Ata wewe unapenda sana tuuUnavyopenda sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ata wewe unapenda sana tuuUnavyopenda sasa
Kumuoa msichana bikra sio kigezo cha kudumu kwenye ndoa. Wanaume Sasa hivi wanataka mwanamke mwenye ujuzi na uzoefu wa mambo hayo. Bikra ilakuwa habari za kizamani. Mi naona mbona mabinti wengi tu walioolewa wakiwa mabikra ndo wanaongoza kuachika na Wakati waliolewa na bikra zao. Unaweza mkuta mwanamke ameshatumika vyakutosha na ukamkuta ni mtaalamu mzuri tu kwenye yale mambo yetu. Ndio maana utakuta yale mashangingi ndo yanaongoza kushikilia na kuvunja ndoa za watu (wakiwemo mabikra) unakuta mumeo akishikwa hachomoki na wewe ulikutwa na bikra yako unatupwa kule.Lakin kuwa na bikra au kutokua nayo doesnt matter, mbn kuna people wanaoa had machangudoa na wanaishi kwa aman , n mipango tuu ya Mungu kama ulipangiwa kuolewa bikra itakua , kama ulipangiwa utakitembeza had mtu wa 20 ndo akuoe bas itakua
Sasa kwa hiyo mwanaume mafunzo atayapata kutoka kwa mwanamke gani wakati unasema mwanamke ni vyema aolewe akiwa bikraMwanaume unaingia kwenye ndoa hujawahi kugonga na mwanamke hujawahi kugongwa. Hilo tindo na styles mtazijua kweli??
Au ndo mtaangalia Xnxx kwanza ndo mduu.
Huyo mmoja akionjeshwa nje(hasa mwanaume) ni rahisi kukengeuka kama huo mchepuko utammudu na kumjua vyema.
NB. Ni vizuri kwa mwanamke kuingia kwenye ndoa akiwa bikra ila sio poa kabisa kwa mwanaume kuingia ndoani ukiwa hujanjunja kabisa.
Hatari tena hawa makumbembe yakikufinyia kwa ndani lazima ukamatikeKumuoa msichana bikra sio kigezo cha kudumu kwenye ndoa. Wanaume Sasa hivi wanataka mwanamke mwenye ujuzi na uzoefu wa mambo hayo. Bikra ilakuwa habari za kizamani. Mi naona mbona mabinti wengi tu walioolewa wakiwa mabikra ndo wanaongoza kuachika na Wakati waliolewa na bikra zao. Unaweza mkuta mwanamke ameshatumika vyakutosha na ukamkuta ni mtaalamu mzuri tu kwenye yale mambo yetu. Ndio maana utakuta yale mashangingi ndo yanaongoza kushikilia na kuvunja ndoa za watu (wakiwemo mabikra) unakuta mumeo akishikwa hachomoki na wewe ulikutwa na bikra yako.
Dunia inaenda kasi sana tuache maisha ya kukalili. Uliye rizika nae mshikilie, yote ni majaaliwa ya Mungu. Kuna jamaa yangu alioa baaMedi/ muuzaji mzuri tu mjini. Watu wotetulijua hawatodumu, Sasa ni mwaka wa kumi yupo nae, na jamaa bado hajamkinai tu, bado wapo kwenye ndoa.
Maana story zote mujini ni kupelekeana moto tuu🤣🤣🤣🤣Kwa mfumo wa maisha ulivyo ni ngumu sana kwa mwanamke na mwanaume kuingia kwenye ndoa wakiwa bado bikra.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] unaweza kujitahidi kujaribu kujitunza ukaambulia kunyang'anywa mwenza wako unayependa kuingia naye kwenye ndoa ukaambulia maumivuMaana story zote mujini ni kupelekeana moto tuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
🤣🤣🤣🤣🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] unaweza kujitahidi kujaribu kujitunza ukaambulia kunyang'anywa mwenza wako unayependa kuingia naye kwenye ndoa ukaambulia maumivu
Who said so , mzigo alikua anataka sio mpaka ndoaWee sii umemtosa njemba anayekupenda na alikuwa yupo tayari kusubiria mzigo mpaka mtakapo funga ndoa
Kabisa mkuu[emoji1787][emoji1787]Hatari tena hawa makumbembe yakikufinyia kwa ndani lazima ukamatike
Who can blame him...i would definately wana hit that pussssyWho said so , mzigo alikua anataka sio mpaka ndoa
Lakini hwa mabikra sii wanatakiwa wapelekwe kwenye mafunzo ya jinsi ya kumhandle mwanaume.Kabisa mkuu[emoji1787][emoji1787]
Hata ofisini ukienda kuomba kazi, japokuwa na vyeti unavyo lakini utaulizwa unauzoefu!?
Sometime bikra anakuwa sio mtaalamu/ mtundu. Ikishatolewa tu hiyo bikra hamna jipya tena hapo. Anakua hana maajabu. Danga likimchumia tembele mume hadi anauma meno [emoji51][emoji51]
Mtibwa sugar yako huko inakula tuu mbususu wee kaa ukibana mapaja hayoKumbe kuna watu hamjitunzi mnatumiana tu!! Mie nilijua tumekubaliana wote no ngono hadi ndoa!!!
Akuuuu najitunza[emoji1787][emoji1787]Mtibwa sugar yako huko inakula tuu mbususu wee kaa ukibana mapaja hayo
Jitunze...achana na porojo za jf. Hapa wamejaa mawakala wa shetani tuu. Hamna jema litokanalo na kupelekeana moto kabla ya ndoa. Tunza utu wako na mbususu yako.Akuuuu najitunza[emoji1787][emoji1787]
Mwanamke mafunzo atayapata kwa mumewe coz mume ana ujuzi.Sasa kwa hiyo mwanaume mafunzo atayapata kutoka kwa mwanamke gani wakati unasema mwanamke ni vyema aolewe akiwa bikra