maria Nyedetse

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2021
Posts
661
Reaction score
1,501
Habari za Majukumu wanajukwaa.....

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, naomba leo niongee na vijana ambao bado hawajaingia Kwenye ndoa.

Yote nitakayoyaongea hapa ni mtazamo na mawazo binafsi, hayaakisi mtazamo wa kundi au taasisi yoyote na Nakaribisha maoni yenye Lengo la kujenga na kusaidia Jamii yetu....

Sasa hivi ni nadra kumkuta kijana anakula kiapo cha ndoa akiwa hajashiriki ngono.

Na jambo hili linaonekana ni jambo la kawaida sana kwenye jamii zetu, ndiyo maana utakuta kwenye social media, movies, miziki na story za vijiweni zinazungumzwa sana story za MAHUSIANO [MAPENZI] lakini kwa bahati mbaya

kinachohamasishwa ni mahusiano kabla ya ndoa na maana isiyohalisi ya mapenzi [sura, maumbile kama tako, handsome, kifua, akipita anadatisha].... Mahusiano/mapenzi ni zaidi ya hivi...

Kwanza katika mapenzi au mahusiano UNAHITAJI MTU AMBAYE ATALEA NA KUZIENZI HISIA ZAKO, MTAJENGA PAMOJA KESHO YENU, ATAKUWA MAMA AU BABA WA FAMILIA YAKO, ATAUNGANISHA UKOO AU FAMILIA YAKO, ATAKUHIFADHI HESHIMA YAKO UKIWA NAYE AU MBALI NAYE, ATAHAKIKISHA USALAMA WAKO WA KIHISIA, KIUCHUMI NA KIJAMII UKIWA NAYE AU UKIWA MBALI NAYE... Je sura pekee itakuhakikishia haya?

Jambo la pili: Kuingia kwenye ndoa ukiwa tayari umetumika ni inshara kuwa tayari ushakuwa na majeraha ya kihisia na pia inawezekana kabisa hisia zako hazijafungwa kwa uliye Naye kwenye ndoa Bali zinaweza kuwa somewhere else.... a bit controversial, right?

Mfano hymen of girl kwa mwanaume atakayeitoa katika mazingira ya makubaliano ni kama agano lililofungwa baina yake na huyo mwanaume ndiyo maana wengi huishia kukumbushia na kuharibu nasaba nyingi kwa kuzaliwa watoto wasio wa yule mwenye ndoa...

Jamani tujitunzeni na tuingie kwenye ndoa tukiwa hatujatumika..... kugawa ngono siyo ishara ya upendo na anayetaka kupewa ngono ili kuonesha kweli anapendwa ajue ule siyo upendo BALI KUTUMIKA KAMA KIFAA CHA STAREHE TU... mahusiano yenye future na kuheshimiana hayawezi kuwa ya mashariti ya vitu [kupiga mizinga au kutaka ngono]....

Mahusiano ya sasa hasa kabla ya ndoa ni biashara isiyo rasmi ya ngono NDIYO MAANA WANAUME WANAGAWA FEDHA NA ZAWADI ZINGINE NA WANAWAKE WANAGAWA URODA... HAPA NI BIASHARA HIVYO UKIJERUHIWA JUA KABISA UPANDE WA PILI IS NO LONGER NEED YOU...

Nashauri tujitunze na tuingie kwenye ndoa with our virginity... hata ndoa zetu zitakuwa na baraka za Mola Mlezi
 
Asante dada maria tumekuelewa tutalifanyia kazi hilo, lakini dah kuoa bila kujua kama yaliyomo yamo ni inshu sijui hapo unatushauri vip?
Ndoa ni Ibada na kama ilivyo ibada zingine zote ni kwa ajili ya Mola Mlezi, sasa kuanza kabla ya ndoa tusitarajie baraka na neema..... matokeo yake ndiyo haya kila siku shida na maumivu kwenye ndoa...

Majanga mengi tunayoyapata kwenye FAMILIA zetu yanatokana na zinaa kutapakaa... kwenye ndoa hakuna utulivu, watoto shida, michepuko kila kukicha na mfano wa hayo.... usijizuie kwa kuogopa ukimwi bali kwa kutaka radhi za muumba wako Naye atakubarikia mambo yako
 
Sasa dada yetu, uko swa kabisa. Lakini hao wenye "bikra" wengi wapo darasa la 5 mpka 7 wakizidi saaaana form 3. Huko kote sidhani kama wanaingia jeifu. Tulioko humu wengi ni wazoefu tayari mioyo ishaumizwa sana sa hv imebaki robo mingine imeisha kabisa. Kwaio tunapambana na tulichonacho. Mali used, unaisafisha kidogo unaweka ndani unasubiria magonjwa ya moyo
 
Habari za Majukumu wanajukwaa.....

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, naomba leo niongee na vijana ambao bado hawajaingia Kwenye ndoa.

Yote nitakayoyaongea hapa ni mtazamo na mawazo binafsi, hayaakisi mtazamo wa kundi au taasisi yoyote na Nakaribisha maoni yenye Lengo la kujenga na kusaidia Jamii yetu....

Sasa hivi ni nadra kumkuta kijana anakula kiapo cha ndoa akiwa hajashiriki ngono.

Na jambo hili linaonekana ni jambo la kawaida sana kwenye jamii zetu, ndiyo maana utakuta kwenye social media, movies, miziki na story za vijiweni zinazungumzwa sana story za MAHUSIANO [MAPENZI] lakini kwa bahati mbaya

kinachohamasishwa ni mahusiano kabla ya ndoa na maana isiyohalisi ya mapenzi [sura, maumbile kama tako, handsome, kifua, akipita anadatisha].... Mahusiano/mapenzi ni zaidi ya hivi...

