Kwa Wanawake na Wanaume ambao hawajawahi kuolewa wala kuoa

Sijui ila hapo kwenye agano " hymen"

Kama nmekuelewa.. maana mim first lv wangu nikimkuta bado anayo hyo kitu na mm ndio nilimtoa.. tulidum over 3 yrs.. we were young n in lov.. tulifanya dhambi/matusi zote unazojua wew. .had sex in public... Ila tulikuja achana sabab ya distance na wivu uliopitiliza especialy mim'
Bint alijua kuwa nampenda sana nayeye kunitunuku hymen first yr chuo aliona kuwa mim najua yeye ananipenda.. so alikua kuna mambo anafanya akijua ananimudu.. ikafikaa point .. namim nilikua na ego vbaya mno.. bas kwa mwez tunaweza achana mara mbili tunarudiana.. for 3 yrs same games.. lots of sex etc etc.. ila mwisho wa siku ego zetu zkatuachanisha mazima.. tho afta 2moths.. bint ali beg sana turud ila mim niligoma kabisa huku nampenda.. na sabab ya kugoma niliskia alipata mtu mwingne kwa muda huo mfup ila akaachana nae akarud kwangu.. namuuliza y . Anasema amegundua mim ndio mwanaume anaenipenda sana.. aisee sikuweza kubal had leo hii.. more than 9 yrs tumeachana ila tunawasiliana muda wote.. yuko ulaya nw ila we comunicate .. her family inanifaham we comunicate had leo na wengne wanahis bado ni wapenz.. she calls she texts lv etc etc.. mpaka leo hii.. so ukisema hyo kitu ya agano kinamna flan naamin.. hata mm huyu bint hatok kuchwan mwangu.. i dream of her sometime usiku.. nayeye anasema ananiota.. so things like that . So naamin kuna ukwel hapo kwenye agano
 
Ethiopia ndo mnafanyaga ivo siyo??!!.....kule milima mingi sasa mpaka ushuke milimani huko na fuko kichwani mchuchu anakusubiri tu....sisi huku ni tambarare.....
 
Ethiopia ndo mnafanyaga ivo siyo??!!.....kule milima mingi sasa mpaka ushuke milimani huko na fuko kichwani mchuchu anakusubiri tu....sisi huku ni tambarare.....
Ukitumia lugha nzuri utapungukiwa?? Anyway someone's character reflects one's upbringing background...
 
Ukitumia lugha nzuri utapungukiwa?? Anyway someone's character reflects one's upbringing background...
Naam kila la kheri !!!! wazi una mihasira sana....lugha mbaya iko wapi hapo???...ivi ningeitoa ungevumilia??? Ethiopia ni nchi siyo tusi.msomege.
 
Umenena vyema na hakuna mtu anaependa kuruka kutoka kwenye uhusiano mmoja kwenda mwingine lakini dunia imeharibika sahivi binadamu wamekuwa wanyama mtu upo nae unamuwazia mema kumbe kwenye moyo wake anakuona mjinga tu kwa staili hiyo ni ngumu kutoboa kwenye uhusiano mmoja kikibwa tuombe Mungu tu
 
Bado hatujachelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…