Kwanza katika mapenzi au mahusiano UNAHITAJI MTU AMBAYE ATALEA NA KUZIENZI HISIA ZAKO, MTAJENGA PAMOJA KESHO YENU, ATAKUWA MAMA AU BABA WA FAMILIA YAKO, ATAUNGANISHA UKOO AU FAMILIA YAKO, ATAKUHIFADHI HESHIMA YAKO UKIWA NAYE AU MBALI NAYE, ATAHAKIKISHA USALAMA WAKO WA KIHISIA, KIUCHUMI NA KIJAMII UKIWA NAYE AU UKIWA MBALI NAYE... Je sura pekee itakuhakikishia haya?

Jambo la pili: Kuingia kwenye ndoa ukiwa tayari umetumika ni inshara kuwa tayari ushakuwa na majeraha ya kihisia na pia inawezekana kabisa hisia zako hazijafungwa kwa uliye Naye kwenye ndoa Bali zinaweza kuwa somewhere else.... a bit controversial, right?

Mfano hymen of girl kwa mwanaume atakayeitoa katika mazingira ya makubaliano ni kama agano lililofungwa baina yake na huyo mwanaume ndiyo maana wengi huishia kukumbushia na kuharibu nasaba nyingi kwa kuzaliwa watoto wasio wa yule mwenye ndoa...

Jamani tujitunzeni na tuingie kwenye ndoa tukiwa hatujatumika..... kugawa ngono siyo ishara ya upendo na anayetaka kupewa ngono ili kuonesha kweli anapendwa ajue ule siyo upendo BALI KUTUMIKA KAMA KIFAA CHA STAREHE TU... mahusiano yenye future na kuheshimiana hayawezi kuwa ya mashariti ya vitu [kupiga mizinga au kutaka ngono]....

Mahusiano ya sasa hasa kabla ya ndoa ni biashara isiyo rasmi ya ngono NDIYO MAANA WANAUME WANAGAWA FEDHA NA ZAWADI ZINGINE NA WANAWAKE WANAGAWA URODA... HAPA NI BIASHARA HIVYO UKIJERUHIWA JUA KABISA UPANDE WA PILI IS NO LONGER NEED YOU...

Nashauri tujitunze na tuingie kwenye ndoa with our virginity... hata ndoa zetu zitakuwa na baraka za Mola Mlezi
1. Upo kwenye ndoa au la?
(a) Kama ndio, uliingia na bikra?
(b) Kama hapana, bado unayo bikra?
 
Lakin kuwa na bikra au kutokua nayo doesnt matter, mbn kuna people wanaoa had machangudoa na wanaishi kwa aman , n mipango tuu ya Mungu kama ulipangiwa kuolewa bikra itakua , kama ulipangiwa utakitembeza had mtu wa 20 ndo akuoe bas itakua
 
Lakin kuwa na bikra au kutokua nayo doesnt matter, mbn kuna people wanaoa had machangudoa na wanaishi kwa aman , n mipango tuu ya Mungu kama ulipangiwa kuolewa bikra itakua , kama ulipangiwa utakitembeza had mtu wa 20 ndo akuoe bas itakua
Naweza sema uliyeolewa na bikra yako bas ilikua bahat yako
 
🙏
Nipo bega na wewe kuhakikisha huu Uzi unafika mbali na kuzidi hata ule wa rikiboy wa KULA TUNDA KINASIARA . Hizi ndio hoja za kuleta humu jf kwa ajili ya maendeleo ya vijana wa kesho
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
 
It needs a lot of effort... ni kupambana ili kufikia kuingia kwenye ndoa na bikra yake...
Lakin still bikra yako inaweza isiwe kitu kwake ikabak tuwa kuwa kwake yy kwamba yy n mwanaume wako wa kwanza tuu na still akawa na mashindikan huko pemben
 
Bila kuonjwa hiyo ndoa batili...tafadhali msijejuta mbeleni
Hizi imani ni imani za kishirikina... kumwona mwenzako kama chombo cha starehe......

Ukipata MTOTO MWENYE ULEMAVU UTAMTUPA??? AU MWENYE UELEWA MDOGO [MTINDIO WA UBONGO] AU MFUPI SANA???

Vivyo hivyo elewa kuwa na mwenzako kwenye ndoa ambaye ana mapungufu madogo kama hayo ya utamu kama ulivypsema na ukamhifadhi, kumpenda na kumjali utapata malipo kutoka kwa Mola Mlezi kama unavyotoa sadaka kwa masikini au walemavu na wagonjwa......

Zindukeni acheni kuumiza wenzenu kwa kuwaonjaonja kama katanga....... anaweza kufall for you lakini wewe ukamtelekeza kisha ana mapungufu!!!!

Yaani ajira mtihani, mapenzi mtihani, family bond mtihani..... maisha yanageuka jahamu jamani...... kila kukicha vijana wadogo wanapata stresses zisizo as lazima....
 
Lakin still bikra yako inaweza isiwe kitu kwake ikabak tuwa kuwa kwake yy kwamba yy n mwanaume wako wa kwanza tuu na still akawa na mashindikan huko pemben
Angalau you played your part,,, ukinyanyua mikono mbiguni kuomba msaada kwa yule uliyejihifadhi kwa kutaka radhi zake UNAFIKIRI ATAKUACHA BUREBURE?
 
Back
Top Bottom